naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Ila majibu yako, wakati mwingine unayajua mwenyewe [emoji3][emoji3]Njaa ya hela banawe, si kaandika mwenyewe na kukiri hajawahi pata upendo wa aina hio wa kupewa mipesa. Alipokuwa akiomba ela za ada kwa ma EX walikuwa wanamtia Bloko [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Mwanamke hawezi kumsifia mwanaume hivi kama hamjazi mihela.