Naam hiyo ndio shida, aisee Mimi niliacha kuiangalia Mr.nyati alivopotea.
Na The days of our life nilikua siitilii kuna tulikua tunaangalia ndugu yetu yaani hiyo tamthilia haiishi mpaka ule unga wa juu ushuke chini mwanzo inapoanza wanaonyesha kama chupa si chupa inaunga juu na chini