Hatimaye tumekutana tena. Alinifaa kwa Jua lake leo nimemfaa kwa mvua yangu

Reciprocation at work
 
Kuna kipindi fulani nilikuwa na pesa nikawa mtu wa kumsaidia Kila mtu mwenye shida ilimradi nina uwezo wa kumsaidia, leo sina kitu na wale niliokuwa nawasaidia ndio wanaonicheka. Wameshasahau jinsi walivyokuwa Wananijia usiku huku wakibisha hodi hadi mlango ukalegea kwa sauti zao zilizokuwa zinatia huruma. Sasa hivi nina roho ngumu hailezeki sitaki shobo na mtoto wa mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…