mtoto mdogo sana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2020
- 460
- 1,341
Natanguliza Shukrani zanguUkishindwa nichek Pm kwa maelekezo zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natanguliza Shukrani zanguUkishindwa nichek Pm kwa maelekezo zaidi
Haitaji maujuzi hivyo ni kuedit file moja tuMkuu nataka namie ni install windows 11 vipi uko wapi nije tufanye makarateka?
i njia ni ngumuNenda kwenye setup ya window 11 nenda "sources" ndani ya sources kuna faili limeandikwa "wim. Install" lina GB kama nne hivi copy hilo faili ... Chukua flash yako fuata hatua za kupiga bootable ya window 10 ukimaliza kupiga bootable ya window ten fungua nenda ndani ya files za window 10 fungua "sources" paste faili ulilotoa kwenye window 11.. Kwa sababj humo kwenye window 10 resources kuna faili pia la "wim.Install" wewe replace litapaste ikimaliza piga window kama kawaida kama unavyofanya kwa window usiwe na wasiwasi kinachoinstall hapo ni window 11 sio 10 hakikisha uwe na Mb kwenye simu maana kuna sehemu utahitakika kuunganisha na Internet
Mie ndio naijaribu. Nadhani sio ngumu kama unavyofikirihi
i njia ni ngumu
Zipo njia nyingi ila kwa watumiaji wa pc za zamani zisizokuwa na secure boot hio ndio njia simple ni copy and paste "wim. Install' file between windows ushamaliza kazi .. Njia nyingine ni ya kuedit registry setting lakini ina maelezo mengi halafu windows inachukua muda mrefu kuingia .. Hiyo ya copy and paste nilitumia nusu saa tu window tyr Otherwise weka yako mkuu ulotumiahi
i njia ni ngumu
Natamani niijue hii pia ya kuedit RegistryZipo njia nyingi ila kwa watumiaji wa pc za zamani zisizokuwa na secure boot hio ndio njia simple ni copy and paste "wim. Install' file between windows ushamaliza kazi .. Njia nyingine ni ya kuedit registry setting lakini ina maelezo mengi halafu windows inachukua muda mrefu kuingia .. Hiyo ya copy and paste nilitumia nusu saa tu window tyr Otherwise weka yako mkuu ulotumia
Ndio njia nyepesi haina mbwembwe nyingi copy and paste ushamalzaMie ndio naijaribu. Nadhani sio ngumu kama unavyofikiriView attachment 2111295
Sasa hivi PC yangu Ina Windows 11Nenda kwenye setup ya window 11 nenda "sources" ndani ya sources kuna faili limeandikwa "wim. Install" lina GB kama nne hivi copy hilo faili ... Chukua flash yako fuata hatua za kupiga bootable ya window 10 ukimaliza kupiga bootable ya window ten fungua nenda ndani ya files za window 10 fungua "sources" paste faili ulilotoa kwenye window 11.. Kwa sababj humo kwenye window 10 resources kuna faili pia la "wim.Install" wewe replace litapaste ikimaliza piga window kama kawaida kama unavyofanya kwa window usiwe na wasiwasi kinachoinstall hapo ni window 11 sio 10 hakikisha uwe na Mb kwenye simu maana kuna sehemu utahitakika kuunganisha na Internet
Mpaka leo sijui kuscreenshot kwenye pcAsante kwa maelekezo. Njia hii nimeitumia, nimefanikiwa.Sasa hivi PC yangu Ina Windows 11View attachment 2111460
PC ina batan ya PrtSc itazame. Unabofya Windows batan + hiyo PrtScMpaka leo sijui kuscreenshot kwenye pc
Ngoja nifanye hivyoPC ina batan ya PrtSc itazame. Unabofya Windows batan + hiyo PrtSc
Naona umefanikiwaAsante kwa maelekezo. Njia hii nimeitumia, nimefanikiwa.Sasa hivi PC yangu Ina Windows 11View attachment 2111460
Safi sana mkuu ngoja namim nijaribu hapa..Been using it[emoji91] pc iko faster mno zaidi ya nilivyokuwa natumia window 10 View attachment 2111518
Kumbe huyu ndio wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2111258Msaada nipate copy ya windows wazee na office 16
HahahahahahKumbe huyu ndio wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu nielekeze na mimiNaona umefanikiwa
Njia ya ku copy na kupaste unasema ngumu ungeambiwa ufanye edit kwenye command prompt ungeweza kweli😂hi
i njia ni ngumu
Mkuu naomba hio setup ya windows 11 basi! Naipataje? Uko wapi nataka namie nifanye mafekeche tronixAsante kwa maelekezo. Njia hii nimeitumia, nimefanikiwa.Sasa hivi PC yangu Ina Windows 11View attachment 2111460
Mkuu naomba hio setup ya windows 11 basi! Naipataje? Uko wapi nataka namie nifanye mafekeche tronix