Hatimaye Uingereza yaipiga marufuku Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo

Hatimaye Uingereza yaipiga marufuku Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo

sema US wachekeshaji wengi sasa unafungia Huawei na matawi yake lakini Oppo vivo unaziacha hii inakuwaje, Kama mbabe kweli fungia vya uchina vyote yaani usiwauzie chochote kinachohusiana na teknolojia

Kipindi hiki Rais wa Marekani analalamika Kama mwenyekiti wa upinzani huku keko machungwa vituko Sana

Yaani huko Twitter, kila siku Rais wa Marekani analalama tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huawei sio sim tu ndiyo kampuni kubwa inayotengeneza equipment za 5G networks pamoja na software duniani. Shida ni kwamba inasemekana inakua backed up na Chinese army,wazungu wanaogopa uwezekana wa China/ Huawei kuweka backdoors kwenye systems na kuiba Tech na information.

Pia wanaogopa kuwa tegemezi kwa tech ya mchina make itabidi wacheze mziki wake,wangependa huawei at least iwe kampuni huru isiokua na uhusiano wowote Na CCP, Govt lakini kwa China haiwezekani.

Sio kwamba Huawei yuko peke yake kwenye 5G,kuna Nokia ya Finland, Ericsson ya Sweden, Qualcomm ya USA. Tofauti ya hizi na Huawei ni kwamba ni 100% private owned companies bila mkono wa serikali yoyote,Ila bei za kit zao ziko juu kuliko Huawei.

Ukiangalia hata sim zao huawei data centres kwa ajili ya kuhifadhi taarifa za wateja wa Africa ziko Hongkong kwa sababu mainland China hakuaminiki,taarifa za ulaya zinahifadhiwa pale pale,marekani hauzi sim. Hongkong new security law imevuruga kila kitu.
 
Kitu kingine ambacho nahisi kitaweatesa Huawei ni kwamba chips za 5G Zina disainiwa na kampuni za marekani,wamepewa ban saiz inabidi waje na chips zao wenyewe from the ground bila kukopi.
 
Mkuu, Waingereza ni wajanja sana - wanangalia upepo unavyo vuma, kwa taarifa yako Waingereza wamewekeza sana huko Uchina na Wachina wamewekeza Uingereza, vile vile wanashirikiana kwenye masuala ya sayansi na teknojia - walivyo wajanja ebu fikiria statement hii kwanza: wanamwambia Trump kwamba mitambo ya Huawei itaondolewa taratibu watakamilisha zoezi ifikapo mwaka 2027 hii inakupa picha gani? Wanasema hivyo kumfurahisha Trump lakini deep down wanajua mpaka ifike 2027 Trump na chama chake kitakuwa kimeondoka madarakani na mambo mengi yatakuwa yamekwisha badirika Duniani na Kampuni ya Huawei ndiyo itakuwa kinara wa teknilojia hii si ajabu watakuwa wamekwisha zinduwa 6G and beyond.
Sidhani ni kwa sababu hiyo,,, huawei equipment zitakua phased out kwa awamu ili kuto disturb mfumo wa mawasiliano na pia kupunguza stress za gharama kwa makampuni ya sim. BT, Vodacom walishanunua na kusimika kit za kutosha za 5G toka huawei kwa pesa nyingi,hawawezi zitoa kwa pamoja kwa wakati mmoja.
 
Masuala yamigogoro yamipaka yalikuwepo tu kabla lahili saga la HUAWEI je hakukua naushirikiano wakibiashara baina yao ukiwemo huu wa HUAWEI ?!
yalikuapo ila kadri China inavyokua kiuchumi na toka Xi alivoingia madarakani amekua akiwaburuza wote anaokua na migogoro nao. Hao majirani wanaona China is not to be trusted especially kwenye issue za usalama wa mataifa yao.
 
yalikuapo ila kadri China inavyokua kiuchumi na toka Xi alivoingia madarakani amekua akiwaburuza wote anaokua na migogoro nao. Hao majirani wanaona China is not to be trusted especially kwenye issue za usalama wa mataifa yao.
Kuhusu uwepo wa Xi nakuwaburuza ambao wanamigogoro nao sina neno hapa sababu inaweza ikawa kweli

Ila kuhusiana na UCHINA nakuaminika juu yamasuala ya Usalama wa mataifa Mengine nikwamba linapokuja suala la usalama wataifa lako hutakiwi kumuamini hata unaemuona nirafiki yako nandio maana kuna kipindi Kansela wa Ujerumani Angela Markel Ilisemekana amefanyiwa Udukuzi na US nandio maana hata linapokuja suala lamaelewano kwa US na GERMAN nishida kidogo tofaut na ULAYA wengine wakimagharibi...
 
