Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kamanda cool down banaa....Kumbe hakuna umuhimu wa kupiga kura Sasa Bora waseme nchi ni ya chama kimoja tu basi mambo yaende , anayetaka ubunge ajiunge CCM Basi daah
Pambaneni iko SIKU mtakwenda ikulu banaa....🤣🤣