Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,128
Reaction score
1,896
Kama kuna kitu Tanzania inapashwa kukipa nguvu inayostahili basi ni hii PPP ya Kafulila.

Nchi nyingi dunia zinanufaika na PPP hasa katika kukuza Uchumi jumuishi kwa maendeleo endelevu.
IMG-20240916-WA0140(1).jpg

IMG-20240918-WA0083.jpg
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Uko sahihi lakini kila kitu ni hatua
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Huku local government pesa inapotea sana hiyo PPP inaweza kuwa ni jibu
 
Kama kuna kitu Tanzania inapashwa kukipa nguvu inayostahili basi ni hii PPP ya Kafulila.

Nchi nyingi dunia zinanufaika na PPP hasa katika kukuza Uchumi jumuishi kwa maendeleo endelevu.
View attachment 3097548
View attachment 3097549
Niwe mkweli kabisa ,kada mwenzangu Kafulila nae bado hajui dhana ya PPP kwa undani wake .Kwa kuwa nawe upo humo naomba unijibu swali moja tu la kuanzia ,je ni kweli PPP Project serikali haiwekezi hela zake ? na kama haiwekeze hela zake ni kwa nini miradi mingi ya PPP duniani haswa ile ambayo siyo Project financed inabidi serikali kudhamini mwekezaji?
 
Niwe mkweli kabisa ,kada mwenzangu Kafulila nae bado hajui dhana ya PPP kwa undani wake .Kwa kuwa nawe upo humo naomba unijibu swali moja tu la kuanzia ,je ni kweli PPP Project serikali haiwekezi hela zake ? na kama haiwekeze hela zake ni kwa nini miradi mingi ya PPP duniani haswa ile ambayo siyo Project financed inabidi serikali kudhamini mwekezaji?
Ngoja machawa wake waje wakujibu
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
PPP ni changamoto, hiyo ppp iko kwenye makaratasi haiko kihalisia unapokutana na watu wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi, (kuahirisha kufikiri kizalendo). Yaani wenye akili nyingi, (smart people), na ambao hawako tayari kuachia matonge, utasubiri sana

In reality though in entrepreneurship we learn how to do business not about business. Successful entrepreneurs know how to find customers and to keep them for life

kwenye elimu ya ujasiriamali tunajifunza jinsi ya kufanya biashara na siyo kuhusu biashara wafanyabishara waliofanikiwa wanajua jinsi ya kuwapata wateja na kuhakikisha wasiondoke asilani.

Asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara inamtegemea mjasiriamali na asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayo mzunguka.

Hii asilimia 20 mimi kama mjasiriamali mbobezi, naitambua kwamba ina nguvu hata kuua biashara endapo jamii haitachukua hatua za makusudi za kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto zilizopo na zijazo, (uncertainty).

Asilimia 20 kitaalamu ina vigingi vikuu vinne. 1. Maamuzi ya kisiasa ambayo yanaweza kusababisha biashara zikue ama zife, (political decisions). 2.jinsi serikali iliyoko madarakani ilivyo jipanga kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja, (national economy and social development strategies of an existing government). 3.Aina ya watu kwenye jamii na elimu zao, ( social demographic variables) 4.mabadilko ya teknolojia, (change of technology), mfano hai kuhusu teknolojia, kuna wengine hawezi kufanya muamala kwenye simu anampa wakala namba yake ya siri

Social development strategies is similarly to, the tools required to improve people's lives
 
Kama kuna kitu Tanzania inapashwa kukipa nguvu inayostahili basi ni hii PPP ya Kafulila.

Nchi nyingi dunia zinanufaika na PPP hasa katika kukuza Uchumi jumuishi kwa maendeleo endelevu.
View attachment 3097548
View attachment 3097549
Dogo! hiyob PPP tulliijua kabla kafulila hajabalehe
Shida ya nchi hii ni political will!
Kama kutakuwa na politicall will mambo mengi nchi hii yanawezekana tu si mpaka kafulila aseme

Tumapiganiackatiba mpya ili tuondoe mfumo hodhi wa uchumi na siasa
Ambao unakufanya uone ni hisani kupata baadhi ya haki

Umenielewa dogo!
 
Back
Top Bottom