Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kamanda cool down banaa....Kumbe hakuna umuhimu wa kupiga kura Sasa Bora waseme nchi ni ya chama kimoja tu basi mambo yaende , anayetaka ubunge ajiunge CCM Basi daah
Bi dada Miss Zomboko una uhakika gani na source ya habari yako? Maana hata hiyo clip uliyoweka, kule youtube tayari ishapigwa chini.
Kamanda hawi na UKIGEUGEU mapambanoni...kazeni banaa🤣🤣Chadema kigeugeu
Kuna wahuni wa bavicha hua ukiwakuta hapa wanatoa matamko unabaki mdomo wazi unashangaa, hivi hawa ni kina nani pale saccos. Kina tindo , Salary Slip , OKW BOBAN SUNZU , Erythrocyte na wengine walioshindwa kuielewa vizuri chadema halisi njooni sasa mtupe way forward. Time hii mna piga serakasi ipi nyingine
.....nyumbu WATULIE BANAA...Acha hasira kina Halima washaapa na Hituba mujarabu kabisa imetolewa
Yaani hapo ni bora Tundu na Zitto waanzishe chama chao.Jambo la kusikitisha ni kwamba kwa nini Zitto na Lissu waliachwa wakabwabwaje huku nyuma watu wakiendelea na mipango yao?.
Wakileta maendeleo kwenye chama mtakimbua
Halafu kizuri wengine ni wake zenu..... waambieni wagomee mishahara na posho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakale wapiDaaah!! Njaa mbaya.[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119]
Kachome. Maalim Seif alipogomea uchaguzi nini kilitokea? Mugabe alipong'ang'ania madarakani na kususiwa na dunia nzima walioumia ni wananchi wa kawaida lakini watawala waliendelea kula bata. Wewe hilo hulioni?Leo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Yaani hapo ni bora Tundu na Zitto waanzishe chama chao.
Cool down kamanda...CHADEMA masnitch sitakaa niwaamini..
🤣🤣Kachome. Maalim Seif alipogomea uchaguzi nini kilitokea? Mugabe alipong'ang'ania madarakani na kususiwa na dunia nzima walioumia ni wananchi wa kawaida lakini watawala waliendelea kula bata. Wewe hilo hulioni?
🤣🤣🤣Kabisa boss.
Msimamo wenu wewe ka nani? Halima kasema ametumwa na chama,wewe unaleta longo longo za msimamo wenuView attachment 1633949
Umesahau akina Chakaza Quinine wapuuzi akina Erythrocyte G Sam etcUsimsahau na Tundu "Quinsling" Lisu.