Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Niwe mkweli kabisa ,kada mwenzangu Kafulila nae bado hajui dhana ya PPP kwa undani wake .Kwa kuwa nawe upo humo naomba unijibu swali moja tu la kuanzia ,je ni kweli PPP Project serikali haiwekezi hela zake ? na kama haiwekeze hela zake ni kwa nini miradi mingi ya PPP duniani haswa ile ambayo siyo Project financed inabidi serikali kudhamini mwekezaji?
Serikali inaweza kuchangia au isichangie kabisa kutegemea mradi husika.

Sheria inaruhusu kitu inaitwa viability Gap funding ( VGF) ambapo serikali inaruhusiwa kuchangia kiasi cha mtaji kufanya kampun binafsi itekeleze hasa kama mradi ni muhimu kiuchumi lkn haulipi kibiashara / hauna commercial viability .

Lkn kama mradi ni viable economically & commercially then serikali haina sababu ya kuchangia mraji asilimia yoyote labda tu kama serikali inataka pengine kutoa ruzuku ili kupunguza bei/ userfee.

Kwa upande wa dhamana/govt guarantee ni kwajili ya kuikinga kampuni binafsi dhidi ya baadhi ya viahatarishi na wakati mwingine hutolewa kama Comfort letter.

Kwa mfano mwekezaji analeta mabasi lkn mkusanyaji ni mamlaka ya serikali kama DART, Mwekezaji anaweza kuomba dhamana ya serikali ili endapo DART atashindwa kumlipa basi hazina imlipe/ payment guarantee.

Haya yote yako kwenye Sheria ya PPP

Nadhani nimekusaidia
 
Dogo haya PPP tuliyajua kabla kafulila hajabalehe
Shida ya nchi hii ni political will!
Kama kutakuwa na politicall will mambo mengi nchi hii yanawezekana tu si mpaka kafulila aseme

Tumapiganiackatiba mpya ili tuondoe mfumo hodhi wa uchumi na siasa
Ambao unakufanya uone ni hisani kupata baadhi ya haki

Umenielewa dogo!
Tanzania biashara zinakufa kwasababu ya baadhi ya maamuzi ya kisiasa ama sera ambazo hazina muelekeo chanzo ni jamii mfu kifikra, yaani jamii ya bora liende, jamii inayowategemea watu wachache wano ahirisha kufikiri kizalendo, a.k.a kujizima data
 
Dogo haya PPP tuliyajua kabla kafulila hajabalehe
Shida ya nchi hii ni political will!
Kama kutakuwa na politicall will mambo mengi nchi hii yanawezekana tu si mpaka kafulila aseme

Tumapiganiackatiba mpya ili tuondoe mfumo hodhi wa uchumi na siasa
Ambao unakufanya uone ni hisani kupata baadhi ya haki

Umenielewa dogo!
Haya mambo yenu ya siasa ndio yanatuchelewesha
 
Tanzania biashara zinakufa kwasababu ya baadhi ya maamuzi ya kisiasa ama sera ambazo hazina muelekeo chanzo ni jamii mfu kifikra, yaani jamii ya bora liende, jamii inayowategemea watu wachache wano ahirisha kufikiri kizalendo, a.k.a kujizima data
Sio kweli
 
Sio kweli
Toa hoja, social development strategies is similarly to the tools required to improve people's lives, while human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering, working towards group objectives and hypocrite, (manipulation).

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki)
 
Dogo haya PPP tuliyajua kabla kafulila hajabalehe
Shida ya nchi hii ni political will!
Kama kutakuwa na politicall will mambo mengi nchi hii yanawezekana tu si mpaka kafulila aseme

Tumapiganiackatiba mpya ili tuondoe mfumo hodhi wa uchumi na siasa
Ambao unakufanya uone ni hisani kupata baadhi ya haki

Umenielewa dogo!
Good thinking 🤔
 
Uko sahihi lakini kila kitu ni hatua
Hao wataalamu wa serikali wanatumia muda mwingi na pesa nyingi kutengeneza miongozo, tozo, (regulations and rate sittings),sera na hizo PPP bila kushirikisha, (wadau), wananchi matokeo yake mafanikio yanakuwa hakuna
 
