Hatimaye Samia amejipata baada ya kujitafuta kwa muda mrefu

Hatimaye Samia amejipata baada ya kujitafuta kwa muda mrefu

Pumbavuh huna hata akili.... Wewe umeona kuna sehemu nimesema kuna tatozo? Kilaza wewe.... Mstari unao mgongoni mwako.
Mapovu ya nini? Wewe leta fyoto kuanzia mwakani Kuna uchaguzi Hadi 2025 harafu Utajua amejipata kwenye movie au kwingine
 
Safi sana. Mimi binafsi nampongeza kwa kujitafuta na mwishowe kujipata. Kuwa yeye kipaji chake ni uigizaji.

Kwa kweli tumtie moyo kwa kuamua kuwa muigizaji. Ni jambo jema. Hiyo kada imewatoa watu wengi hasa jinsia ya kike ambao walikuwa wamepoteza matumaini sehemu nyingine za maisha.

Nasubiri sana kuona film yake mpya kama alivyosema ameamua kuangukia kwenye uigizaji. Nadhani ameona huko ndo ana uwezo nako. Heko kwake, kongole n.k.tumtie moyo kwa kweli.
Hilo lipo wazi mkuu siyo la kujadili
 
Safi sana. Mimi binafsi nampongeza kwa kujitafuta na mwishowe kujipata. Kuwa yeye kipaji chake ni uigizaji.

Kwa kweli tumtie moyo kwa kuamua kuwa muigizaji. Ni jambo jema. Hiyo kada imewatoa watu wengi hasa jinsia ya kike ambao walikuwa wamepoteza matumaini sehemu nyingine za maisha.

Nasubiri sana kuona film yake mpya kama alivyosema ameamua kuangukia kwenye uigizaji. Nadhani ameona huko ndo ana uwezo nako. Heko kwake, kongole n.k.tumtie moyo kwa kweli.
Ndio umeshachanganyikiwa hivyoo katibiwe shehe! Rudia kusoma ulichoandika
 
Mapovu ya nini? Wewe leta fyoto kuanzia mwakani Kuna uchaguzi Hadi 2025 harafu Utajua amejipata kwenye movie au kwingine
Fyoto❌
Harafu❌
Hata kuandika hujui ndo maana unatokw ana udenda kiasi hicho.... Tuendelee na kumsupport samia. Hasa kwenye uigizaji inaonekana huko anaweza kuwa vizuri.
 
Fyoto❌
Harafu❌
Hata kuandika hujui ndo maana unatokw ana udenda kiasi hicho.... Tuendelee na kumsupport samia. Hasa kwenye uigizaji inaonekana huko anaweza kuwa vizuri.
Wewe leta fyoto ndio Utajua anaweza kuigiza au kuongoza.
 
Safi sana. Mimi binafsi nampongeza kwa kujitafuta na mwishowe kujipata. Kuwa yeye kipaji chake ni uigizaji.

Kwa kweli tumtie moyo kwa kuamua kuwa muigizaji. Ni jambo jema. Hiyo kada imewatoa watu wengi hasa jinsia ya kike ambao walikuwa wamepoteza matumaini sehemu nyingine za maisha.

Nasubiri sana kuona film yake mpya kama alivyosema ameamua kuangukia kwenye uigizaji. Nadhani ameona huko ndo ana uwezo nako. Heko kwake, kongole n.k.tumtie moyo kwa kweli.
Nimekupata mkuu nikiwa mitaa ya Nyamasanje baada ya kutoka Chitare nilikoenda kuchaji kiswaswadu changu bila mafanikio.
 
Back
Top Bottom