Kuna mwanamke anaitwa Rachel, yule jamaa waliyedhani amekufa sijui anaitwa Anthony?Acapulco bay dahhhhh ππ
hata story nshaisahau maana nilikuwa bado kinda kiasi na kiingereza sifuri kabisaa. Ubarikiwe mkuu
Unaijua the days of our lives mkuu au accapulco bay??? Shida enzi zile tv zilikua chache tofauti na sasaHe
Hebu nitajie hiyo ya zamani kwa hapa Tz ni IPI?Isidingo anachukua namba moja mkuu...walikuja kina the bold n beatutyfull,lamujer de mivida,de Lorenzo,secretory de amor kina the promise na nyingine nyingi ila Isidingo ikabaki!
Yule msauzi mwenye rastaMnamkumbuka derick nyathi?
Na CTN kulikuwa na Acapulco Bay miaka ya 90Zamani kulikuwa na days of our life, sunset beach. Ila ITV kulikuwa na acupulco bay nk. Hii niliingalia toka epsodi wani, kipindi nnaye mkumbuka ni Nandipa alikuwa na boyfriend wake nimemsahau kidogo
NEKTA na Vyuo viwe vinatunga maswali kutoka kwenye tamthilia Kama hizi na zile muvi za kibongoNiliwah kaa kwa watu naangalia hiyo kitu had saa 6 usiku.. kurudi home kimbembe ..asubuh nilikula mboko za kutoshaπ€£
CTN Mali ya ChamaNa CTN kulikuwa na Acapulco Bay miaka ya 90
Zamani kulikuwa na days of our life, sunset beach. Ila ITV kulikuwa na acupulco bay nk. Hii niliingalia toka epsodi wani, kipindi nnaye mkumbuka ni Nandipa alikuwa na boyfriend wake nimemsahau kidogo
Isidingo ilianza mwaka 97 au 98. Kabla ya hapo kulikuwa na "Egoli, the place of Gold"Kupitia kituo cha ITV Leo tamthilia ya Isidingo the need imefikia tamati, kwa kumbukumbu sikumbuki ilianza lini hasa ninachokumbuka ni kitambo sana enzi hizo nyumba zenye televisions zilikuwa zinahesabika kipindi hicho tulikuwa tunaita Video hahaaaa wengi walioanza kuisikia sikia enzi hizo ni 30+
Jamani mliomo humu ndani kama tamthilia hiyo ulianza nayo tangu hukoo na huna familia inayokutegemea anza kujitafakari hahaaaa natania tuu... hata hivyo mwisho wake haujanipa satisfaction kwakweli ni kama kuna part two ambapo imeishia mafioso Mr sibeko amepigwa risasi na mwanamke tusiyemjua Mara akawa kama amefariki Mara akafungua macho, chapter iliyofungwa vizuri ni ya Sechaba na Phindile...
Sibiya hatma yake na mkewe haijajulikana na watoto hatujaelewa ni wa sibiya au LA...hatma ya Nina zamdela,familia ya Lategans ,na ntando.....
all in all hii inabaki kuwa moja ya tamthilia bora kabisa nilizowahi kutizama..wajuzi wa mambo humu ndani hii kitu Ina muendelezo?I
πππMoja ya tamthiliya za hovyo , ukifatilia hyo tamthiliya utakuja kustukia we ni babu au bibi....!!!
Persons na NandiphaView attachment 1718575
Ilianza baada ya Egoli kuisha...We ndo sio wa zamani mm nimeanza kuangalia toka 1999
Yep alikua positiveNandipha alisema ana ngoma km sikosei