Hatimaye Rich Mavoko ndani ya WCB

Hatimaye Rich Mavoko ndani ya WCB

Hii habari alishaitoa kitambo ndugi yetu Raj a.k.a harmonize.
Leo ndio tukio limekamilishwa. Hii ni kama habari za ndoa za siku hizi,anakutoa bikra mwengine na anayekuoa ni mwengine kabisa.
Hongera Mavoko.
YNWA


YNWA....Kop
 
Binafsi nampa pongezi Diamond, ni juhudi kubwa amefanya kuimalisha lebel yake hadi kufikia kiwango cha kuanza kusainisha wasanii wakubwa kama Mavoko. Nina imani akiendelea na juhudi hizi atasainisha wasanii wakubwa zaidi. Na sasa nimemuelewa vinzuri kwa nini alisema yeye haoni lebel yoyote ya kuweza kumsaini yeye.

atamsainisha hadi officialalikiba
 
Kwa pale alipofikia Rick Mavocal hakika hakustahili kujiunga WCB, bali kuanzisha Lebo yake. Tatizo letu watanzania wengi ni wazito kujiongeza hasa pale mambo yanapotuendea kombo kama Mavocal. Binafsi naamini anayo nafasi ya kujirekebisha na kurudi kuwa msanii mkubwa, lakini kama shabiki wake mmmmmmh! disappointed sana.
 
Naomba kujua kwanini wanalamba midomo wakati wakuongea!? nshamuona pia na Raymond.
 
Binafsi nampa pongezi Diamond, ni juhudi kubwa amefanya kuimalisha lebel yake hadi kufikia kiwango cha kuanza kusainisha wasanii wakubwa kama Mavoko. Nina imani akiendelea na juhudi hizi atasainisha wasanii wakubwa zaidi. Na sasa nimemuelewa vinzuri kwa nini alisema yeye haoni lebel yoyote ya kuweza kumsaini yeye.
Itabidi na Kiba akasainishwe wasafu tu mkuu maana hamna namna sasa!
 
Back
Top Bottom