Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Ila wameumiza watu kinoma hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
twende mbele turudi nyuma, ili kuikabli vzr CCM kidemokrasia ni lazima nguvu ya wananchi ihusike...
chdema wao kama wao kuitoa madarakano CCM awawezi pasipo wananchi kushiriki....
Kwa hali hii mwananchi gan atakaekuwa tayr kuwasikiliza na kuwaelewa watanzania karbu wote wachumia tumbo ,vigeugeu na hatuna misimamo tunaangalia sana maslai kuliko kuliko haki na ukwel .
 
Usaliti ni dhambi mbaya sana....
ukiianza lazima ikutafune.....

Upinzani kwa tanzania upo kwenye kibodi tu....

hakuna mjanja mbele ya noti nayule aliyekuwa anasema anatishiwa maisha alikuwa anatishiwa na mwenye saccos baada ya kumnyima noti za wazungu...akahamia ubalozini

Sasa mwenye sakosi yake kashapiga mahesabu tena kaona akivuta za huku si haba...😂😂😂😂

Nafikiri Njia anayopita mnyika ndio njia sahihi ila yuko kwenye pango la walanguzi.....

Halafu eti hawa ndio walisema wameibiwa kura😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ila wameumiza watu kinoma hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niliacha kuwa kimbelembele na wanasiasa pale tu CHADEMA walipomchukua Lowassa waliyemsema miaka zaidi ya 6 kuwa ni fisadi kuu na kujaribu kumsafisha. Nilijua kama wameweza kuyakana waliyoyasema basi wanaweza kufanya chochote hawaaminiki. Toka kipindi hicho siwaamini wanasiasa
 
Leo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Huna sababu ya kuchoma kadi, mkuu subili tamko la chama ,hakuna aliejuu ya chama Hawa watatimliwa Sasa hivi,chadema imetoka mbali, chadema Ina vichwa maelfu kwa maelfu ,chadema utabaki kua chadema, chadema ni chuo Cha kupika viongozi na vijana na ikikutema unapotea ,na kupoteza heshima kwenye jamii yako ,subili tu hao kisiasa watapotea Sasa hivi ,hiyo ndo chadema chama chenye roho saba
By the way NAOMBA TARATIBU WAPI NACHUKUA KADI YA CHADEMA NAONA MDA WANGU WA KUJIUNGA NA CHAMA CHA SIASA UMEFIKA NA MOYO WANGU, NA AHADI YANGU ,NA MAPENZI YANGU YA DHATI NAJIUNGA NA CHADEMA
 
Pole sana mkuu! Tulijua tu muda ukifika mtaikana tu hiyo Saccos yenu ya Chadema!
Nitaendelea kuwa mfuasi wa upinzani,na kama CDM ndio yenye nguvu basi ndio hiyo nitaipigia chapuo!
Sijawahi kuyumba kwenye hilo na kwa sasa naiunga mkono Chadema!
 
Wapi spana spana spana jamaani wapi ni YEYE2020 nionyesheni tafafadhali.Hongera Mbowe, wewe ni mzalendo kwa nchi yako.Achana na hilo dubwasha la kinyaturu,

Kwa taarifa hata sasa kulijitokeza kupiga kura maana tulikuwa imani na Lisu, na asingetokea wala tusingejihangaisha na yoyote. Siku ile Mbowe alipoenda kuomba maridhiano nilimtoa maana sana. Tunaangalia faida ya muda mrefu na sio lishe ya muda mfupi.
 
Nasema hivi, sisi msimamo wetu uko pale pale. Hutaki jinyonge.
Wanaume kifua tunajua

Tena inabidi mshukuru sana maana wamama ndio wameingia msituni sasa, subirini mawindo nyumbani tuu hamna namna

Wapi Tundu na Ponda🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hongera sana Chadema kwa kutumiza wajibu wenu na kutovunja katiba natumai hata ACT Wazalendo watapeleka Jina la Makamu wa kwanza wa Rais pamoja na Wabunge wawakilishi.
 
Nitaendelea kuwa mfuasi wa upinzani,na kama CDM ndio yenye nguvu basi ndio hiyo nitaipigia chapuo!
Sijawahi kuyumba kwenye hilo na kwa sasa naiunga mkono Chadema!
Wewe ni vuvuzela tu huna lolote. Tulikueleza mapema huna chochote kwenye Saccos!
 
Kidumu chama cha Demokrasia na maendeleo cha aina hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…