Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Congrat. ameona mbali,bado kina fulani.Hongera sana Rich mavoko.
Hii habari alishaitoa kitambo ndugi yetu Raj a.k.a harmonize.
Leo ndio tukio limekamilishwa. Hii ni kama habari za ndoa za siku hizi,anakutoa bikra mwengine na anayekuoa ni mwengine kabisa.
Hongera Mavoko.
YNWA
Binafsi nampa pongezi Diamond, ni juhudi kubwa amefanya kuimalisha lebel yake hadi kufikia kiwango cha kuanza kusainisha wasanii wakubwa kama Mavoko. Nina imani akiendelea na juhudi hizi atasainisha wasanii wakubwa zaidi. Na sasa nimemuelewa vinzuri kwa nini alisema yeye haoni lebel yoyote ya kuweza kumsaini yeye.
Angekua ndugu yangu ningelia sana.Fala n fala tu mpaka kufa kwake hawez kubadilika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]L
Wampatie na mama wa kumlea fasta Kama ilivyo sera ya Wcb
Ibaki storyWimbo mpya wa Mavoko.
Itakuwa chumvi!Naomba kujua kwanini wanalamba midomo wakati wakuongea!? nshamuona pia na Raymond.
Itabidi na Kiba akasainishwe wasafu tu mkuu maana hamna namna sasa!Binafsi nampa pongezi Diamond, ni juhudi kubwa amefanya kuimalisha lebel yake hadi kufikia kiwango cha kuanza kusainisha wasanii wakubwa kama Mavoko. Nina imani akiendelea na juhudi hizi atasainisha wasanii wakubwa zaidi. Na sasa nimemuelewa vinzuri kwa nini alisema yeye haoni lebel yoyote ya kuweza kumsaini yeye.
Ataenda wapi?Wala hatokaa hapo muda mrefu sana nusu mwaka,