Ila majibu yako, wakati mwingine unayajua mwenyewe [emoji3][emoji3]Njaa ya hela banawe, si kaandika mwenyewe na kukiri hajawahi pata upendo wa aina hio wa kupewa mipesa. Alipokuwa akiomba ela za ada kwa ma EX walikuwa wanamtia Bloko [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Mwanamke hawezi kumsifia mwanaume hivi kama hamjazi mihela.
Usisema hivyo muombee dua aendelee kupewa pesa, "zisikate"Sisi waswahili wenye roho ya korosho na kijiba cha roho twasema hivi, "mtaachana tu".
Mfanyie yote Kwa heshima na taadhima Ila usikosee kutegesha mimba kama kulipa fadhila utaumbuka, maana mifano kama yako ninayo mingi, ke tunaamini kama kaweza kulea mtoto wa mwenzie hashindwi na wake, mfunge ndoa kwanza hawanaga muamana hao, ukizaa anakukimbia. Una Rudi kuwa "single mama" wa wawili na kujikuta sketi umeigeuza bila kukijua ndani njeNinajua pesa anazipata wapi.
Ni pesa Safi kabisa na zinalipiwa Kodi na fungu la kumi.
Kuna wakati ili mbarikiwe mnatakiwa mfurahie furaha za wengine.
Hana mdogo wake na mimi nipate wanguππ
Hilo nalo neno naona huyu Dada alikuwa desperate sana na mwanaume, sasa kampata hajakaa nae hata muda keshakuja huku kutangaza you never know mambo ya mbeleni huko maana moyo wa mtu kichakaTukipata wapenzi...hebu tutulizane.. penzi likinoga unatamani kuitangazia Dunia.
Tulia enjoy penzi lako... Jipeni muda... Hakuna penzi linaonza vibaya.
Uchumba hautangazwi inatangazwa ndoa
Kweli angalau Angekuwa amekaa nae hata miaka minne sawa, sasa mwezi tu keshajiachia hivyo, mbutaaHahah penzi jipya huwa tamu subiri mzoeane sasa. Taratibu tu kwan yana muda basi πππ ngoja jamaa aanze kupewa uchi kwa ratiba!
PointsMkuu uko desperate Sana, usifurahie tu pesa usizojua jamaa kazipata wapi na kwa njia gani. Hizi tabia za kutaka ready made, zimeponza wengi usijejikuta unakuwa mbuzi wa kafara wewe na mwanao kwa ajili ya umilionnaire. Watch out in prayers. Kila la kheri.
Kweli KabisaHakuna anaechukia furaha yako Mkuu... Ila huo ushuhuda Hebu peleka kanisani... Lakini baada ya ndoa.
Na wewe Kazana upate Bibi, jua Lishazama ukikosa kabisa njoo pmi'm happy for you, its good to love and be loved.
In your dream babe[emoji57]Sijui ni mimi tu ama, maana kila nikisoma napata jibu kuwa KUMBE ULIKUWA UNATAFUTA "AJIRA" NA SIO "MUME".
Ma-Sponsor na tuheshimiwe!! itabidi tuanze kulipa VAT (value added tax) kwa hizi Sponsorship Deals tunazogawa.
Wacha na mie nitafute "Single Mother" ambaye bado hajiwezi financially ili nimpe Sponsorship na Employment in the name of Love.
ww katoto ntakupeleka unyamwezn una hekima sanaUzi nyingine ni za kutufanya tujiskie vibaya, au tujisikie hatuna bahati.btw hongera sana.
Mpelekee mama yake zawadi mwambie "asante mama kunizalia mme mwema"
π€£π€£ww katoto ntakupeleka unyamwezn una hekima sana
Je umsomi na una kipato?Nilisema nilelewe Kama yai watu wakanicheka na kuandika " mtu mwenyewe singe mom masharti kibao" lakini nawaambia nimepata wa kunilea zaidi ya yai.
Mungu anakupa unachokitaka.
ππ, haya kaka GNipo hapa kaka yake na G! Karibu bibiye. Mimi ni zaidi ya G!! G kitu gani bhana!! Hayo Maujanja yote yenyewe mpaka anakuja kusifiwa humu jukwaani, nimemfundisha mimi.
ππ, haya kaka G