Hatimaye: Serikali ya Tanzania yafuta mkataba wake na Kampuni ya Kenya (Indo Power Solutions LTD) iliyojinasibu kununua Korosho kwa Bil 400

Hatimaye: Serikali ya Tanzania yafuta mkataba wake na Kampuni ya Kenya (Indo Power Solutions LTD) iliyojinasibu kununua Korosho kwa Bil 400

Kwa ujumla Kabudi ni mjinga fulani, huyu Kabudi ndio alikuwa kwenye majadiliano ya na wazungu wa Barrick, alitoka kwenye ule mkutano na maelezo ya uongo, mara sijui tutalipa kishika uchumba, mara sijui wanapitia deni letu. Yaani hadithi kibao.
The lad is just bogus. U-profesa ni kwa ajili ya mshahara tu; na kuwakoga matonya wenzake.
 
Serikali imeufuta mkataba huo uliowahi kutajwa kuwa na thamani ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 400

Mwezi Februari mwaka huu Serikali iliweka wazi kuwa imeingia mkataba na Kampuni ya kutoka nchini Kenya ya Indo Power Solutions Ltd iliyojinasibu kuwa na uwezo wa kununua Korosho tani 100,000

Serikali kupitia Waziri wa Biashara, Joseph Kakunda imesema kampuni hiyo imeshindwa kutekeleza sehemu ya makubaliano

Aidha, JamiiForums iliibua madudu ya kampuni hiyo na kuyaanika wazi mapema mwezi Februari

Kwa Uzi ulioibua madudu ya Kampuni hiyo fungus kiunganishi hiki;

wahusika wote waliosaini uchafu huu wajiuzulu na wakamatwe haraka
 
Jamani mzee magu si alisema tunaweza tukagawana hizi korosho kila mtu akapata japo kilo mbili mbili,HNi kheri tukazila wenyewe kisha tukasubiri msimu mwingine unaokuja tutakuwa tushapata mbia wa kununua
 
Huku Zanzibar tunauziwa kijimfuko kidogo hivi 10000. Zibanguliwe zisambazwe nchini nadhani soko lipo tu.
 
Huyo jamaa alikuwa tapeli kabisa, sijui waziri aliingiaje chaka

Ni vichwa vigumu tu.
Watu wengi tu walitoa tahadhari ya kuingia mkataba na hiyo kampuni.
Nakumbuka hata serikali ya Kenya ilitutahadharisha kuwa hiyo kampuni haina ofisi zinazofahamika wala haijawahi kufanya biashara ya korosho. Serikali iliamua kuziba masikio, na sasa ndiyo wanashtuka wakati wamechelewa!
 
Huyo jamaa alikuwa tapeli kabisa, sijui waziri aliingiaje chaka

Waziri angekuwa ameingia chaka angekuwa ameshawajiwisha. Hajawajibishwa kwa sababu inawezekana kosa hilo ni la watu wengine. Wateule wa zama hizi hawana maamuzi kamili kwenye maeneo wanayosimamia hivyo hawawezi kuwajibika kikamilifu kwa makosa yanayotokea.
 
Jamani mzee magu si alisema tunaweza tukagawana hizi korosho kila mtu akapata japo kilo mbili mbili,HNi kheri tukazila wenyewe kisha tukasubiri msimu mwingine unaokuja tutakuwa tushapata mbia wa kununua
Hata kuzibangua hizo tani 250,000 kwa mwaka hawawezi wana uwezo wa kubangua tani 50000 tu kwa mwaka kwa hiyo itabidi Watanzania wanunue kwa miaka 5 halafu hiyo misimu ya 2019, 2020, 2021, 2022 na 2023 sijui watazivundika ili Watanzania waendelee kuzinunua Au ndo watatafuta mbia !!!
 
Hata kuzibangua hizo tani 250,000 kwa mwaka hawawezi wana uwezo wa kubangua tani 50000 tu kwa mwaka kwa hiyo itabidi Watanzania wanunue kwa miaka 5 halafu hiyo misimu ya 2019, 2020, 2021, 2022 na 2023 sijui watazivundika ili Watanzania waendelee kuzinunua Au ndo watatafuta mbia !!!
Iko siku tutaacha siasa kwenye mambo yanayohitaji weledi
 
Naomba Niendelee Kufurahi tuu miee.... Nakumbuka ile Series ya'' LOST " Mi nafiki Mshanipoteza, Kwani zile Korosho Tunakula Pale Chalinze Sio ndio za " Mtwala " ????
 
Waziri angekuwa ameingia chaka angekuwa ameshawajiwisha. Hajawajibishwa kwa sababu inawezekana kosa hilo ni la watu wengine. Wateule wa zama hizi hawana maamuzi kamili kwenye maeneo wanayosimamia hivyo hawawezi kuwajibika kikamilifu kwa makosa yanayotokea.
Sidhani, maana huyo jamaa hata ule umoja wa wauza mazao duniani hawamtambui, nadhani hili suala lake
 
Hii ndio mikataba anayoingia Profesa Kabudi. Nikashamuona Profesa Kabudi kwenye jambo lolote huwa najua kabisa hamna jipya hapo.
Si Prof Kabudi tu. Siku ya Kusaini Mkataba walikuwepo Maprof 7 PhD 4 na Master 3 Vs Mfanyabiashara Mmoja Kutoka Kenya
 
Back
Top Bottom