Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,406
- 2,521
Tuendelee kuwaita tu mabeberuKwasababu zipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kuwaita tu mabeberuKwasababu zipi?
Kamanda, hata huko kwenu Kenya walishaondoka piaLeo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
DJ wa Ufipa alimwondoa mtoto wake kutoka Uingereza kamrudisha Tanzania ambapo amepona covid-19Huko kwenu Tz wataondoka mfululizo, utabaki peke yako
Umefarijika na nini mkuu? Mimi hakuna kitu kinachonikasirisha kama serikali kufanya usanii wakati watakaoumia ni walala hoi. Tusijidanganye, bado tunawahitaji sana mabeberu
Hao ni wale work permit illisha ila Mabeberu wengi hawataki kurudi kwao kwa sasa
Nina heshimu sana michango yako kuna kitu ambacho wewe unakiona, lakini watu wengi huchelewa kukiona.Sasa Maghembe nchi zinazosaidia raia wake kwenye majanga kwanini zisibarikiwe ? Halafu kupuuza waliokumbwa na mafuriko Lindi , kudhulumu korosho , kudhulumu hela ya tetemeko , kuteka watu , kuvunja nyumba za raia bila fidia ila wa kwenu hawavunjiwi , kuficha taarifa za corona nk . hizi ndio positive issues unazozizungumzia ?
Ccm oyeeWameshaingiza mapato ya utalii sasa wanarudi. Kigwangala 2020 ametekeleza
Siku wakirudi tupate majina na idadi ile ile ili tujue walikoelekea kama kuna usalama zaidi ya hapa Bongo!
Siku watu wakianza kupukutika na Jiwe likiwemo, Tanzania mtanena lugha mojaMkuu hawa jamaa kuna jambo wewe hulijui