Sidhani ni kwa sababu hiyo,,, huawei equipment zitakua phased out kwa awamu ili kuto disturb mfumo wa mawasiliano na pia kupunguza stress za gharama kwa makampuni ya sim. BT, Vodacom walishanunua na kusimika kit za kutosha za 5G toka huawei kwa pesa nyingi,hawawezi zitoa kwa pamoja kwa wakati mmoja.

Nikwambie kitu, BT haitangoa chochote wala nini sijui - wanacho fanya ni kuchota akili akina Trump na genge lake, Waingereza wanajua fika kwamba ni suala la muda saga yote hii ita sublime into thin air na mwisho wa siku America itabaki helpless like a beetle on its back - mtu uwezi ukawa na roho mbaya/uchoyo halafu ukategemea kwamba unaweza ku-thrive kwenye mazingira ya ajabu kama hayo ya kwa nini? Sadly Uncle SAM never saw it coming, lakini as days goes by watajifunza the hard way, kwamba uwezi ku-fool watu wote muda wote.
 
Kuhusu uwepo wa Xi nakuwabura ambao wanamigogoro nao sina neno hapa sababu inaweza ikawa kweli

Ila kuhusiana na UCHINA nakuaminika juu yamasuala ya Usalama wa mataifa Mengine nikwamba linapokuja suala la usalama wataifa lako hutakiwi kumuamini hata unaemuona nirafiki yako nandio maana kuna kipindi Kansela wa Ujerumani Angela Markel Ilisemekana amefanyiwa ujasusi na US nandio maana hata linapokuja suala lamaelewano kwa US na GERMAN nishida kidogo tofaut na ULAYA wengine wakimagharibi...
At least wazungu wanaweza kaa kwenye round table na kuzungumza,hawawezi fanya hivo kwa mchina. Best option ni kumuondolea mwanae mpendwa ambae ni Huawei. Tafakari bila vikwazo vya USA mwaka huu Huawei alikua awe smartphone maker no 1 duniani,ameshindwa kufikia lengo,na type kwa kutumia sim ya huawei.

Soko la ulaya ameporomoka , USA hajawahi kuruhusiwa kuuza sim, India amepigwa ban na hayo ndo masoko yenye faida .Huku Africa ni watu wangapi watanunua p40 pro out of the box dukani? Nazipenda sana sim zao lakini bahati mbaya vita ya tembo huwaei ni nyasi ndiye anaeumia, mipango ya kuliteka soko la dunia wasahau kwa sasa.
 
Nikwambie kitu, BT haitangoa chochote wala nini sijui - wanacho fanya ni kuchota akili akina Trump na genge lake, Waingereza wanajua fika kwamba ni suala la muda saga yote hii ita sublime into thin air na mwisho wa siku America itabaki helpless like a beetle on its back - mtu uwezi ukawa na roho mbaya/uchoyo halafu ukategemea kwamba unaweza ku-thrive kwenye mazingira ya ajabu kama hayo ya kwa nini? Sadly Uncle SAM never saw it coming, lakini as days goes by watajifunza the hard way, kwamba uwezi ku-fool watu wote muda wote.
Lazima waitoe kwa sababu hata wabunge wa chama tawala conservative wanataka huwei isihusike kabisa kwanye kutoa huduma ya 5G network nchini mwao.

Check hii link toka kwenye gazeti la the Guardian,

UK's expected U-turn on Huawei fails to satisfy Tory rebels
 
At least wazungu wanaweza kaa kwenye round table na kuzungumza,hawawezi fanya hivo kwa mchina. Best option ni kumuondolea mwanae mpendwa ambae ni Huawei. Tafakari bila vikwazo vya USA mwaka huu Huawei alikua awe smartphone maker no 1 duniani,ameshindwa kufikia lengo,na type kwa kutumia sim ya huawei.

