All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,569
Naona umefurahiLeo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
Juha wewe kabisa
Wacha wasepe
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umefurahiLeo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
Na sisi wa kwetu kule India tuliwarudisha ndio walikuwa raia wa mwisho kurudi Tanzania toka India.Leo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.
Dah sasa hawa kama wameondoka hao watalii wankujaje? maan nilidhani hawa ndio wangetoa hali halisi ya covid na kuwaconvince watalii waje. mburaaaa
Kwa hiyo hawa wamelipiwa nauli na serikali ya uingereza ama!!Wale walikuwa wamekwama kule hawana hata chakula kajitolea mfanyabishara akalipia ndege ikaenda kuwachukua. Hakuna serikali iliyowajibika!
Corona inafikaje hapa? Kwa nini badala ya corona hujaweka umasikini au ujinga au ukoma?
Watu wamejilipia nauli ghli $850 eti Tanzania iliwaondoa indiaTanzania iliondoa raia wake zaidi ya 200 India.
Bado una mawazo ya utegemezi, du! Sawa tutajikuna pale mikono yetu itakapoweza kugusa.Nani atawajazia bakuli lenu?
In God we Trust
Kwasasa wakuu wa mikoa ya mipakani wameachwa solemba inabidi wafungue boda kwa aibu.Naona sasa mmeachana na Kenya mmehamia UK!
Hahahaaaa....... Kwa ule mkwara wa RC Shigella sasa itabidi akajadiliane na Gavana Joho wa Mombasa!Kwasasa wakuu wa mikoa ya mipakani wameachwa solemba inabidi wafungue boda kwa aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afya na uhai ni bora kuliko maisha cheap, hata hivyo watajitenga na vumbi na madimbwi ya mbu.Wanayaacha maisha cheap.. Wanaenda kwenye real life sasa.
Wakati wazungu wanaotafuta data hata kwa projections wanakimbiaComrade hongera sana nasikia hapo Dar mmetangaziwa korona mwisho jumapili tarehe 24 [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Aliwarudisha tajiri mmoja hiviNa sisi wa kwetu kule India tuliwarudisha ndio walikuwa raia wa mwisho kurudi Tanzania toka India.
Je, uliwaona? Na Je, ulikuja hapa JF kuwaanzishia uzi?
Mambo mengine ya kipumbav na kinafiki. So, akiwaondoa nini cha maana zaidi unakiona hapo? Unaondoa watu sehemu walipokufa makumi au mamia unapeleka sehemu walipokufa makumi elfu. Does this click in your mind?
Magu anasema uchumi wetu ni muhimu kuliko chochote kile?any way sema tu corona yenyewe haiko fairHao ni wale work permit illisha ila Mabeberu wengi hawataki kurudi kwao kwa sasa
Kwa Kuna watu kazi yao ni kutilii tu.Hii kauli haiwezi kuwa imetolewa na mtu mwenye afya nzuri kichwanina bado eti mtu anaaminishwa kua waziri anapokea simu za watalii waliochoka kufungiwa huko waje tanzania, upuuzi mtupu
Kweli kwenye ujinga tupo vizuri sana .anyway kama corona iko fair utaniambia,tuombe uzimaAcha waende kwao, wametuachia watanzania uwanja mpana wa KUITOKOMEZA CHADEMA NA UPINZANI UCHWARA KWA UJUMLA!
wacha wajiondokee zao tu.... huku kwetu wamejaa merchants of death tu!Leo raia wapatao 200 wameondoka Tanzania kurudi Uingereza ikiwa ni kundi la mwisho la raia hao kuondoka.