Hatimaye tapeli sugu wa viwanja nchini atiwa nguvuni

Hatimaye tapeli sugu wa viwanja nchini atiwa nguvuni

Yaani unatoa pesa kidochi kidochi hadi inafika 60M ili ununue kiwanja!!??

Poleni sana ila ukiishi na akili ya kutomuamini mtu utasalimika na mengi.
Yupo nje ya nchi alitaka kwa ajili ya ujenzi bongo sahihi aliona ni hizi agency sema tu aliwrong direction mbona yako makampuni brand ya viwanja Sio wababaishafi ,tumenunua huko mfano Blackwood, Makazi investment nk
 
Hukuna criminality hapo mkuu yupo sahihi, otherwise police wafanye falsefiction kuwalinda mliotapeliwa lakin kimsingi hakuna kesi hapo, otherwise civil case ipo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kivipi wakati kuna legal document kupitia wanasheria na anafanya kwa miongozo ya usajili wa makampuni plus miongozo ya wizara ya Ardhi ambayo hizi private company ni agency na zipo regulated na wizara.
 
Wanapigwa viongozi, wengin usalama wengine maafisa wa jeshi,ikulu haya mambo ni hadi yakukute.
Unakuta mtu kachukua beach plot kigamboni sqr 900 au 1200, potential area kachukua viwanja 4.
Akili na maarifa binafsi ya mtu hayatokani na kazi au wadhifa wa mtu.Sifa za mtu anayetapeliwa ni zile zile.
 
Wanapigwa viongozi, wengin usalama wengine maafisa wa jeshi,ikulu haya mambo ni hadi yakukute.
Unakuta mtu kachukua beach plot kigamboni sqr 900 au 1200, potential area kachukua viwanja 4.
Kama ni kweli huyu inatakiwa mtu a-deal naye. Unamalizana naye mtaani. Kesho yake unakuta magazeti yameandika ''marehemu alikuwa amevaa tisheti ya kijani na suruali nyeusi''.
 
Nashangaaga sana eti hata yule Changu dowa aliyezaa na Sugu naye kuna mazezeta yanamtumia pesa awaagizie vitu Uturuki hapo Mimi ndio huwa nashindwa kuelewa.

Hivi mgonjwa wa akili kama Faiza anakutapeli vipi pesa kama wewe una akili timamu.

Tatizo kubwa wengi hamuelewi hili swala la viwanja ujambazi namba moja wameanzisha serikali wenyewe.

Halmashauri inaweza kutangaza kuuza viwanja kwa kukusanya fee ya sh 20,000/= kwa kila fomu halafu hakuna anayeuziwa kiwanja na serikali inadhurumu pesa za watu.

Sasa na magenius wameiona fursa unakodi ofisi nzuri unalipia kodi ya miezi 6, unatafuta wadada 6 waliomaliza Chuo hawana deal unawaweka ofisini kazi yao kukusanya risiti za malipo ya bank wewe mpunga unajaa tu kwenye account.

Ukiona mtu anaishi hotelini miaka yote muogope sana.
Shangaa na wewe
Hawa maboya wanapigwa kiboya mnoo
 
Isijekuwa huyo ndiyo kaiuza bandari yetu wa Waarabu?

Maana nasikia hawa matapeli wa udalali walishamuuzia Mmasai Msikiti huko Morogoro, mahodhi ya kutwadhia wakamwabia unaona eroo, hapa unaogesgea dawa ng'ombe zako wakati wowote.

Mmasai si awapeleke ng'ombe zake usiku usiku msikitini, kishalipa hela dalali kasepa.

Muadhin anakwenda kuadhin alfajiri anakuta ng'ombe kibao msikitini, hapaingiliki.

Kimbembe.
 
Kama ni kweli huyu inatakiwa mtu a-deal naye. Unamalizana naye mtaani. Kesho yake unakuta magazeti yameandika ''marehemu alikuwa amevaa tisheti ya kijani na suruali nyeusi''.
Kila mtu ujiandalia kifo chake ishu ni mbili mapenzi au dhuluma
 
Back
Top Bottom