Soko la ulaya ameporomoka , USA hajawahi kuruhusiwa kuuza sim, India amepigwa ban na hayo ndo masoko yenye faida .Huku Africa ni watu wangapi watanunua p40 pro out of the box dukani? Nazipenda sana sim zao lakini bahati mbaya vita ya tembo huwaei ni nyasi ndiye anaeumia, mipango ya kuliteka soko la dunia wasahau kwa sasa.
Kwenye masuala mazima yakiuchumi linaangaliwa maslahi yataifa husika kwanza kabla yajambo jengine

Nahisi ushawahi kuupitia vyema kabisa mradi mkubwa kabisa wa NORD STREAM 2 wa RUSSIA na GERMAN ?!

unahisi kati ya RUSSIA na GERMA na GERMAN na US wapi wapo vyema kisiasa (USHIRIKIANO) ila GERMAN alipitisha ama anapitisha Bomba lagesi kutokea MOSCOW to BERLIN

wakati huo huo US alimuoffer German kumpatia GESI ila kikubwa alichokiangalia GERMAN ni maslahi yataifa lake kwanza nahakujali kelele za US

Bukyanagandi kuna sehemu huko juu alikwambia kama US hawez kudanganya watu kila siku kuna wakati GERMAN alikua hawez kupingana na kauli za US ila kwasasa anapingana nao tu kuhusiana na NATO kuhusiana na Gesi yaani GERMAN anampinga tu basi uelewe hili vugu vugu lakuipinga US lipo ulaya nzika ijapokua wanaolionesha kama GERMAN bado hawajawa wengi

Kuna kipindi MACRON alisema kama NATO imekufa Ubongo

Watu wanaangalia maslahi kwanza MKUU mengine baadae nakuhusiana nasuala hili GERMAN kalithibitisha kupitia Mega Project ya NORD STREAM.
 
Nchi ya Uingereza imepiga marufuku kampuni ya Huawei kuweka mitambo ya 5G nchini humo.

Mwezi January Uingereza iliipa Huawei tenda ya kuweka mitambo ya kawaida au non core ya 5G.

Mwezi wa 5 Marekani iliiwekea vikwazo vipya kampuni ya Huawei vitakavyoiondolea kampuni hiyo uwezo wa kupata au kuzalisha mitambo ya teknolojia ya 5G.

Uingereza imesema vikwazo vipya vya Marekani vitaiathiri kwa kiwango kikubwa Huawei isiweze kua na uwezo wa kutoa huduma.
=======

The United Kingdom has banned Huawei from its 5G telecom network, reversing a January decision to allow the embattled Chinese tech company a limited role in building the country's super-fast wireless infrastructure.

Operators such as BT (BTGOF) and Vodafone (VOD) have been given until 2027 to remove existing Huawei equipment from their 5G networks, the UK government announced on Tuesday. Digital and Culture Minister Oliver Dowden said new US sanctions imposed on the company in May had "significantly changed" the landscape.

"Given the uncertainty this creates around Huawei's supply chain, the UK can no longer be confident it will be able to guarantee the security of future Huawei 5G equipment," Dowden said.

The decision is a big win for the Trump administration, which has been pushing allies to exclude Huawei from their 5G networks, arguing that the Chinese company is a threat to national security. US Secretary of State Mike Pompeo declared last month that "the tide is turning against Huawei as citizens around the world are waking up to the danger of the Chinese Communist Party's surveillance state."

But it risks a backlash from China as Britain looks for new trading opportunities around the world after Brexit, and will delay the rollout of 5G across the country by at least a year, Dowden said.

The US campaign against Huawei was having mixed success until the new sanctions in May further reduced the company's ability to manufacture and obtain semiconductor chips using American-made technology.

That triggered another UK security review of the company's involvement in the British network, leading to Tuesday's decision by the National Security Council to order the phased removal of its technology.

The decision is a huge blow for Huawei, which has operated in Britain for 20 years. Europe is a key market for the company, accounting for 24% of sales last year. Huawei on Monday announced half year results earlier than usual, reporting slower revenue growth. The company is already experiencing a decline in smartphone sales, after Washington blocked it from accessing popular Google apps. The phones became a lot less attractive in markets outside of China as a result.

Huawei said it was confident that the recent US sanctions would not have affected "the resilience or security" of its products and described the UK announcement as disappointing.

"It threatens to move Britain into the digital slow lane, push up bills and deepen the digital divide," said Ed Brewster, a spokesperson for Huawei UK. "Regrettably our future in the UK has become politicized, this is about US trade policy and not security."

The US sanctions restrict companies like TSMC (TSM), a Taiwan-based firm, from exporting computer chipsets and other key components to Huawei. Without them, Huawei can't build 5G base stations and other equipment.
"Based on the current direct export rule that the US put on, I really think that Huawei's 5G equipment business is in grave danger," Jefferies analyst Edison Lee said last month.

