Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Watu mliofeli shule kwa kukosa akili huwa mnahasira sana na wasomi.
Siku hizi pesa ndiyo kila kitu, iwe imepatikana kwa rushwa, wizi ama ulozi.

Wasomi nchi hii hawajawahi kufanya la maana, ndiyo maana wanachambwa mpk bungeni na akina Msukuma, Kishimba na Kibajaji.
 
Siku hizi pesa ndiyo kila kitu, iwe imepatikana kwa rushwa, wizi ama ulozi.

Wasomi nchi hii hawajawahi kufanya la maana, ndiyo maana wanachambwa mpk bungeni na akina Msukuma, Kishimba na Kibajaji.
Lakini haina maana tuwadharau wasomi,

Wasomi wengi wao ni middle classes
 
Siku hizi pesa ndiyo kila kitu, iwe imepatikana kwa rushwa, wizi ama ulozi.

Wasomi nchi hii hawajawahi kufanya la maana, ndiyo maana wanachambwa mpk bungeni na akina Msukuma, Kishimba na Kibajaji.

Wajinga wamefanya nini?

Kwani wamesoma kwaajili yenu au yao?

Wajinga wanaona kama wanahatimiliki ya usomi wa watu wengine wakati wao walikataa shule. Kila mtu ashinde match zake.
 
Lakini haina maana tuwadharau wasomi,

Wasomi wengi wao ni middle classes
Wasomi hawana msaada kwenye jamii, mitaani hawatoi hata ajira. Wafanyabiashara ndiyo watu wanaogusa maisha ya wengi nchi hii.
 
Wajinga wamefanya nini?

Kwani wamesoma kwaajili yenu au yao?

Wajinga wanaona kama wanahatimiliki ya usomi wa watu wengine wakati wao walikataa shule. Kila mtu ashinde match zake.
😂😂 Huu ni ubinafsi
 
Nani mbinafsi zaidi, mjinga aliyekataa shule na kulalamikia wasomi as if anawadai au msomi aliyesoma kwaajili yake na familia yake na hana muda na wajinga?
Hii sio lugha nzuri,

Wengine hawakusoma kwa sababu ya hali za maisha za familia zao
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Uko sahihi kwa kiwango kikubwa
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Nafurahishwa na juhudi za Serikali ya awamu ya sita
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Tatizo hao ni watu wa 10%
Ila ngoja tuone mwisho wake
 
Serikali inaweza kuchangia au isichangie kabisa kutegemea mradi husika.

Sheria inaruhusu kitu inaitwa viability Gap funding ( VGF) ambapo serikali inaruhusiwa kuchangia kiasi cha mtaji kufanya kampun binafsi itekeleze hasa kama mradi ni muhimu kiuchumi lkn haulipi kibiashara / hauna commercial viability .

Lkn kama mradi ni viable economically & commercially then serikali haina sababu ya kuchangia mraji asilimia yoyote labda tu kama serikali inataka pengine kutoa ruzuku ili kupunguza bei/ userfee.

Kwa upande wa dhamana/govt guarantee ni kwajili ya kuikinga kampuni binafsi dhidi ya baadhi ya viahatarishi na wakati mwingine hutolewa kama Comfort letter.

Kwa mfano mwekezaji analeta mabasi lkn mkusanyaji ni mamlaka ya serikali kama DART, Mwekezaji anaweza kuomba dhamana ya serikali ili endapo DART atashindwa kumlipa basi hazina imlipe/ payment guarantee.

Haya yote yako kwenye Sheria ya PPP

Nadhani nimekusaidia
Mkuu kumbe na wewe uko njema sana
 
Back
Top Bottom