Serikali inaweza kuchangia au isichangie kabisa kutegemea mradi husika. Sheria inaruhusu kitu inaitwa viability Gap funding ( VGF) ambapo serikali inaruhusiwa kuchangia kiasi cha mtaji kufanya kampun binafsi itekeleze hasa kama mradi ni muhimu kiuchumi lkn haulipi kibiashara / hauna commercial viability . Lkn kama mradi ni viable economically & commercially then serikali haina sababu ya kuchangia mraji asilimia yoyote labda tu kama serikali inataka pengine kutoa ruzuku ili kupunguza bei/ userfee. Kwa upande wa dhamana/govt guarantee ni kwajili ya kuikinga kampuni binafsi dhidi ya baadhi ya viahatarishi na wakati mwingine hutolewa kama Comfort letter. Kwa mfano mwekezaji analeta mabasi lkn mkusanyaji ni mamlaka ya serikali kama DART, Mwekezaji anaweza kuomba dhamana ya serikali ili endapo DART atashindwa kumlipa basi hazina imlipe/ payment guarantee.

Nadhani nimekusaidia
Mkuu umeto elimu kidogo kwa wale ambao bado ni wachanga kwenye miradi ya PPP.
 
Kama kuna kitu Tanzania inapashwa kukipa nguvu inayostahili basi ni hii PPP ya Kafulila.

Nchi nyingi dunia zinanufaika na PPP hasa katika kukuza Uchumi jumuishi kwa maendeleo endelevu.
View attachment 3097548
View attachment 3097549
Kafulila kaja kakuta utaratibu wa PPP upo jinsi ulivyo na wala hajaboresha chochote. Tena PPP ilikua mikononi mwa prof. Mafwenga ambae sifa zake kielimu tunazijua vizuri.
Ili kufanikiwa katika PPP ni lazima Serikali iaminike na wawekezaji na sera zake kwa ujumla zielekee huko. Kuna muda wawekezaji walionekana kama wapigaji na hadi zikarekebishwa ili kuwabana, hii inafukuza wawekezaji.
Kwa sasa hali imetulia ndio maana tunaona baadhi wameanza kujitokeza, Serikali ikiboresha sera zake hasa za biashara, duniani humo wawekezaji ni wengi.
 
Kafulila kaja kakuta utaratibu wa PPP upo jinsi ulivyo na wala hajaboresha chochote. Tena PPP ilikua mikononi mwa prof. Mafwenga ambae sifa zake kielimu tunazijua vizuri.
Ili kufanikiwa katika PPP ni lazima Serikali iaminike na wawekezaji na sera zake kwa ujumla zielekee huko. Kuna muda wawekezaji walionekana kama wapigaji na hadi zikarekebishwa ili kuwabana, hii inafukuza wawekezaji.
Kwa sasa hali imetulia ndio maana tunaona baadhi wameanza kujitokeza, Serikali ikiboresha sera zake hasa za biashara, duniani humo wawekezaji ni wengi.
Lakini Kwa Sasa Sheria hizo zimerekishwa Kwa mujibu wa Kafulila
 
Hao wataalamu wa serikali wanatumia muda mwingi na pesa nyingi kutengeneza miongozo, tozo, (regulations and rate sittings),sera na hizo PPP bila kushirikisha, (wadau), wananchi matokeo yake mafanikio yanakuwa hakuna
Yes unahoja ya msingi sana,

Ushirikishwaji ni hafifu
 
Serikali inaweza kuchangia au isichangie kabisa kutegemea mradi husika.

Sheria inaruhusu kitu inaitwa viability Gap funding ( VGF) ambapo serikali inaruhusiwa kuchangia kiasi cha mtaji kufanya kampun binafsi itekeleze hasa kama mradi ni muhimu kiuchumi lkn haulipi kibiashara / hauna commercial viability .

Lkn kama mradi ni viable economically & commercially then serikali haina sababu ya kuchangia mraji asilimia yoyote labda tu kama serikali inataka pengine kutoa ruzuku ili kupunguza bei/ userfee.

Kwa upande wa dhamana/govt guarantee ni kwajili ya kuikinga kampuni binafsi dhidi ya baadhi ya viahatarishi na wakati mwingine hutolewa kama Comfort letter.

Kwa mfano mwekezaji analeta mabasi lkn mkusanyaji ni mamlaka ya serikali kama DART, Mwekezaji anaweza kuomba dhamana ya serikali ili endapo DART atashindwa kumlipa basi hazina imlipe/ payment guarantee.

