MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Kaka acha tu hamna muda mgumu Kama wakati unakutana na uliyemtesa alafu muda huo yamekubali ,utatabasamu Mara ujichekeshe mpaka unajionea aibu weweAhahahahahahahqhqh...
Umenichekesha sana mkuuu..
Wanasemaga kuwa "shida zina tabia ya kukupeleka kwa wale uliowazingua ndio wakusaidie " 🤣🤣🤣
Sasa hapo lazima tu uwe fund wa kujichekesha ili mambo yaende 😆😆
Angekua hakunisaidia maana yake tusingekua na ukaribu wa yeye kunifungukia ishu zake..Je ingekuwa hajawahi kukusaidia usingemsaidia? Je unatenda wema kama malipo?
natural law paysHuyu jamaa alishawah nisaidia nikaipata bag ya laptop niliyoibiwa nikiwa nimepaki gar ofisin na laptop nimeacha ndani ya gari.
Hanijui simjui ila alikua mpangaji mwenzagu kwenye hizo frame.
Alinisaidia baada ya kuitafuta sana kuambulia patupu nikakata tamaa. (Ni story ndefu sana).
Ila mwisho wa siku nikaipata na tukaachana na hatukuwahi onana tena miaka maana hata ofisi nikaamua kuhamisha.
Sasa juzi kati nikakutana nae TRA anafuatilia Tax clearance. Biashara yake imekua sasa na anaifanya kwa mfumo wa kampuni.
Ila ni mgeni kabisa kwenye masuala ya mahesabu na uandaaji wa taarifa kwaajil ya kodi akanielezaaa na mwisho wa siku akanambia kila anapogusa, tax consultant wa chini kabisa kamtoza 2M na hiyo pesa hana na ana haraka na hiyo certificate.
Tukabadilishana namba kisha nikapiga simu kadhaa kwa mtu wangu wa karibu tunae heshimiana nikamuomba amsaidie jamaa angu, kisha nikawaunganisha.
Baada ya siku 1 akanipigia jamaa anashukuru mnooo, maana yule mdau wangu wa hesabu alimfanyia kaz yake sawa na bure kabisa akamtoza hela ya maji tu 300k kutokana na mahusiano baina yanfu na yake.
Jamaa akafurah sana.
Nami pia nikafurahi.
Maana alishanisaidiaga kwanza before!!!.
Dunia Duara...
Malipo hapa hapa
Waliosema wema hauozi hawakukosea aisee. Wakati mwingine unafanya wema halafu unasahau baada ya muda fulani unakutana na surprise ya kulipwa mara 10 ya ulichotoa.Mimi kama roho nzuri ni maradhi basi itaniua sisubiri kuambiwa nna roho safi sana hua nautenda wema unarudi mara 10 zaidi na ukihitaji kufurahia ihsan basi fanya kwa siri inafungua sana njia hio
ni wazo tuh pengine watu wa matangazo wanaweza kulichukuaAcha ujuaji
Sawa mkuu, mbarikiwe Sana...huo ndiyo ubinadamuHapana, tukiwakamata jamaa walioiba, na ndio maana nikasema ni story ndefu maana kwenye ile laptop bag pia kulikua na wife device ambayo ilikua connected na simu yangu so ilituongoza kupata muafaka japo jamaa ali play part kwa 95% maana jamaa nafikiri ana uhusiano na polisi yale maeneo niliokuwepo
upo sahihiAahh we acha tu mkuu, mambo mengine unaamua kuya ignore tu
Amen..hakika japo ubinadam kazi maana sio wote binadam. Umakini pia ni muhim usije ukanyongwa kwa kamba yako mwenyewe au ukaponzwa na wema wako mwenyewe. Si unaelewa tena?Sawa mkuu, mbarikiwe Sana...huo ndiyo ubinadamu
Hakika nimeelewa mkuuAmen..hakika japo ubinadam kazi maana sio wote binadam. Umakini pia ni muhim usije ukanyongwa kwa kamba yako mwenyewe au ukaponzwa na wema wako mwenyewe. Si unaelewa tena?
uko sahihi, lakini naweza kukata pia ushahidi haujitoshelezi japo sio lengo kuuDr hyperkid nimekuwekea screenshot ya chat fupi ili uamini kuwa am not intending anything else.
View attachment 3132273
Pamoja sana chief.Safi mkuu.
For real Sir...it paysnatural law pays
Huwa inashangaza sana na wakat mwingine inakua ngumu kuaminiWaliosema wema hauozi hawakukosea aisee. Wakati mwingine unafanya wema halafu unasahau baada ya muda fulani unakutana na surprise ya kulipwa mara 10 ya ulichotoa.
Sawa, lengo tu nataka nikuamishe kuwa sina utterior motive wala huu uzi hauna lengo la kutangaza chochote kwa hila.uko sahihi, lakini naweza kukata pia ushahidi haujitoshelezi japo sio lengo kuu
Naonaga kichwa Cha habari tu ,dada kureply inagoma siku zote ,labda kichwa Cha habari iwe namba niweze kuusoma na kupigaSawa mkuu, mbarikiwe Sana...huo ndiyo ubinadamu
Sawa mkuuNaonaga kichwa Cha habari tu ,dada kureply inagoma siku zote ,labda kichwa Cha habari iwe namba niweze kuusoma na kupiga
upo sahihi mkuuSawa, lengo tu nataka nikuamishe kuwa sina utterior motive wala huu uzi hauna lengo la kutangaza chochote kwa hila.
I hope umenielewa