Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Mpunga ladhina, chezea pesa wewe, na hapo lazima kila mwezi wakatwe mpunga wa kumchangia Mlevi wa Konyagi.
Sele 0715132277 mpigie atakupa siri zote jinsi mbowe alivyofanya dili la kuwauza hao wabunge wa kike ndipo ujue sasa chadema inaenda kupoteza wanachama wengi mno
 
Good....HAWATAJUA.....
 
Wamefumba macho...hawataki waone Wala kusikia hayo...
 

Umejikakamua kuandika ukadhani, ita make sense [emoji23][emoji23][emoji23]

Sorry Kijana Mimi sijaelewa kwahyo nyerere hakutakiwa kufa ili aendelee kuzalisha Vijana wazalendo Ama sio ? [emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi Unajua Magufuli ni Mzalendo kuliko Kikwete ? ? Endelea kumuona muona kwenye mtv na simu ukadhan hana uzalendo Ana uzalendo vibaya Mnoo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni yeye
 
Chadema wana laana ya Dr.Slaa
Dr Slaa ni mwizi na mpenda Rushwa aliondoka chadema kwa kununuliwa kwa dola milion 2 na kupewa nyumba canada hana laana ya kushika popote wala kumshika yeyote yule labda ajilaani mwenyewe
 
Mbowe asepe TU,atuachie CHAMA chetu......WAPO NA WATAENDELEA KUWEPO WATAKAOTUVUSHA...
 
Ngoja tusubiri zile nafasi 10 za rais, unaweza kuta Tundu Lissu ndani ya nyumba.
Kuna watu wawili atawapa ubunge wa kuteuliwa mbatia au kati ya msigwa au hata Lipumba ili kuwahadaa Dunia kuwa Tanzania ni Nchi ya ki demokrasia
 
Mbowe asepe TU,atuachie CHAMA chetu......WAPO NA WATAENDELEA KUWEPO WATAKAOTUVUSHA...
Bora chama kife kiundwe chama kipya kiongozi wake asiwe na njaa awe kama Odinga au malema wa kule South Africa tupate upinzani wa kweli usio na njaa ya ruzuku kama ya mbowe kuuza wabunge wa kike
 
Sikia yuko kwa Prof Janabi akipatiwa ushauri nasaha. Moyo unadunda kama madhine ya kusha vyuma
Mkui Battor, Huenda imani yangu na yako ilikuwa sawa, kuondoka kwa Dr Slaa chadema niliumia sana. Edward lowassa sikuwahi kumkubali. Na hapa ndipo watu wengi tulijua agenda ya ufisadi imekufa rasmi. Chama ndipo kilipofia madhara yake ndio haya mpaka sasa madiwani na wabunge kujiuzulu na sasa utazuka mgogoro baina ya Mbowe na chama.

Haiwezekani Mwenyekiti Mbowe asijue hii scenerio ya akina Halima.

Chama changu nilikipenda sana lakni mwenzi wa Saba nilijiunha rasmi ccm.
 
Niliwambia cdm ,if you cant win,change strategy,,ikibidi sifia serikali ili siku ziende chama kivuke salama zama hizi,,huwezi kuwa na hostile politics kwa serikali yenye mamlaka yote na utegeemee eti mzungu wa ICC atakusaidia kwa lolote..
 
Slaa ni mwizi tu kama wezi wengine hakuondoka chadema wa ridhaa yake alinunuliwa kwa dola milion 2 na kupewa nyumba canada, Dr Slaa hana mfano wa kuigwa hata mmoja ni mwizi wa kawaida kama wezi wengine tu
 
Ndiyo maana sasa idadi ya watanzania wasio na vyama wapagani wa vyama itaongezeka zaidi na zaidi kwani chadema imeharibiwa na njaa ya mbowe kwa ruzuku tu
 
Ivi tofauti ya wabunge viti maaulumu na wa kawaida ni Nini mkuu
Wabunge wa viti maalum ni ufijaji wa pesa za walipa kodi hawafai kuwepo Bungeni ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…