Haya yote yako kwenye Sheria ya PPP

Nadhani nimekusaidia
Hii imenifungua macho,

👇👇

Kwa mfano mwekezaji analeta mabasi lkn mkusanyaji ni mamlaka ya serikali kama DART, Mwekezaji anaweza kuomba dhamana ya serikali ili endapo DART atashindwa kumlipa basi hazina imlipe/ payment guarantee.
 
Hii imenifungua macho,

👇👇

Kwa mfano mwekezaji analeta mabasi lkn mkusanyaji ni mamlaka ya serikali kama DART, Mwekezaji anaweza kuomba dhamana ya serikali ili endapo DART atashindwa kumlipa basi hazina imlipe/ payment guarantee.
Privatization ina eliminate rushwa automatically
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Point, kuna Mkurugenzi huku mpaka dili dogo anataka kufanya yeye
 
PPP ni changamoto, hiyo ppp iko kwenye makaratasi haiko kihalisia unapokutana na watu wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi, (kuahirisha kufikiri kizalendo). Yaani wenye akili nyingi, (smart people), na ambao hawako tayari kuachia matonge, utasubiri sana

In reality though in entrepreneurship we learn how to do business not about business. Successful entrepreneurs know how to find customers and to keep them for life

kwenye elimu ya ujasiriamali tunajifunza jinsi ya kufanya biashara na siyo kuhusu biashara wafanyabishara waliofanikiwa wanajua jinsi ya kuwapata wateja na kuhakikisha wasiondoke asilani.

Asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara inamtegemea mjasiriamali na asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayo mzunguka.

Hii asilimia 20 mimi kama mjasiriamali mbobezi, naitambua kwamba ina nguvu hata kuua biashara endapo jamii haitachukua hatua za makusudi za kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto zilizopo na zijazo, (uncertainty).

Asilimia 20 kitaalamu ina vigingi vikuu vinne. 1. Maamuzi ya kisiasa ambayo yanaweza kusababisha biashara zikue ama zife, (political decisions). 2.jinsi serikali iliyoko madarakani ilivyo jipanga kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja, (national economy and social development strategies of an existing government). 3.Aina ya watu kwenye jamii na elimu zao, ( social demographic variables) 4.mabadilko ya teknolojia, (change of technology), mfano hai kuhusu teknolojia, kuna wengine hawezi kufanya muamala kwenye simu anampa wakala namba yake ya siri

Social development strategies is similarly to, the tools required to improve people's lives
SAHIHI

Jamii na Wanajamii wanapokuwa hawako tayari kutoa hesabu ya utayari wa maisha na maendeleo yao daima watakuwa wahanga wa 'maamuzi ya watu wengine'...

Hata lawama na vipakazio, havitowasaidia kwa lolote khasa bali kuwa muktadha akilifu wa kujiziuka, kujizima data, kujipumbaza akilini labda ni serikali na wataalam wake wanaokosea pahala...

Kiufundi, haya ni matatizo ya kijamii yatokanayo na 'Tabia na Mazoea'.

Ni tabia na mazoea, viwili vinavyohusiana moja kwa moja na sifa na hadhi ya Kielimu ya Wanajamii; katika jamii Elimu muafaka si 'visomo vya cheti na madarasa' bali mambo ya 'Nuru ya Ufahamu' na 'Uono Fasaha' wa mambo/utamaduni...

Watalaam na mchango wao 20% hauna pumzi ya kuwarekebisha wanajamii wengi ambao 'Hawajitambui'--labda sana sana na wao wanaweza kujikita kwenye lile jambo lao, mambo yao kipenzi ya mapendekezo ya hatua zakuchukuliwa: 'Jamii ipewe Elimu' ama 'Jamii ijengewe Uwezo' ama 'Fedha zaidi zitolewe kwa ajili Elimu na Mafunzo kwa umma na Watendaji'...

Daima kinachofuatia kwa sura na utendaji wa namna hii ni 'ujenzi/uimarishi wa daraja la kati' la wanajamii, mambo ya vipato na privileji kwa makundi fulani ya utendaji, utumishi na biashara.

Hii ndiyo adha ya Elimu na Utumishi badala ya 'Elimu ya Mwangaza kwa Jamii'; Suala la Elimu ya Mwangaza kwa jamii ndiyo khasa kusudi la dhana ya 'Mwenge wa Uhuru'...

