Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usihangaike naye: Nimemuuliza swali rahisi sana ambalo lingejibu swali aliloniuliza!Kwani MKUU unapo uongelea wizi lazima uwe wakiteknolojia ?!
Na kama ukiwa wakiteknolojia lazma wakamatwe ndio ujue kama wameiba ?!
POMPEO aliweka wazi hili kama wanadanganya nawanaiba sasa usichotaka kuamini naunakibishia kipi MKUU ?! Naam najua hujataja chochote kuhusu ASIA namie sikutaja kuhusu WESTERN sababu hata dunia yenyewe kwakiasi kikubwa imeelemea ASIA kwasasa sababu ndio wahitaji wamekua wengi zaidi kuliko sehemu yeyote ile ULIMWENGUNI
AtapingaUsihangaike naye: Nimemuuliza swali rahisi sana ambalo lingejibu swali aliloniuliza!
Anadhani wale wakina Einstein na wanasayansi wengine walikuwa ni raia wa Marekani.
Ameshindwa kujibu swali rahisi kabisa,........
Umuhimu wake mambo mengi sana ila kwaharaka haraka nisuala zima lakibiashara na US hataki apitwe juu yasuala hili.....umuhimu wa 5G ni upi?
why america anaupinga sana
Hahaha halafu hilo analijua kabisa ila amechagua kuwa mpofu wa kuliona hilo kwaajili ya mapenzi tu aliyonayo dhidi ya USAUsihangaike naye: Nimemuuliza swali rahisi sana ambalo lingejibu swali aliloniuliza!
Anadhani wale wakina Einstein na wanasayansi wengine walikuwa ni raia wa Marekani.
Ameshindwa kujibu swali rahisi kabisa,........
hebu nidokeze faida zake mkuu maana sio kwa ban hizo mara India mara kwa cameroon.Umuhimu wake mambo mengi sana ila kwaharaka haraka nisuala zima lakibiashara na US hataki apitwe juu yasuala hili.....
Kabsa asee...Hahaha halafu hilo analijua kabisa ila amechagua kuwa mpofu wa kuliona hilo kwaajili ya mapenzi tu aliyonayo dhidi ya USA
Kwani MKUU unapo uongelea wizi lazima uwe wakiteknolojia ?!
Na kama ukiwa wakiteknolojia lazma wakamatwe ndio ujue kama wameiba ?!
POMPEO aliweka wazi hili kama wanadanganya nawanaiba sasa usichotaka kuamini naunakibishia kipi MKUU ?! Naam najua hujataja chochote kuhusu ASIA namie sikutaja kuhusu WESTERN sababu hata dunia yenyewe kwakiasi kikubwa imeelemea ASIA kwasasa sababu ndio wahitaji wamekua wengi zaidi kuliko sehemu yeyote ile ULIMWENGUNI
5G nikama mwenzako aende sehemu kwa miguu halafu wewe utumie gariHebu nidokeze faida zake mkuu maana sio kwa ban hizo mara India mara kwa cameroon.
Wizi wa vingi ila main ilikua teknolojia nikataka kukupa hio ila naona jamaa hapo juu akamaliza kila kitu.....Sasa kumbe wewe unataka wizi wa nini? Maybe we are discussing about two different issues?
wizi wa vingi ila main ilikua teknolojia nikataka kukupa hio ila naona jamaa hapo juu akamaliza kila kitu.....
Sent using My COVID-19
What America is doing against China is The Pot calling the Kettle black.Huawei regularly tried to steal Apple trade secrets
What America is doing against China is The Pot calling the Kettle black.
Which country in the world doesn't commit her resources to industrial espionage ???
Hata BAVICHA tu nasikia mna intelijensia yenu, hata sijui huwa mnadukuaga nini teh teh !
Bwahahaha, nimekuuliza swali rahisi umeshindwa kujibu:😂😂😂😂😂 I ask you a simple question to come up with the evidence, and you are all over the place talking about your stupidity with no CONCRETE EVIDENCE. This issue has nothing to do with BAVICHA or UVCMM.
Kwestion ipi mkuu hem iweke upya pengne sijaiona.....Answer my questions please!
Bwahahaha, nimekuuliza swali rahisi umeshindwa kujibu:
Unadhania hiyo teknolojia ya nyuklia tafiti zake zilianzia kwa wamarekani ???
Unadhani teknolojia ya nyuklia ilianzia Marekani ???🤣🤣🤣🤣🤣🤣 and this question is TOO DIFFICULT for you to answer because this ARAB LANGUAGE is very FOREIGN to you
Hahahahaha UPOLOTOOOOO!
~*~*~*~*~*~*
Ni Wamarekani wangapi waliokamatwa wakiiba technology ya Taifa jingine? Ni Taifa lipi hilo ambalo waliibiwa na wamarekani!?
Heee!! Hujasikia kuwa Italy, na france tayari wameshaiwekea ngumu huawei kuzindua hiyo 5G??USA ndio kilanja wa dunia, putin na ubabe wake lakini huwa inafikia kipindi ana kuwa mpole!!!Kwamba Marekani akisema ni lazima dunia ifuate: Unadhani ITALIA na UFARANSA ni nchi za ulimwengu wa tatu ambazo zinaendeshwa tu na Marekani ???