Kama picha zimezagaa kiasi hiki inaonyesha ni kwa kiasi gani hili tukio limeshika TZ leoHiii pich nimeikuta hukooooo instaView attachment 353002
Hapana,ila kazi nzuri ndio sare yao.kiduku ndiyo uniform yao?
Wimbo gani sasa?Wimbo mkali sana, hii ni shida kubwa sana town...
wewe ndo yule dada yake diamond ?Hapana,ila kazi nzuri ndio sare yao.
Hapana, vipi kwa kuwa wewe Joketi ukadhani unaongea na wakike mwenzio?????wewe ndo yule dada yake diamond ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nanukuu, "..hii ni siku kubwa sana kwangu na katika historia ya mziki wangu.."
- Richard Martin (Richmavoko)
Wimbo gani sasa?
Ama ninnaomba nikufanyie mpango wakusign
Hahah...Ama nin
SINA JAZBA, UMEULIZA NIMEKUJIBU NA MIMI NIKAKUULIZA.punguza jazba.
Mkataba wake ni tofauti na wa Harmo na Ray kwa vile yeye atafuti kutoka, na vile vile unatakiwa ukumbuke ukipata mia inatakiwa utafute namna ya kupata mia mbili.Ngoja tuone game linakwendaje, japokuwa Mavoko alishafika mbali sana, angeweza kusimama kivyake pia.