So Mkuu naweza kufanya manunuzi kwa ebay ambao wanatumia sana paypal?Kuhusu kupokea malipo kwa paypal sina uhakika sina ila binafsi kwa kweli nilitakiwa kulipwa ila sikuweza fanikiwa kupokea pesa yangu kwa hiyo paypal, ikabidi nibadili payment method ndio nikapokea mpunga wangu. Ila kwenye kufanya malipo naitumia sana paypal sioni tatizo, ishu ni kupokea ela ndio nilikwama hapo.
So Mkuu naweza kufanya manunuzi kwa ebay ambao wanatumia sana paypal?
Eti hiyo MasterCard unaipatajeMasterCard inayopesa mkuu
Mwamba pale kwenye card no, tunaingiza zoteee hadii zile CVVHii ishu imerahisisha sana maisha. Nimejiunga mchana. Jioni hii nimelipa dollar 25 google play kwa kuitumia. Voda wametisha. wafanye tu kuitangaza.
Mwamba pale kwenye card no, tunaingiza zoteee hadii zile CVV
Card yangu ya Master Card imekataa kufanya kazi aliexpress kwingine inafanya now natumia Visa CardNimejaribu kununua kupitia Master card ya voda na haya ndio majibu baada ya masaa kadhaa kupita.
Thank you for shopping on AliExpress !
We are sorry to inform you that we have to cancel your order for security reasons. To make sure your transaction is secure, please provide us with documentation by clicking My Appeal for further verification.
When we receive your documents, we will verify them within 3 business days. If the documents are valid, you can reorder on Aliexpress.
We apologize for any inconvenience, and thank you for your patience and understanding.
Huna hela yakutosha jaza mpunga mkuuWakuu nimefanya manunuzi Dondosha APP kununua magazeti kwa kutumia mastercard, majibu niliyopata ni hayaView attachment 878313naomba ufafanuzi wakuu
Ina mkwanja?Kuna kitu Nataka kuagiza nimecreate card wamenipa namba ya card na cvv lakini kila nikijaza wanasema payment decline
Bado sijaweka mkwanja mdau au tatizo lilipo?Ina mkwanja?
Mkwanja weka mkwanja ufanye miamala mie cvv yangu 160Bado sijaweka mkwanja mdau au tatizo lilipo?
Ukijisajili na M-Pesa Master Card ni rahisi tu mkuu.Je, ni Lazima uwe na akaunti katika BankABC ilikukamilisha huduma hii?
Jaribu tena itakubali.Card yangu imeexpire baada ya miezi kupita ila kila nikijaribu kurenew inagoma
Nimesha renew shida inakataa kuhamisha salio Toka mpesa!!Jaribu tena itakubali.
Nadhani ni tatizo lakiufundi.
Yangu iliexpire nime renew nimepata mpya.