Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni raia wao lakini watalii wameshaja ndege full booked mkuuLeo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
Wacha kupoteza nguvu zako kumjibu huyo zuzuHahahaha hahahaha sasa sebene la Makonda mbona wanalikimbia?
Kazi yetu ni kuwajulishaNaona sasa mmeachana na Kenya mmehamia UK!
Ni fully comedyDah sasa hawa kama wameondoka hao watalii wankujaje? maan nilidhani hawa ndio wangetoa hali halisi ya covid na kuwaconvince watalii waje. mburaaaa
na bado eti mtu anaaminishwa kua waziri anapokea simu za watalii waliochoka kufungiwa huko waje tanzania, upuuzi mtupu
Tanzania iliondoa raia wake zaidi ya 200 India.
Nilijua mleta Uzi naye mwingereza kumbe mzaramo wa kimbiji. Acha kila mtu awe kwao. Jamaa hawajakumbuka kuwachukua watetezi wao machadema.
Nani atawajazia bakuli lenu?G Sam, hapo roho yako umefarajika!
Tuwatakie maisha mema huko kwao wasije kuambukizwa. Na ikiwezekana wafunge kabisa Ubalozi wao wasirudi tena. Watatumia Ubalozi wao ulioko Kenya kwa masuala ya Tanzania.
Kuna wengine watakuja maana wamebuku ndege mpaka august watakuja kutalii.
Leo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
HawadanganyikiNakatisha mitaa ya airport muda huu naiona British airways inapakia mizigo
Hawa jamaa wako serious kweli
Wale walikuwa wagonjwa nyau mweusi weweMakamanda wanajifanya hawakuona hilo.
Vizuri.Leo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
Asante sana mamaa jamaa anajifanya much knowWale walikuwa wagonjwa nyau mweusi wewe
Kuitokomeza cdm ndiyo kutaimaliza corona?Acha waende kwao, wametuachia watanzania uwanja mpana wa KUITOKOMEZA CHADEMA NA UPINZANI UCHWARA KWA UJUMLA!
Corona inafikaje hapa? Kwa nini badala ya corona hujaweka umasikini au ujinga au ukoma?Kuitokomeza cdm ndiyo kutaimaliza corona?
In God we Trust
Hahahaha... ungejua.Hata Magufuli ni binadamu kama wewe lakini halingani na wewe