Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Daah kweli hakuna lisilowezekana chini ya jua leo nimeweza kuwa Uptodate naenjoy na Windows 11 kwenye 2GB RAM PC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona inawezekana sana especially ukiwa na core duo processor but ita lag mno hutatamani Iendeleee kutumika especially processor ikianza kupata heat....😁Daah kweli hakuna lisilowezekana chini ya jua leo nimeweza kuwa Uptodate naenjoy na Windows 11 kwenye 2GB RAM PC
processor yangu ni celeron ila ngoja nioneMbona inawezekana sana especially ukiwa na core duo processor but ita lag mno hutatamani Iendeleee kutumika especially processor ikianza kupata heat....😁
Kila la heri
🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕Kila la kheri...
Computer yako ilikuwa unsupported kwa upande processor au Bios? Inayo TPM 2.0 na secure boot?Daah kweli hakuna lisilowezekana chini ya jua leo nimeweza kuwa Uptodate naenjoy na Windows 11 kwenye 2GB RAM PC
Hivyo vyote ulivo vitaja hata sivielewi ila RAM ndo ulikua mgogoroComputer yako ilikuwa unsupported kwa upande processor au Bios? Inayo TPM 2.0 na secure boot?
kwaiyo unanishauri nirudi windows 10naona kama unai overwork iyo pc, windows 11 (isiyo lite) ni resource intensive, bloatwares kibao
Nahitaji huu utaalam. Maana mimi TPM naambiwa haina.Mimi nimefanikiwa pia PC yangu ni duo core 2.8 RAM 3GB,
Nimechukua faili la 'Wim.install' kwenye sources za window 11 nikalihamishia kwenye Wim. Install ya window 10 nikapiga bootable window ikakaa.
Mpaka sasa nasema pc imekuwa nyepesi sana kutumia.
hago mambo ya TPDM sijui secure boot sijakutana nayo nimebypass moja kwa moja
Mkuu nataka namie ni install windows 11 vipi uko wapi nije tufanye makarateka?Mimi nimefanikiwa pia PC yangu ni duo core 2.8 RAM 3GB,
Nimechukua faili la 'Wim.install' kwenye sources za window 11 nikalihamishia kwenye Wim. Install ya window 10 nikapiga bootable window ikakaa.
Mpaka sasa nasema pc imekuwa nyepesi sana kutumia.
hago mambo ya TPDM sijui secure boot sijakutana nayo nimebypass moja kwa moja
Pakua setup ya window 11 na ya window 10 nikuelekeze PM huko ni rahisi sana tu ni copy and pasteMkuu nataka namie ni install windows 11 vipi uko wapi nije tufanye makarateka?
Mkuu bundle ni gharama kuliko nauli mzee😀 we niambie ulipo nikufatePakua setup ya window 11 na ya window 10 nikuelekeze PM huko ni rahisi sana tu ni copy and paste
Tafadhali naomba nielekeze pia, vyote hivyo ninavyo. Win10 na Win11 zote nnazoPakua setup ya window 11 na ya window 10 nikuelekeze PM huko ni rahisi sana tu ni copy and paste
Mimi nipo Tanga town mkuuMkuu bundle ni gharama kuliko nauli mzee[emoji3] we niambie ulipo nikufate
Nenda kwenye setup ya window 11 nenda "sources" ndani ya sources kuna faili limeandikwa "wim. Install" lina GB kama nne hivi copy hilo faili ... Chukua flash yako fuata hatua za kupiga bootable ya window 10 ukimaliza kupiga bootable ya window ten fungua nenda ndani ya files za window 10 fungua "sources" paste faili ulilotoa kwenye window 11.. Kwa sababj humo kwenye window 10 resources kuna faili pia la "wim.Install" wewe replace litapaste ikimaliza piga window kama kawaida kama unavyofanya kwa window usiwe na wasiwasi kinachoinstall hapo ni window 11 sio 10 hakikisha uwe na Mb kwenye simu maana kuna sehemu utahitakika kuunganisha na InternetTafadhali naomba nielekeze pia, vyote hivyo ninavyo. Win10 na Win11 zote nnazo
Asante sana aisee...Nenda kwenye setup ya window 11 nenda "sources" ndani ya sources kuna faili limeandikwa "wim. Install" lina GB kama nne hivi copy hilo faili ... Chukua flash yako fuata hatua za kupiga bootable ya window 10 ukimaliza kupiga bootable ya window ten fungua nenda ndani ya files za window 10 fungua "sources" paste faili ulilotoa kwenye window 11.. Kwa sababj humo kwenye window 10 resources kuna faili pia la "wim.Install" wewe replace litapaste ikimaliza piga window kama kawaida kama unavyofanya kwa window usiwe na wasiwasi kinachoinstall hapo ni window 11 sio 10 hakikisha uwe na Mb kwenye simu maana kuna sehemu utahitakika kuunganisha na Internet