UNACHEKESHA SANA...Mwangaza wenyewe ndio hii PPP na mengine mazuri ya kuijenga jamii yetu
Kafulila bana punguza accounts zako hapa JFKama kuna kitu Tanzania inapashwa kukipa nguvu inayostahili basi ni hii PPP ya Kafulila.
Nchi nyingi dunia zinanufaika na PPP hasa katika kukuza Uchumi jumuishi kwa maendeleo endelevu.
View attachment 3097548
View attachment 3097549
Asante kwa kuongeza nyama, mimi naandika kitabu cha ujasiriamali fikirishi siyo tu jinsi ya kuanzisha na kuendeleza biashara bali nimeangaza kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike.SAHIHI
Jamii na Wanajamii wanapokuwa hawako tayari kutoa hesabu ya utayari wa maisha na maendeleo yao daima watakuwa wahanga wa 'maamuzi ya watu wengine'...
Hata lawama na vipakazio, havitowasaidia kwa lolote khasa bali kuwa muktadha akilifu wa kujiziuka, kujizima data, kujipumbaza akilini labda ni serikali na wataalam wake wanaokosea pahala...
Kiufundi, haya ni matatizo ya kijamii yatokanayo na 'Tabia na Mazoea'.
Ni tabia na mazoea, viwili vinavyohusiana moja kwa moja na sifa na hadhi ya Kielimu ya Wanajamii; katika jamii Elimu muafaka si 'visomo vya cheti na madarasa' bali mambo ya 'Nuru ya Ufahamu' na 'Uono Fasaha' wa mambo/utamaduni...
Watalaam na mchango wao 20% hauna pumzi ya kuwarekebisha wanajamii wengi ambao 'Hawajitambui'--labda sana sana na wao wanaweza kujikita kwenye lile jambo lao, mambo yao kipenzi ya mapendekezo ya hatua zakuchukuliwa: 'Jamii ipewe Elimu' ama 'Jamii ijengewe Uwezo' ama 'Fedha zaidi zitolewe kwa ajili Elimu na Mafunzo kwa umma na Watendaji'...
Daima kinachofuatia kwa sura na utendaji wa namna hii ni 'ujenzi/uimarishi wa daraja la kati' la wanajamii, mambo ya vipato na privileji kwa makundi fulani ya utendaji, utumishi na biashara.
Hii ndiyo adha ya Elimu na Utumishi badala ya 'Elimu ya Mwangaza kwa Jamii'; Suala la Elimu ya Mwangaza kwa jamii ndiyo khasa kusudi la dhana ya 'Mwenge wa Uhuru'...
Watu wasio na Elimu ya Mwangaza wa Maisha, mwangaza wa mbali kupita mapana ya maandalizi yao ya kimifumo ya maisha ya kileo 2024, daima si 'watu huru' khasa--tena huenda hawa si watu wa nasibu ya kutambua ama/na kujitambua kuhusu 'Uhuru Binafsi' na 'Heshima ya Kweli' ya Utu wao.
Ni watu miongoni mwetu wanaoamka na katafuta kujua ilivyobora ndiyo wanayonasibu ya kuwa chumvi na nuru ya utamaduni wa jamii pana--tuseme jamii ya Watanzania.
Watu hawa wanaweza kuchipuka kokote, kutoka kwenye kada za utumishi wa Umma, Elimu, Biashara, Sayansi, Ujasiriamali n.k--hili linataka tu nia na dhamiri ya kujiongeza.
Wakati mmoja siku za mbele, tena wakati tumefanikiwa katika shughuli ya Mwenge wa Uhuru, Ilimu na Elimu jumuishi ya mambo itageuza sura na maendeleo ya jamii kuwa jambo tutakalolibayanisha kana 'Ujasiriamali wa Kijamii'; kwa leo kuzungumzia Ujasiriamali wa Kijamii si ajabu hata wanaojiita 'Wataalam wa Uchumi na Maendekeo ya Jamii' watang'aa ng'aa macho ama kujikuna akili--ndiyo 'mashikolo' gani?