Watu wasio na Elimu ya Mwangaza wa Maisha, mwangaza wa mbali kupita mapana ya maandalizi yao ya kimifumo ya maisha ya kileo 2024, daima si 'watu huru' khasa--tena huenda hawa si watu wa nasibu ya kutambua ama/na kujitambua kuhusu 'Uhuru Binafsi' na 'Heshima ya Kweli' ya Utu wao.

Ni watu miongoni mwetu wanaoamka na katafuta kujua ilivyobora ndiyo wanayonasibu ya kuwa chumvi na nuru ya utamaduni wa jamii pana--tuseme jamii ya Watanzania.

Watu hawa wanaweza kuchipuka kokote, kutoka kwenye kada za utumishi wa Umma, Elimu, Biashara, Sayansi, Ujasiriamali n.k--hili linataka tu nia na dhamiri ya kujiongeza.

Wakati mmoja siku za mbele, tena wakati tumefanikiwa katika shughuli ya Mwenge wa Uhuru, Ilimu na Elimu jumuishi ya mambo itageuza sura na maendeleo ya jamii kuwa jambo tutakalolibayanisha kana 'Ujasiriamali wa Kijamii'; kwa leo kuzungumzia Ujasiriamali wa Kijamii si ajabu hata wanaojiita 'Wataalam wa Uchumi na Maendekeo ya Jamii' watang'aa ng'aa macho ama kujikuna akili--ndiyo 'mashikolo' gani?

Kuna jambo ni Dosari katika dhana na ufikirifu wa mwelekeo wa utaasisi wa 'PPP'; hili ni kwa kuwa PPP ni jambo linalodhihiri kwa namna ya ufikirifu unaojizima data kwa mengi sana kwenye jamii ambayo hayapaswi kufumbiwa macho. Ukiwa na jamii ambayo inamapungufu ya Mwenendo wa Tabia na Mazoea yake katika Maisha na Uisho basi hata PPP hujakuutumia huo mwanya hata kwa mabaya zaidi--mahodhi na ulimbikizaji wa mali kwa watu binafsi/mashirika hata ikibidi kubadili sura nzima ya Utaifa/Dola na Uzalendo; Maendeleo si Vitu--Maendeleo ni Watu...

Ukiwa na watu wanaochekelea 'Mitaji' na 'Ukoloni Mamboleo' ni sawa sawa na jambo la 'kupenda njia ya mkato' ili 'Kupata na Kuwahi'--mambo ya kupenda majibu mepesi kwa maswali magumu... Katika mapelekeo ya mwenendo wa namna hii upo muktadha akilifu wa kudhani 'umepata' na kumbe 'umepatikana'...

Tujitahidi kuwa macho juu ya yote, tuwe na uono na ufikirifu mifumo, kwa kuwa namna yoyote ya 'upembuzi yakinifu' inaweza kuwa ni 'maarifa ya kukosa' na kuhalalisha mabovu ya kijamii. Mengi ya machagua ya kitaasisi, hata muktadha wenyewe wa PPP yanaweza kusahihishwa kwa kuzingatia hesabu muafaka za udhamirifu wa 'Maendeleo ya Watu'; si kwa vigezo mushkeli vya 'fedha, mitaji, ajira na masoko' zaidi...

Jamii yetu inahitaji 'Mwangaza' na 'Wadau wa Utu na Maendeleo' katika Kweli khasa na si 'Usahihi wa Kisiasa za Mambo'...​
 
SAHIHI

Jamii na Wanajamii wanapokuwa hawako tayari kutoa hesabu ya utayari wa maisha na maendeleo yao daima watakuwa wahanga wa 'maamuzi ya watu wengine'...

Hata lawama na vipakazio, havitowasaidia kwa lolote khasa bali kuwa muktadha akilifu wa kujiziuka, kujizima data, kujipumbaza akilini labda ni serikali na wataalam wake wanaokosea pahala...

Kiufundi, haya ni matatizo ya kijamii yatokanayo na 'Tabia na Mazoea'.

Ni tabia na mazoea, viwili vinavyohusiana moja kwa moja na sifa na hadhi ya Kielimu ya Wanajamii; katika jamii Elimu muafaka si 'visomo vya cheti na madarasa' bali mambo ya 'Nuru ya Ufahamu' na 'Uono Fasaha' wa mambo/utamaduni...

