Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Muda sanaaa...Wamesha chelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda sanaaa...Wamesha chelewa
Ukimsoma aliekua MKUU wa CIA wa US mike pompeo utaelewa hili halafu utajua kama wizi ni uzalendo ama laa katika mifumo yao.....
Umenichekesha sana mkuuUzalendo wa kuiba mali za watu? [emoji15][emoji15][emoji15]
sijawahi kusikia Wazalendo wakihamasishwa kuiba mali za watu.
Wachina wataendelea kupata ajira MKUU labda huko umagharibini ila sio ASIA nakwengineko.....Wachina walikuwa wanapata ajira nyingi sana kwenye makampuni makubwa ya IT na hata Serikalini. Sasa hivi washanyea kambi makampuni mengi yatawaangalia kwa macho manne manne na Serikalini ndiyo wasahau. Tuone sasa watakavyoendelea na wizi wao wa Technology na hiyo HUAWEI ndiyo inapigwa vita katika Nchi nyingi za magharibi kwa kuhofia kuendeleza wizi wa aina mbali mbali.
Wachina wataendelea kupata ajira MKUU labda huko umagharibini ila sio ASIA nakwengineko.....
Mbona hili Marekani ameanza kulifanya tokea karne ya 19 ???Kutumia raia wake walioajiriwa na makampuni ya US pia wanafunzi wa Kichina US katika field hii ya technology kuiba utaalamu na kuupeleka kwao.
Duniani hapa hakuna mchezo msafi, hasa kwa haya mataifa makubwa. Marekani anapambana kwa nguvu sana na Uchina kwasasababu anachofanya Uchina kwasasa ndicho kilekile ambacho Marekani alikuwa anakifanya dhidi ya Uingereza mnamo karne za 19 na 20.Kabisa inaonyesha angeacha game iwe fair mpaka 2025 Huawei ingekuwa na nguvu kuliko Kampuni nyingine yeyote ya technolojia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hili Marekani ameanza kulifanya tokea karne ya 19 ???
Taifa gani kubwa duniani halifanyi hivi ???
United States of America is second to none when it comes to the art of corporate/industrial espionage: Everything American was stolen from Europe, starting with Water-Powered Textile Mills to the Nuclear Bomb. History will remember America as the greatest technological pirate of all times.Huu mchezo China mwenyewe ndio aliuanza,anachofanya Marekani ni kupita mule mule kwa China.
Unadhani technolojia ya nyuklia ilianzia Wamarekani eeh ???Ni Wamarekani wangapi waliokamatwa wakiiba technology ya Taifa jingine? Ni Taifa lipi hilo ambalo waliibiwa na wamarekani!?
Unadhani technolojia ya nyuklia ilianzia Wamarekani eeh ???
USA katika ujasusi wa kiuchumi hata sio wa kuwa tetea ndugu ...wameshawahi kucheza michezo michafu mingi tuNi Wamarekani wangapi waliokamatwa wakiiba technology ya Taifa jingine? Ni Taifa lipi hilo ambalo waliibiwa na wamarekani!?
Nimekuuliza swali rahisi sana na umeshindwa kujibu:Jibu maswali yangu acha kuruka ruka! Kwani nimeandika Kichina!? 😳😳😳
Nimekuuliza swali rahisi sana na umeshindwa kujibu:
Unadhani teknolojia ya nyuklia ilianzia nchini Marekani ???
USA kaisha sema mimi ni nani nikataee?!! Mbona ni nchi nyingi sana zimesha ungana naye, INDIA, ITALY, FRANCE, UK!!! akishakuwekea fitina ni ngumu kupenya!!!Hili linadhihirisha kwamba Marekani ameshikwa pabaya sana na Uchina. Muingereza ajipange tu maana ameamua kuingilia hii vita wakati hali yake siyo nzuri sana!
Mkuu Hearly mwanahistoria nguli wa Kiyahudi Doron Ben-Atar anasema maneno haya kuhusu Marekani kwenye kitabu chake kiitwacho "Trade Secrets" : "the United States emerged as the world's industrial leader by illicitly appropriating mechanical and scientific innovations from Europe"...........USA katika ujasusi wa kiuchumi hata sio wa kuwa tetea ndugu ...wameshawahi kucheza michezo michafu mingi tu
It's not difficult, it's just lousy.Why should I answer your question while you’re avoiding to answer my question? 😳😳😳 Do you find my question too difficult to answer?
Kwamba Marekani akisema ni lazima dunia ifuate: Unadhani ITALIA na UFARANSA ni nchi za ulimwengu wa tatu ambazo zinaendeshwa tu na Marekani ???USA kaisha sema mimi ni nani nikataee?!! Mbona ni nchi nyingi sana zimesha ungana naye, INDIA, ITALY, FRANCE, UK!!! akishakuwekea fitina ni ngumu kupenya!!!
Kwani MKUU unapo uongelea wizi lazima uwe wakiteknolojia ?!Ni Wamarekani wangapi waliokamatwa wakiiba technology ya Taifa jingine? Ni Taifa lipi hilo ambalo waliibiwa na wamarekani!?
Naam najua hujataja chochote kuhusu ASIA namie sikutaja kuhusu WESTERN sababu hata dunia yenyewe kwakiasi kikubwa imeelemea ASIA kwasasa sababu ndio wahitaji wamekua wengi zaidi kuliko sehemu yeyote ile ULIMWENGUNINasemea Nchi za magharibi ambapo maelfu wameajiriwa, sikuandika chochote kuhusu nchi za Asia.