Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Shubaamiti zenu WanaUfipa nilikuwa nawasapoti kumbe wote ni wachumia matumbo mavi mavi.
Kwa hasira naenda UDOM kuchukua degree in Political science and leadership.Nikirudi huko taanzisha chama langu.[emoji57][emoji19]
Safi mm nitakua wakwanza kukuunga mno
 
twende mbele turudi nyuma, ili kuikabli vzr CCM kidemokrasia ni lazima nguvu ya wananchi ihusike...
chdema wao kama wao kuitoa madarakano CCM awawezi pasipo wananchi kushiriki....
 
Siyo usaliti wache wakatuwakilishe ili at least wakalete changamoto.Mm kea kipekee nilikuwa nawamisi Sana halima mdee,esther bulaya na matiko.Ninauhakika watafanya kitu.Aluta Continua .Viva Chadema Viva.
 

nadhan wamekuskia loud and clear
 
ACT Wazalendo wapeleke jina la Maalum Seif Sharrif Hamad kwa Mheshimiwa MWINYI ili awe Makamu wa kwanza wa Rais.
Ruzuku na michango ya wabunge ni muhimu sana katika kujenga Chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…