JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Nani Chopa Mchopanga au Dimera (Simalenga) !?That says alot hata wateule wake wengi ni wasanii wenzake.
Niki wa pili, mwana fa, yule jamaa wa kaole etc etc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani Chopa Mchopanga au Dimera (Simalenga) !?That says alot hata wateule wake wengi ni wasanii wenzake.
Niki wa pili, mwana fa, yule jamaa wa kaole etc etc.
Mswahili Akishabembea wewe Msukuma utanufaikaje?Mimi nasubiri kujua lini ataenda kubembea kule Jamaica kama yule mswahili mwenzake.
Mapovu ya nini? Wewe leta fyoto kuanzia mwakani Kuna uchaguzi Hadi 2025 harafu Utajua amejipata kwenye movie au kwinginePumbavuh huna hata akili.... Wewe umeona kuna sehemu nimesema kuna tatozo? Kilaza wewe.... Mstari unao mgongoni mwako.
Nitafurahia kuangalia picha zake wakati anazifanyia matumizi Kodi zenu.Mswahili Akishabembea wewe Msukuma utanufaikaje?
Furahia hata saizi akizifanyia matumizi kwenye movie 2 alizo actNitafurahia kuangalia picha zake wakati anazifanyia matumizi Kodi zenu.
Uchaguzi Gani wakati anatangazwa TU!? Wewe kweli boya.Mapovu ya nini? Wewe leta fyoto kuanzia mwakani Kuna uchaguzi Hadi 2025 harafu Utajua amejipata kwenye movie au kwingine
Kumbe unajua Sasa unajipotezea mudaUchaguzi Gani wakati anatangazwa TU!? Wewe kweli boya.
Hilo lipo wazi mkuu siyo la kujadiliSafi sana. Mimi binafsi nampongeza kwa kujitafuta na mwishowe kujipata. Kuwa yeye kipaji chake ni uigizaji.
Kwa kweli tumtie moyo kwa kuamua kuwa muigizaji. Ni jambo jema. Hiyo kada imewatoa watu wengi hasa jinsia ya kike ambao walikuwa wamepoteza matumaini sehemu nyingine za maisha.
Nasubiri sana kuona film yake mpya kama alivyosema ameamua kuangukia kwenye uigizaji. Nadhani ameona huko ndo ana uwezo nako. Heko kwake, kongole n.k.tumtie moyo kwa kweli.
Kesho msisahau kumshukuru kwa kuwawezesha kuingia mwaka Mpya wa 2024. Nawakumbusha TU!Furahia hata saizi akizifanyia matumizi kwenye movie 2 alizo act
Napoteza muda kusubiri ataenda lini kubembea!? Huo muda ni wa Kwako!?Kumbe unajua Sasa unajipotezea muda
Ndio umeshachanganyikiwa hivyoo katibiwe shehe! Rudia kusoma ulichoandikaSafi sana. Mimi binafsi nampongeza kwa kujitafuta na mwishowe kujipata. Kuwa yeye kipaji chake ni uigizaji.
Kwa kweli tumtie moyo kwa kuamua kuwa muigizaji. Ni jambo jema. Hiyo kada imewatoa watu wengi hasa jinsia ya kike ambao walikuwa wamepoteza matumaini sehemu nyingine za maisha.
Nasubiri sana kuona film yake mpya kama alivyosema ameamua kuangukia kwenye uigizaji. Nadhani ameona huko ndo ana uwezo nako. Heko kwake, kongole n.k.tumtie moyo kwa kweli.
We si ni mzimu? Kawaandikie mizimu wenzako, siyo wafu wenzio.Hakuna Rais hapa ni bomu Tena la kienyeji
Mama Abdul huu mzigo anaoubeba sio calling yake , ni dhahiri kwamba passion yake hasa hasa ni Sanaa ya Uigizaji filamu!!Maana yake wenzie ni wakina saidi wangamba mzee small and king majuto mzee umetisha!
Fyoto❌Mapovu ya nini? Wewe leta fyoto kuanzia mwakani Kuna uchaguzi Hadi 2025 harafu Utajua amejipata kwenye movie au kwingine
Nadhani wewe umachanganywa.Ndio umeshachanganyikiwa hivyoo katibiwe shehe! Rudia kusoma ulichoandika
Wewe leta fyoto ndio Utajua anaweza kuigiza au kuongoza.Fyoto❌
Harafu❌
Hata kuandika hujui ndo maana unatokw ana udenda kiasi hicho.... Tuendelee na kumsupport samia. Hasa kwenye uigizaji inaonekana huko anaweza kuwa vizuri.
Bado hujasemaHakuna Rais hapa ni bomu Tena la kienyeji
Nimekupata mkuu nikiwa mitaa ya Nyamasanje baada ya kutoka Chitare nilikoenda kuchaji kiswaswadu changu bila mafanikio.Safi sana. Mimi binafsi nampongeza kwa kujitafuta na mwishowe kujipata. Kuwa yeye kipaji chake ni uigizaji.
Kwa kweli tumtie moyo kwa kuamua kuwa muigizaji. Ni jambo jema. Hiyo kada imewatoa watu wengi hasa jinsia ya kike ambao walikuwa wamepoteza matumaini sehemu nyingine za maisha.
Nasubiri sana kuona film yake mpya kama alivyosema ameamua kuangukia kwenye uigizaji. Nadhani ameona huko ndo ana uwezo nako. Heko kwake, kongole n.k.tumtie moyo kwa kweli.