Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Mbowe ameshakwenda Kenya kujipima corona?Nyie kenge kwa ulaghai mmeshiba.Gharama za kuwaleta watu toka india sio za serikali mapumbafu nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ameshakwenda Kenya kujipima corona?Nyie kenge kwa ulaghai mmeshiba.Gharama za kuwaleta watu toka india sio za serikali mapumbafu nyie
Mungu wabariki wazungu
Hivi sisi walikua wanatuita nyani eti?Hao ni wale work permit illisha ila Mabeberu wengi hawataki kurudi kwao kwa sasa
Uzalendo ni nini ?Mkuu kuwa Mzalendo kwa Nchi yako, na kwa Taifa lako la Tanzania. Muombe Mungu atubariki sisi Watanzania. Au hukushiriki kwenye yale maombi ya siku 3 ya kuliombea Taifa dhidi ya adui Corona!!
Mkuu hivi unavutaga bangi gani lakini? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaenda kuwa mabalozi wazuri waendako tutegemee watalii kuanza kumiminika
I am waiting to see just one positive posting about your country. So far you have not seen any positive issues, event or processes concerning your country? Or you are an alien?Mungu wabariki wazungu
Ngidi koyu nianji jakunaa MoD ole.Sasa mkuu mbona wewe ukileta habari hatukupigi rungu? Hiyo ni habari na mimi nimeibeba nikaiweka humu bwashee. Acha kukimbia kivuli kama dingi bwashee.
Hivi sisi walikua wanatuita nyani eti?
Uzalendo ni nini ?
Njia ya muongo fupi. Aibu hadi mnatia huruma. CCM oyee.Hao ni wale work permit illisha ila Mabeberu wengi hawataki kurudi kwao kwa sasa
Comrade hongera sana nasikia hapo Dar mmetangaziwa korona mwisho jumapili tarehe 24 🤣 🤣 🤣Hao ni wale work permit illisha ila Mabeberu wengi hawataki kurudi kwao kwa sasa
Sasa Maghembe nchi zinazosaidia raia wake kwenye majanga kwanini zisibarikiwe? Halafu kupuuza waliokumbwa na mafuriko Lindi , kudhulumu korosho , kudhulumu hela ya tetemeko , kuteka watu , kuvunja nyumba za raia bila fidia ila wa kwenu hawavunjiwi , kuficha taarifa za corona nk . hizi ndio positive issues unazozizungumzia ?I am waiting to see just one positive posting about your country. So far you have not seen any positive issues, event or processes concerning your country? Or you are an alien?
Nilipoona comment yako mara ya kwanza nilijua ni binti yako wa chekechea amepost kumbe ni wewe mwenyeweHao ni wale work permit illisha ila Mabeberu wengi hawataki kurudi kwao kwa sasa
Kama Lugola siyo !Ni ile hali ya kuwa mwanachama wa ccm, ikibidi unatembea ukiwa umevaa skafu ya chama kama yule mheshimiwa fulani, au unashonea kabisa rangi za chama na kutembea na ilani yake kama yule mheshimiwa mwingine yuleee!!
Wameona jinsi viongozi wako wanavyochezea uhai wa watu wakaamua kusepa.Watakuwa wameondoka kwa sababu zao nyingine na sio covid19
Maana hata kwao hamna lockdown tena
Ni" STAY ALERT"
Sent using Jamii Forums mobile app