Watalaam na mchango wao 20% hauna pumzi ya kuwarekebisha wanajamii wengi ambao 'Hawajitambui'--labda sana sana na wao wanaweza kujikita kwenye lile jambo lao, mambo yao kipenzi ya mapendekezo ya hatua zakuchukuliwa: 'Jamii ipewe Elimu' ama 'Jamii ijengewe Uwezo' ama 'Fedha zaidi zitolewe kwa ajili Elimu na Mafunzo kwa umma na Watendaji'...

Daima kinachofuatia kwa sura na utendaji wa namna hii ni 'ujenzi/uimarishi wa daraja la kati' la wanajamii, mambo ya vipato na privileji kwa makundi fulani ya utendaji, utumishi na biashara.

Hii ndiyo adha ya Elimu na Utumishi badala ya 'Elimu ya Mwangaza kwa Jamii'; Suala la Elimu ya Mwangaza kwa jamii ndiyo khasa kusudi la dhana ya 'Mwenge wa Uhuru'...

Watu wasio na Elimu ya Mwangaza wa Maisha, mwangaza wa mbali kupita mapana ya maandalizi yao ya kimifumo ya maisha ya kileo 2024, daima si 'watu huru' khasa--tena huenda hawa si watu wa nasibu ya kutambua ama/na kujitambua kuhusu 'Uhuru Binafsi' na 'Heshima ya Kweli' ya Utu wao.

Ni watu miongoni mwetu wanaoamka na katafuta kujua ilivyobora ndiyo wanayonasibu ya kuwa chumvi na nuru ya utamaduni wa jamii pana--tuseme jamii ya Watanzania.

Watu hawa wanaweza kuchipuka kokote, kutoka kwenye kada za utumishi wa Umma, Elimu, Biashara, Sayansi, Ujasiriamali n.k--hili linataka tu nia na dhamiri ya kujiongeza.

Wakati mmoja siku za mbele, tena wakati tumefanikiwa katika shughuli ya Mwenge wa Uhuru, Ilimu na Elimu jumuishi ya mambo itageuza sura na maendeleo ya jamii kuwa jambo tutakalolibayanisha kana 'Ujasiriamali wa Kijamii'; kwa leo kuzungumzia Ujasiriamali wa Kijamii si ajabu hata wanaojiita 'Wataalam wa Uchumi na Maendekeo ya Jamii' watang'aa ng'aa macho ama kujikuna akili--ndiyo 'mashikolo' gani?

Kuna jambo ni Dosari katika dhana na ufikirifu wa mwelekeo wa utaasisi wa 'PPP'; hili ni kwa kuwa PPP ni jambo linalodhihiri kwa namna ya ufikirifu unaojizima data kwa mengi sana kwenye jamii ambayo hayapaswi kufumbiwa macho. Ukiwa na jamii ambayo inamapungufu ya Mwenendo wa Tabia na Mazoea yake katika Maisha na Uisho basi hata PPP hujakuutumia huo mwanya hata kwa mabaya zaidi--mahodhi na ulimbikizaji wa mali kwa watu binafsi/mashirika hata ikibidi kubadili sura nzima ya Utaifa/Dola na Uzalendo; Maendeleo si Vitu--Maendeleo ni Watu...

Ukiwa na watu wanaochekelea 'Mitaji' na 'Ukoloni Mamboleo' ni sawa sawa na jambo la 'kupenda njia ya mkato' ili 'Kupata na Kuwahi'--mambo ya kupenda majibu mepesi kwa maswali magumu... Katika mapelekeo ya mwenendo wa namna hii upo muktadha akilifu wa kudhani 'umepata' na kumbe 'umepatikana'...

Tujitahidi kuwa macho juu ya yote, tuwe na uono na ufikirifu mifumo, kwa kuwa namna yoyote ya 'upembuzi yakinifu' inaweza kuwa ni 'maarifa ya kukosa' na kuhalalisha mabovu ya kijamii. Mengi ya machagua ya kitaasisi, hata muktadha wenyewe wa PPP yanaweza kusahihishwa kwa kuzingatia hesabu muafaka za udhamirifu wa 'Maendeleo ya Watu'; si kwa vigezo mushkeli vya 'fedha, mitaji, ajira na masoko' zaidi...

Jamii yetu inahitaji 'Mwangaza' na 'Wadau wa Utu na Maendeleo' katika Kweli khasa na si 'Usahihi wa Kisiasa za Mambo'...​
Mwangaza wenyewe ndio hii PPP na mengine mazuri ya kuijenga jamii yetu
 
Back
Top Bottom