Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

Wabunge Viti Maalum kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameanza mchakato wa kusajiliwa Jijini Dodoma.

Majina yao yamewasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Ni yeye


Ila sijapenda sijui wameongea nini.

Nilipenda wakaze tuone mwisho wake!
 
Hivyo viti hatuvitaki labda mpeane wewe, Johnthebabtist , Kawe Alumni ,Yehodaya na wenzio mvae sketi mzibe pengo la wabunge wa viti maalum CHADEMA.
 
Hata ujifanye kamanda namna gani linapokuja suala la njaa utavua gwanda tu.
Njaa ndio kipimo halisi cha ukamanda.
 
Hatimaye serikali ya maridhiano kupatikana na ndiyo maana bwana mkubwa mpaka leo hajateuwa mawaziri.

Ni hatua nzuri kwa Mama Tanzania kupata serikali ya Muungano wa Tanzania ikiwa na mawaziri kutoka CHADEMA pamoja na wabunge ndani ya Bunge la Muungano kupitia maridhiano baada ya uchafuzi wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 2020.

Ni kiashirio kuwa hakutakuwa tena na uchafuzi wa chaguzi wala kusigina tena katiba siku zijazo.

Ila mbinyo toka Jumuiya ya Kimataifa, Vyama vya Upinzani, Wadau watetezi wa Haki za Binadamu na Demokrasia utaendelea kuwepo pamoja na serikali ya maridhiano kuundwa ili kuhakikisha serikali ya CCM Mpya inatekeleza maridhiano hayo kwa Vitendo kuanzia 2020 kuelekea 2025 kama Mwenyekiti wa BAWACHA mh. Halima Mdee alivyotuhakikishia leo bila kupepesa macho.
Wewe unazungumzia mambo ya maridhiano wakati katibu wa chama mwenyewe huelewi kinachoendelea
 
Hatimaye serikali ya maridhiano kupatikana na ndiyo maana bwana mkubwa mpaka leo hajateuwa mawaziri.

Ni hatua nzuri kwa Mama Tanzania kupata serikali ya Muungano wa Tanzania ikiwa na mawaziri kutoka CHADEMA pamoja na wabunge ndani ya Bunge la Muungano kupitia maridhiano baada ya uchafuzi wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 2020.

Ni kiashirio kuwa hakutakuwa tena na uchafuzi wa chaguzi wala kusigina tena katiba siku zijazo.

Ila mbinyo toka Jumuiya ya Kimataifa, Vyama vya Upinzani, Wadau watetezi wa Haki za Binadamu na Demokrasia utaendelea kuwepo pamoja na serikali ya maridhiano kuundwa ili kuhakikisha serikali ya CCM Mpya inatekeleza maridhiano hayo kwa Vitendo kuanzia 2020 kuelekea 2025 kama Mwenyekiti wa BAWACHA mh. Halima Mdee alivyotuhakikishia leo bila kupepesa macho.

Uchafuzi wa uchaguzi Mkuu 28 October 2020 umefungua mlango wa timu kubwa zaidi ya watetezi na wadau toka nje kuingia na kuibana serikali ya Tanzania chini ya CCM Mpya iliyotaka kuua kabisa demokrasia , uhuru na haki ya waTanzania kushiriki ktk vyombo vya maamuzi kama Bunge na nafasi za uwaziri ktk serikali ya maridhiano.
Unajifariji?
 
Back
Top Bottom