Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Mfano wa kuigwa ni wewe tu minyoo
 
Koma kabisa we Halima kututaja wanachadema nchi nzima koma , mtaje Jiwe aliyekupora hela na vitisho ukasalimu amri .
 
Lisu anadai yake kama mbowe kaamua kumsaliti yeye atasonga kivyake
 
Umeshanyooshwa wewe! Pole!
 
Shikamooooooo CCM.
Wewe ni gwiji la siasa.
Kila siku unatupa kazi ya kuanzisha vyama vipya tu, wakati wewe ukiendelea kujidhatiti.

Mimi sishindani na wewe mpaka pale itakapo patikana katiba mpya, ila kwa sasa sikuwezi.

Kama uliweza kuisambaratisha NCCR ya mlema, ukakiuwa CUF ya Maalim & Lipumba, na leo umenithibitishia kua wewe sio mtu mzuri, kwa kukichinjilia mbali CDM, nasema wewe ni kiboko.

Kwambaali namuona ACT akipasha kuchukua nafasi ya walio tangulia.

Shikamooooooohhhhh Chanzo Cha Matatizo.
 
huwezi amini nimecheka sana kwa nikakumbuka yule aliyesema mwanasiasa akikwambia saa hizi mchana toka na tochi!
🤣🤣🤣

Mh.Mbowe alituambia "ninakwenda kuwa WAZIRI MKUU ndani ya masaa 72".

Hilarious 🤣
 
Leo ndio nimeamini Tanzania si lolote si chochote mbele ya hao mnaowaita mabeberu.Yaani nguvu iliyoyumika kuwaaminisha eti hali ni shwari ni dhahiri kibano cha mameberu ndio sababu ya haya yote,si kwa nguvu ile iliyotumika.
Mbuzi jike anahaha kumtuliza Beberu kwa kuingia gharama kuleta wapinzani Bungeni kwa njia haramu za kishetani angalau Beberu amuone mbuzi jike ana demokrasia
 
🤣🤣🤣🤣

Kitoabu mzee wa KIMWEKUMWEKU....

CCM hairogeki...
CCM haichapiki Ahlul Badr...

Mlima wa CCM ni mrefu....WATAKAOFIKA JUU insh'Allah labda VIZAZI VIJAVYO sanaaa.....🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…