UK Prime Minister Boris Johnson had faced mounting pressure from lawmakers within his own party, along with the Trump administration, which argues that the Chinese government could use Huawei for spying and even sabotage.

Washington had warned that US-UK intelligence sharing and military collaboration could be put at risk if Britain went ahead with its plan. Under Chinese law, Chinese companies can be ordered to act under the direction of Beijing. Huawei has consistently denied that it would help the Chinese government to spy, and says it is "100% owned by employees."

Speaking early Tuesday before the UK announcement, China's Foreign Ministry repeated a previous warning by its ambassador that the decision would have consequences for the wider relationship between the two countries.

"Whether the UK can provide an open, fair and non-discriminatory business environment for Chinese companies ... is a litmus test for British markets after Brexit, and it is also an indicator for China's investment in the UK," foreign ministry spokesperson Zhao Lijian said.

Ban will cause delays and cost billions
Huawei had lobbied hard to persuade the UK government it was a trustworthy partner, launching an advertising campaign last month emphasizing its history of investment and job creation in the country. This month, it announced that it had received approval to build a sprawling $1.25 billion research facility in Cambridge.
Huawei is already an integral part of Britain's existing 4G infrastructure, and telecom operators will not be required to swap out the company's equipment in those networks.

The Chinese company's European rivals said they were ready to fill the 5G void left by Huawei.
Nokia (NOK) said in a statement that it has the "capacity and expertise to replace all of the Huawei equipment in the UK's networks at scale and speed." Arun Bansal, Europe and Latin America president for Ericsson (ERIC), said in a statement that the Swedish company "has the technology, experience and supply chain capacity," to help the United Kingdom reach its 5G goals.

Nonetheless, the UK will pay a hefty price for kicking out Huawei. The government said Tuesday that the cumulative delay to 5G networks from the ban on new Huawei equipment and replacing its existing technology would be two or three years, at a total cost of as much as £2.5 billion ($3.1 billion).

That means British consumers and businesses will have to wait longer, and possibly pay more, for the services that the extra bandwidth can support, such as self-driving cars and advanced manufacturing and healthcare applications.

"Obviously we are disappointed because this decision — as the government has highlighted today — will add delay to the roll out of 5G in the UK and will result in additional costs for the industry," a Vodafone spokesperson said.

BT CEO Philip Jansen said his company would be able to make the required changes without a significant impact on its timetable for 5G rollout. The implementation costs would be no higher than the £500 million ($627 million) BT estimated in January it would cost to comply with the previous UK decision to limit Huawei's role.


SOURCE: CNN
[emoji24][emoji24]
 
Lazima waitoe kwa sababu hata wabunge wa chama tawala conservative wanataka huwei isihusike kabisa kwanye kutoa huduma ya 5G network nchini mwao.

Check hii link toka kwenye gazeti la the Guardian,

UK's expected U-turn on Huawei fails to satisfy Tory rebels

Please revisit hiyo link isome kwa umakini zaidi - may be my command of Queen“s English is a bit rusty - nilicho kiona pale ni siasa tu na maoni/mapendekezo ya wabunge kumbuka sio lazima Serikali ya Uingereza ikubaliane na mapendekezo ya wabunge - Serikali inacho jali ni maslahi mapana kwa ajili ya Taifa lake na sio mambo ya siasa na ugomvi wa kiuchumi kutaka kuondoa Huawei kwenye soko ili wamfurahishe Trump na wenzake, Waingereza hawako hivyo hata kidogo hawawezi kukubali wabaki nyuma katika suala la matumizi ya 5G huku wakusuburi Ericsson na Nokia wa roll out 5G ya kweli ambayo ni improvised 4G LTE waingereza si wajinga kiasi hicho. They will always stick by Chinese Huawei kwa kuwa wanajua hao ndio magwiji wa tejnilojia ya 5G, Hauwei ndio wanamiliki asilimia karibu 80 za patents za teknolojia ya 5G si rahisi kuchukulia Huawei kimzaa mzaa - Waigereza na Mataifa mengine yenye hekima na busara wanajua ukweli huo.
 
Serikali imeamua tayari hakuna namna tena,pressure ya kuachana na Huawei imetoka nje na ndani ya UK. Uingereza serikali ni Bunge na the moment wenye hoja wakiwa na majority bungeni huwa haina ujanja.

