Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Naomba niambiwe tofauti ya maafikiano na Mkataba
maafikiano sio rasmi na kikawaida ni ya mdomon ila mkataba lzm uwe kweny maandishi ingawaje maafikiano ndo mkataba , yaani mnachoafikiana ndo mnaandikishana kuitwa mkataba
 
Reactions: Cyb
Una tatizo kuchambua na kuchanganua mambo kama hauendeshwi na hisia za kidini. Bado hujajua tu kuwa mchango wa TEC kwenye swala la bandari umebadilisha vitu vingi kwa maslahi ya taifa? Anyway kwenye nchi mbaboya hawakosekani, inawezekana kweli wapo waliopoteza Imani!
 
wewe ni ng'omb kbs , yaan unachoafikiana kinaeza kuwa tofaut na unachoandikishana ( mkataba) , mijitu mipumbav ni mingi uraian na ndo mtaji wa ccmu
 
Niliandika mara nyingi kwamba hii tabia ya kuwaendekeza mambo ya dini kwenye maslahi ya Nchi sio sawa.
Mkuu samahani, hivi mapokezi yaliyofanywa na Makamu wa Rais kwa Cardinal Lauream Rugambwa yalikuwa official au alifanya yeye kama mtu binafsi?

Huku kwenye kahawa story ni nyingi. Naamini utanisaidia
 
Walitakiwa wapeleke maoni Yao na si waraka mana tayri wameleta taharuki na kuonesha kuwa nchi imeuzwa na hapa walitaka kufanya uhaini mkubwa sana mana watu wangeandamana na kuchinjana bila sababu yyoyote
Hao watu waliotaka kuchinjana kwa Sababu ya waraka wa TEC nani aliwazuia wasichinjane? TEC ilisema lini na wapi kuwa nchi inauzwa? Kweli wewe akili yako unaujuwa mwenyewe
 
TEC ARE JUST USELESS EATERS OF THIS BEAUTIFUL COUNTRY,WANAWANYONYA SANA HAWA NORMAL GOOD CHRISTIANS,INSHORT TEC NA BAKWATA NI WA KUPELEKA KWENYE CONCENTRATION CAMPS ZA HITLER...
hujui athari za ule mkataba walikuwa wanautetea ccmu , na ww ulivyo km ng'omb huelew mpk ss kwnn wamejistukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…