uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kama wewe ni muhanga wa hizo kampuni kutapeli viwanja za mmiliki jina Yonah Kittah jongea central Dar ofisi ya upelelezi waone wahusika ukiwa na ushahidi wa documents zako zote wakutolee shimoni mtu wako ili uongezwe kwenye list ya watu waliotapeliwa na Yonah Kittah.
"Mnaenda tu kuwapa chakula hao Police"
"Mnaenda tu kuwapa chakula hao Police"