Hatimaye tapeli sugu wa viwanja nchini atiwa nguvuni

Hatimaye tapeli sugu wa viwanja nchini atiwa nguvuni

Hawa organized criminal gang wanacheza na mahakama na mda.
Watu wapo bize watapigwa kalenda miaka wanapungua mmoja mmoja then hakimu anafuta kesi,mtu aache mishe zake atoke Arusha dodoma au Mikoani aje dar ipigwe tarehe anakata tamaa.Kesi ya awali ilikua hivyo hivyo ana kesi kisutu tayari process yake imesuasua.
Huyu aogopi kesi huu utapeli wa kucheza na kesi Kama walivyokuwa mapapaa ya mjini.
Matapeli dawa zao Huwa ni plan B na Sio kesi mtasumbuana sana.
Kweli mkuu, mtu aliekuja kwa plan B hauwezi pata haki yako Kwa plan A ... Hapo plan B muhimu ...sema watanzania wapole sana
 
Kweli mkuu, mtu aliekuja kwa plan B hauwezi pata haki yako Kwa plan A ... Hapo plan B muhimu ...sema watanzania wapole sana
Tabia ya uaminifu kwa wazungu ilikuja baada ya kuuwana sana ikapelekea wakawa waaminifu kuepukaa kuuwawa.
Zamani ukimdhulumu mtu au fanya ubaya mtu anakutafuta kimya kimya mnamalizana matokeo yake ikapelekea watu kuheshimiana sana kwa hofu ya kuuwana,ndio asili ya uaminifu wa wenzetu hao.
Africa bado, mifumo yetu ya sheria haiwezi pambana na wahalifu labda wahalifu masikini.Afrika kesi ni biashara thus kumkuta tajiri jela labda alikanyaga papaya,tofaut na wenzetu hadhi yako Sio kigezo Cha kushughulikiwa kisheria.
Kule sheria hazimuogopi mtu.
 
Isijekuwa huyo ndiyo kaiuza bandari yetu wa Waarabu?

Maana nasikia hawa matapeli wa udalali walishamuuzia Mmasai Msikiti huko Morogoro, mahodhi ya kutwadhia wakamwabia unaona eroo, hapa unaogesgea dawa ng'ombe zako wakati wowote.

Mmasai si awapeleke ng'ombe zake usiku usiku msikitini, kishalipa hela dalali kasepa.

Muadhin anakwenda kuadhin alfajiri anakuta ng'ombe kibao msikitini, hapaingiliki.

Kimbembe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hao VKP mwaka 2017 walitupeleka Kigamboni huko kucheck viwanja vya kulipa kwa awamu, ila maeneo sikuyapenda. Tulikuwa na group la Whatsapp, baada ya muda nikaanza kuona lawama zimeanza, mara watu wakaanza kutolewa kwenye group, mwishowe nikasikia kesi. Anyways, viwanja vinavyoitwa "vimepimwa lipa kwa awamu ogopa sana"

1689918742978.png



1689918707869.png



Tusijekushangaa wakaachiwa tena
 
Hao VKP mwaka 2017 walitupeleka Kigamboni huko kucheck viwanja vya kulipa kwa awamu, ila maeneo sikuyapenda. Tulikuwa na group la Whatsapp, baada ya muda nikaanza kuona lawama zimeanza, mara watu wakaanza kutolewa kwenye group, mwishowe nikasikia kesi. Anyways, viwanja vinavyoitwa "vimepimwa lipa kwa awamu ogopa sana"

View attachment 2695017


View attachment 2695016


Tusijekushangaa wakaachiwa tena
Huyo white nyuma ndie Yona Kitta .
Hii kesi ya mwaka 2019 alikimbia dhamana hakupatikana na watu wakawa wamechoka kwenda mahakamani kufuatalia kesi,Akafungua kampuni nyingine ya Q na R Manzese Darajani huko kapiga pia pesa za maana.
Wanajua pa kuchomokea
 

Attachments

  • Screenshot_20230721-113352.png
    Screenshot_20230721-113352.png
    233.8 KB · Views: 27
Mi wote hawa wa viwanja sijui wanawabeba kwa gari naonaga matapeli. Na ubaya hadi serikali za mitaa za maeneo hayo nazo zinahusika kwenye utapeli. Siku hizi inabidi kufanya uchunguzi wa kutosha kabla hujatengana na milioni zako.
Sure mkuu
 
Hii ni habari njema sana kwangu hii kampuni imenidhulumu viwanja sita na huyu yona anamajibu ya dharau akiwa na wenzake emma. Alieafanikisha kupatikana kwake MUNGU atamlipa. Aemdhulumubwanafunzi wa vyuo viwanja kuanzia Chuo cha maji,kampala chuo cha maendeleo na udsm.
Poleni sana
 
Ukisikia kampuni inauza viwanja,au online business sijui unalipa pesa wanakuagizia mzigo China kwa Bei rahisi usiingie na mguu wa kulia.
Hata Kama Wana ofisi hakikisha kwanza usalama wa pesa zako au try at your own risks.
Watz Sasa hivi wanafundishwa utapeli wa organized group na Wanigeria wanafungua legal office Kama mzionazo sampuli ya hizi DECI wengine ujifichia hadi kwa viongozi,Huwa wanaanza vizur tu mwanzon ili kuvutia wengi wakishapata market kubwa pesa ikaingia kwa wingi hapa ndipo wanapokuja achwa watu.
Hata online business hivyo hivyo mtaenda vizur ndani ya mwaka watajenga uaminifu wakishapata mzunguko mkubwa tu wanapiga.
Kisha wanacheza na kesi madai mahakamani miaka huku wanafungua kampuni nyingine kwa jina lingine kuendelea kupiga.
Mamlaka imelala na aina hii ya utapeli nchini.

Kampuni zote zinazodili na watu kutrust na kushawishi watu kuweka pesa zao ili wapate bidhaa au huduma ni za kumulikwa sana.
Yupo Moja Arusha huitwa David Kambele ni tapeli hafai. Anachukua sehemu za watu anaziuza kwa mtundo huo wa kulipa kidogokidogo, Kisha anahonga mabaraza ya kata na watendaji anaanza kuzungusha wamiliki halisi... Serikali imfatilie huko muriet na Terat ameliza watu sana

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa c anauza mpaka bomang'ombe ?
 
Back
Top Bottom