Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mtatoa kila aina ya visingizioHao ni wale work permit illisha ila Mabeberu wengi hawataki kurudi kwao kwa sasa
Kuna wengine watakuja maana wamebuku ndege mpaka august watakuja kutalii.Leo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
HahahahahahaWanaenda kuwa mabalozi wazuri waendako tutegemee watalii kuanza kumiminika
Umefarijika na nini mkuu? Mimi hakuna kitu kinachonikasirisha kama serikali kufanya usanii wakati watakaoumia ni walala hoi. Tusijidanganye, bado tunawahitaji sana mabeberuG Sam, hapo roho yako umefarajika!
Tuwatakie maisha mema huko kwao wasije kuambukizwa. Na ikiwezekana wafunge kabisa Ubalozi wao wasirudi tena. Watatumia Ubalozi wao ulioko Kenya kwa masuala ya Tanzania.
Huko ndio wanaenda kufa tuLeo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
Lipi hiloHuko ndio wanaenda kufa tu
Unajua mwingereza ni binadamu kama wewe tu. Siku ukijithamini utaelewa hoja yangu.
Hivi wamekufa wangapi wakiwa apa bongo ubalozi wao umeripoti raia wao waliokua Tanzania wamefariki??Isije kua wakafka uko ndio wakadanja itakua noma snMungu wabariki wazungu
Watakuwa wameondoka kwa sababu zao nyingine na sio covid19Leo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
Ivi walikua wanapga mishe gn bongo mbn wengi iv kaka