Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Serikali inaweza kuchangia au isichangie kabisa kutegemea mradi husika.

Sheria inaruhusu kitu inaitwa viability Gap funding ( VGF) ambapo serikali inaruhusiwa kuchangia kiasi cha mtaji kufanya kampun binafsi itekeleze hasa kama mradi ni muhimu kiuchumi lkn haulipi kibiashara / hauna commercial viability .

Lkn kama mradi ni viable economically & commercially then serikali haina sababu ya kuchangia mraji asilimia yoyote labda tu kama serikali inataka pengine kutoa ruzuku ili kupunguza bei/ userfee.

Kwa upande wa dhamana/govt guarantee ni kwajili ya kuikinga kampuni binafsi dhidi ya baadhi ya viahatarishi na wakati mwingine hutolewa kama Comfort letter.

Kwa mfano mwekezaji analeta mabasi lkn mkusanyaji ni mamlaka ya serikali kama DART, Mwekezaji anaweza kuomba dhamana ya serikali ili endapo DART atashindwa kumlipa basi hazina imlipe/ payment guarantee.

Haya yote yako kwenye Sheria ya PPP

Nadhani nimekusaidia
Nimeelewa sana hii
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Umewaza kama Mimi ndg yangu
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Akili kwako naona zipo
 
Niwe mkweli kabisa ,kada mwenzangu Kafulila nae bado hajui dhana ya PPP kwa undani wake .Kwa kuwa nawe upo humo naomba unijibu swali moja tu la kuanzia ,je ni kweli PPP Project serikali haiwekezi hela zake ? na kama haiwekeze hela zake ni kwa nini miradi mingi ya PPP duniani haswa ile ambayo siyo Project financed inabidi serikali kudhamini mwekezaji?
Ukituliza akili vizuri na kuweka ushabiki pembeni nitaungana nawe.
Hapa ninakuona leo kwa mara ya kwanza ukiweka ushabiki wa kichama pembeni. Hilo ni jambo jema.

Sijaona popote kwenye mada hii, na hata toka kwa huyo Kafulila mwenyewe akieleza kinaga ubaga hiyo PPP ni nini hasa; lakini wachangiaji humu hawaachi kupiga makofi kwa kule kutamka tu 'PPP".
Watu wanasema huu mpango wa PPP ndio unao tumika duniani kote, lakini hata mfano mmoja tu hawatoi na kuueleza.

Hii PPP ni mpango wa hizi taasisi za Bretton wood wanao upigia upatu sana siku hizi ili utumike kwa nchi hizi maskini. Kiufupi, ni njia ya kuwaneemesha wafanya biashara wa dunia kwa mgongo wa jasho la walipa kodi wa nchi maskini.
Jiulize kwa nini lazima pawepo ushiriki wa serikali katika mpango huo, bila ya hivyo hao wawekezaji hawaitaki miradi hiyo?
Hizi PPP sasa ndiko vichaka vya rushwa na uchafu tele utahamishiwa; hasa kwa serikali dhaifu kama hii yetu hapa.

Halafu watu wanashangilia tu bila hata kujiridhisha juu ya uelewa wa mpango huo.

Hawa akina Kafulila ni vyombo/vifaa tu vinavyo tumika kulaza akili za watu; na hasa watu kama waTanzania wasiokuwa na utashi wa kuhoji lolote.
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
PPP inasemwa ni wizi wa kimacho macho
 
Back
Top Bottom