Kuna kitu kingine ambachi kinafanya compaign dhidi ya Huawei kuwa effective, kuna ushirikiano wa kijasusi na kiuchumi kwa mataifa ya magharibi. The five eyes ni alliance kati ya USA, UK, Australia, Canada na New Zealand kwenye Mambo ya ujasusi. USA ilitahadharisha nchi ambayo itakua inaendela kutumia kits za 5G toka Huawei itakua excluded kwenye intelligence sharing by mid of next decade.

So muingereza hana ujanja wa kutembea peke yake wakati washirika wake wamechukua njia nyingine. Alliances za wazungu zimetoka mbali toka first world war, WW2,cold war mpaka leo. So hata mfaransa,mjerumani atakaa kwenye mstari tu. China haina alliance na nchi yoyote kubwa hata ndugu zao wa rangi 1 huko Asia wanaitazama kwa jicho la mashaka.

Uchumi huu wa kisasa bila alliances hata kama nchi ina nguvu kubwa za kiuchumi kulinda maslahi yake effectively inakua ngumu. Huawei inahitaji masoko ya nchi za magharibi, Asia kwenye nchi zenye uchumi mkubwa ili iendelee kuwa kinara. Huko kote imepigwa kufuli ,soko la africa huku ni dogo sana.
 
Here we go again - Source CNN!! Unategemea nini kutoka kwa majangili hawa, walio kubuhu kwenye medani za misinformation na disinfornation, yaani huna habari kwamba wanalipwa fedha nyingi na US Intel agencies kuikandia Huawei stori zote CNN na Reuters wanazo tuletea hapa ni za kutunga tu - wapo wataalamu wa kutunga story za kubuni tu, CNN anakuja na ngonjera eti “Ericsson na Nokia wamesema wana uwezo mkubwa wa kuziba pengo litakalo tokana na kuondoka kwa Huawei kwenye ushindami wa 5G technology” who can take these skewed statements seriously, after all linapokuja suala la 5G technology Huawei is light years ahead ya washindani wao, wataalamu wote Duniani wa masuala ya mawasiliano kwa njia ya ki eletroniki wanajua ukweli huo, kwamba Huawei ndio inaongoza katika fani hii muhimu, Amerika inacho fanya ni kupandikiza fitina pamoja na wivu wa kijinga wakati wao wameshindwa ku-roll out a truly 5G beast to emulate Huawei success story, wapo wapo tu na roho zao za kutu.

Hivi CNN wana ushahidi gani wa kuonyesha kwamba kuna kikao chochote kilicho kuwa convened kuzungumzia suala la Huawei kupigwa marufuku kuuza mitambo yake ya mawasiliano in Continental Europe na Uingereza? I am a share holder wa British Telecoms 90 percent za mitambo ya mawasiliano ya BT ili nunuliwa kutoka kampuni ya Huawei wapo mbioni kui upgrade to 5G, share holders tunapewa taarifa kwa kila kitu kinacho endelea kwenye kampuni ya BT - binafsi sijapokea taarifa yoyote ya maandishi inayo sema kwamba Serikali ya Uingereza umemlazisha CEO kusitisha ushirikiano na kampuni ya Huawei, hakuna kitu kama hicho ndio maana nasema taarifa zinazo sambazwa na CNN ni za kutunga tu zenye lengo la kuonyesha Huawei ni hatari kwa usalama wa kila nchi itakayo kubali kutumia mitambo yao - ulaghai mtupu.

Kama nilivyo sema tangu mwanzo bifu za US Administration na kampuni ya ya Huawei inatokana na USA kukosa means na capacity ya kushindana na Huawei wanatamani sana ife!!

Kwa bahati nzuri Dunia imekwisha baini kinacho endelea nyuma ya pazia - Uncle SAM will never succeed to muzzle Huawei, welevu na wapenda maendeleo ya teknolojia mpya ya mawasiliano will always stick by Huawei 5G technology fitina za Trump na Pompeo notwithstanding.

Habari hii imekuwa ikitolewa na media zote kubwa duniani: BBC, sky news, Reuters, RT, AFP, etc.

Halafu mtu ukipuuza CNN na Reuters, ni media zipi za maana kwako kimataifa?
 
jamani mwenye hadithu ya kusisimua kuhusu 5G atusimulie tafadhali...

5G ni nini na ina uwezo gani mbona kwenye 3G na 4G hakukua na kelele ???
 
Back
Top Bottom