Hatimaye! Unaweza kufanya malipo mtandaoni kwa M-Pesa

Hatimaye! Unaweza kufanya malipo mtandaoni kwa M-Pesa

Kuhusu kupokea malipo kwa paypal sina uhakika sina ila binafsi kwa kweli nilitakiwa kulipwa ila sikuweza fanikiwa kupokea pesa yangu kwa hiyo paypal, ikabidi nibadili payment method ndio nikapokea mpunga wangu. Ila kwenye kufanya malipo naitumia sana paypal sioni tatizo, ishu ni kupokea ela ndio nilikwama hapo.
So Mkuu naweza kufanya manunuzi kwa ebay ambao wanatumia sana paypal?
 
Hii ishu imerahisisha sana maisha. Nimejiunga mchana. Jioni hii nimelipa dollar 25 google play kwa kuitumia. Voda wametisha. wafanye tu kuitangaza.
Mwamba pale kwenye card no, tunaingiza zoteee hadii zile CVV
 
Hapana, CVV ni namba 3 unazopewa, kwenye card halisi zipo nyuma ya kadi yako. Ukijaza kwenye platform utaoneshwa sehemu ya kujaza card number, CVV na expiry date
Mwamba pale kwenye card no, tunaingiza zoteee hadii zile CVV
 
Ni jambo zuri pls rate ya kubadili fedha isiwe kinyongeo cha kunyonga wateja wenu.
 
Nimejaribu kununua kupitia Master card ya voda na haya ndio majibu baada ya masaa kadhaa kupita.

Thank you for shopping on AliExpress !
We are sorry to inform you that we have to cancel your order for security reasons. To make sure your transaction is secure, please provide us with documentation by clicking My Appeal for further verification.
When we receive your documents, we will verify them within 3 business days. If the documents are valid, you can reorder on Aliexpress.
We apologize for any inconvenience, and thank you for your patience and understanding.
Card yangu ya Master Card imekataa kufanya kazi aliexpress kwingine inafanya now natumia Visa Card
 
Wakuu kama kuna mtu amefanikiwa kuitumia huduma hii naomba msaada,Sehemu ya cardholder name tunaingiza jina gan? Nimejaribu kuingiza jina lilipo kwenye account ya mpesa but sijafanikiwa. Nahisi kuna specific predefine name kwa ajili ya card zote. Msaada tafadhali. Nimejaribu kuwacheck vodacom lakini naona menu ya kuongea na huduma kwa wateja imetolewa.
 
Kuna kitu Nataka kuagiza nimecreate card wamenipa namba ya card na cvv lakini kila nikijaza wanasema payment decline
 
Hivi ikiexpire card na kukiwa kuna mkwanja inakuaje kuhusu pesa?
 
Je, ni Lazima uwe na akaunti katika BankABC ilikukamilisha huduma hii?
 
Je, ni Lazima uwe na akaunti katika BankABC ilikukamilisha huduma hii?
Ukijisajili na M-Pesa Master Card ni rahisi tu mkuu.

Ingia M-pesa chagua number 4, Pay by Mpesa. Kicha chagua number 6 Mpesa Master Card halafu chagua number 1 Create Card.

Your Mpesa Master Card now is ready.

Utatumiwa Card number na pia CVV number.

Sasa weka pesa na uanze kufanya manunuzi mtandaoni.

Nimetumia Mpesa Master Card kununua bidhaa AliExpress.

Kulipia Shopify Pan, kununua domain name kwaajili ya website yangu nk.

It works just fine.
 
Back
Top Bottom