TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kuna dalili zote Mkuu ulikuwa mfuasi wa Antipasu na si mwanachama halali Chadema. Mwanachadema halali anafikiria mapana ya kuimarisha nchi ya Tanzania achana na wale waliotunga Ilani ya uchaguzi ya mwaka huu!Leo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Mkuu mm pia nilikuwa si mwana chama lakin nilikuwa naiamin sana cdm kama mkombozi atayetetea ba kuleta mabadiliko nchini lakin pindi walivyomteua lowassa kugombea urais 2015.Misimamo yangu ni dhabiti bila kujali udhaifu wa baadhi ya watu. Mimi ni mmoja ya watu wenye imani na cdm lakini nilipinga waziwazi ujio wa Lowassa ndani ya cdm. Na pia ni mtu ambaye nilipinga waziwazi Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm zaidi ya miaka 15. Sasa napata aibu ya nini kwenye changamoto za hivi labda? Sasa kama sikuogopa wakati huo na nilibaki kuwa mpinzani, hili la leo ninaogopa nini labda?
Kuna jambo, si burelicha ya Mh Halima mdee kutoa maneno yenye ukakasi juu ya kura zilizopigwa. Nilitegeme spika kama nimjuavyo angetoa kauli ya angalau kumjibu Mh Halima mdee, kinyume chake amekuwa mpole na muungwana sana. Sasa najiuliza huu urafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KAMA KWELI HAWANA BARAKA ZA CHAMA MWENYEKII AJITOKEZE KESHO KUTOA TAMKO VINGINEVYO HATUTAMUELEWA
Pole sana! Msalimie, Salary Slip.Sijawahi kuwa na fikra za kijamaa, na wala sintokaa niwe na fikra hizo. Sitamani kwenda ccm na wala sintokaa natamani.
hakuna nafurahia ila tunashangaakwaini mwenyechama hakumpa japo taarifa tu katibu juuya haya, sasa namuamini Mashinji.Kwanini CCM mnafurahia wapinzani(wachelewesha maendeleo) kuingia Bungeni?
Mkuu mawazo yako na yangu yamepatana kwa asilimia zote, uzalendo ndo huo mkuu kwani tuna damu zetu katika ardhi hii hivyo lazima tuilinde kwa kutanguliza taifa kwanza.Alafu nikuambie kitu Minyoo, sio wote tunao furahia hili swala ni wana CCM, hapana.
Wengine hatuna vyama, hii ni kutokana kushindwa kuelewa tuende wapi.
Yanayo fanywa na CCM (baadhi) hatuyapendi, lakini hata kwa hao wanaojiita wapinzani hatupati kile tukitakacho.
Binafs mimi naangalia harakati zangu zinaendaje, hayo maswala ya siasa nawaachia wenyewe wana siasa.
Ninacho waomba mimi wailinde nchi na maadui zetu, Kiufupi nataka nife bila kuiona vita, hilo tu.
Hayo maswala sijui ajira, kila mtu apambane na hali yake.
Kwa hili makamanda wa hapa ndani nadhani watajifunza kubalance shobo.Ha ha ha hapo hapoo
Umenikumbusha riwaya moja inaitwa Takadini (Sisi tumefanya nini?).Kama wangekumbuka Ile siku kule magereza tulivyo pambana na Askari ama Kama wangekumbuka tulivyo changa pesa kuwatoa gerezani wakati Madhinji alilipiwa na serikali wasingefanya hivi.
Nenda kaichome TU MKUU....kwani NI yako....ila KWANGU NITABAKI KUWA MWANACHAMA MTIIFU WA CHADEMA,MAANA TOKA BOB MAKANI,MPAKA LEO MNYIKA CDM IKO MOYONI KWANGU....MILIMA NA MABONDE TULOPITIA HILI SI KITU...CDM FOR LIFELeo naenda kuchoma kadi yangu ya CHADEMA na kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo!
Watanzania na mashabiki wa CDM tusiwalaumu wakinahalima na kuwaita wasaliti. Kama waliitisha maandamano tukawagomea manayake tuliwasaliti sasa acha wafate katiba na tuwasapoti. Mambo ya kusema wamesaliti ni unafiki kabisa. Wacho tuonje chungu ya usaliti wetu ili tujifunze na sikunyingine tukiambiwa tuwasapoti kwa maandamano hatutasaliti tena.
Mkuu big upSijawahi kuwa na fikra za kijamaa, na wala sintokaa niwe na fikra hizo. Sitamani kwenda ccm na wala sintokaa natamani.
Kweli kabisaHivi huwa mnawaamini wanasiasa[emoji849]
Mwanasiasa sio wakuamini haijalishi anatoka chama gani.