Kuna jambo ni Dosari katika dhana na ufikirifu wa mwelekeo wa utaasisi wa 'PPP'; hili ni kwa kuwa PPP ni jambo linalodhihiri kwa namna ya ufikirifu unaojizima data kwa mengi sana kwenye jamii ambayo hayapaswi kufumbiwa macho. Ukiwa na jamii ambayo inamapungufu ya Mwenendo wa Tabia na Mazoea yake katika Maisha na Uisho basi hata PPP hujakuutumia huo mwanya hata kwa mabaya zaidi--mahodhi na ulimbikizaji wa mali kwa watu binafsi/mashirika hata ikibidi kubadili sura nzima ya Utaifa/Dola na Uzalendo; Maendeleo si Vitu--Maendeleo ni Watu...
Ukiwa na watu wanaochekelea 'Mitaji' na 'Ukoloni Mamboleo' ni sawa sawa na jambo la 'kupenda njia ya mkato' ili 'Kupata na Kuwahi'--mambo ya kupenda majibu mepesi kwa maswali magumu... Katika mapelekeo ya mwenendo wa namna hii upo muktadha akilifu wa kudhani 'umepata' na kumbe 'umepatikana'...
Tujitahidi kuwa macho juu ya yote, tuwe na uono na ufikirifu mifumo, kwa kuwa namna yoyote ya 'upembuzi yakinifu' inaweza kuwa ni 'maarifa ya kukosa' na kuhalalisha mabovu ya kijamii. Mengi ya machagua ya kitaasisi, hata muktadha wenyewe wa PPP yanaweza kusahihishwa kwa kuzingatia hesabu muafaka za udhamirifu wa 'Maendeleo ya Watu'; si kwa vigezo mushkeli vya 'fedha, mitaji, ajira na masoko' zaidi...
Jamii yetu inahitaji 'Mwangaza' na 'Wadau wa Utu na Maendeleo' katika Kweli khasa na si 'Usahihi wa Kisiasa za Mambo'...
NI KWELI; NA MCHANGO UNAANGAZIA UKWELI WA MAMBOAsante kwa kuongeza nyama, mimi naandika kitabu cha ujasiriamali fikirishi siyo tu jinsi ya kuanzisha na kuendeleza biashara bali nimeangaza kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike.
Darasani tulifundishwa kidogo sana kuhusu mjasiriamali na yanayo mzunguka kumbe kuna mengi yaliyo jificha ambayo kumbe jamii ndiyo inaweza, (ina nguvu), kuweza kuyapigia kelele hasa kuhusu changamoto, (uncertainty), changamoto husababishwa na 1. Majanga asili, 2. Binadamu ambaye huwasababishia wengine changamoto kwa makusudi ama bila kujua, pia hujisabanishia Changamoto kwa uzembe uvivu ujinga na ushamba
Tunakazi kubwa ya kuelimisha jamii ambayo walio pewa dhamana kuahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data
Jamii kwasasa ukiielimisha ina elimika na wanauelewa mkubwa japo hawajabahatika kupata elimu.NI KWELI; NA MCHANGO UNAANGAZIA UKWELI WA MAMBO
Baraka Sana kwa Kazi yako!
Ndiyo, hayo unayoyataja yanafahamika na kiuono na ufikirifu mifumo kama 'Mazingira'--mazingira ya mtendaji ama na chombo; daima kuna (1) mazingira ya ndani ya (2) mazingira ya nje; mtu makini daima anatakiwa awe na jitihada ya macho ya kuyaona ya ndani na ya nje kwa ufasaha na upeo wa kumaizi anawajibika vipi kuilinda shughuli yake na kuihakikisha usalama wake wa kiuhai/pumzi...
Wanajamii wasipo jifahamu kuwa wawo ni 'rasilimali' katika mchakato wowote, mchakato wowote wa maendeleo ya kijamii na taifa, daima hawa wanageuka kuwa 'zigo la lawama'...
View attachment 3098224
Kutoka kwenye maarifa rahisi ya menejimenti; liko hitaji la kuwaleta wanajamii katika elimu na ujuzi wa uono na ufikirifu mifumo:
View attachment 3098223
Hmmm
Public-private partnerships are arrangements between the public and private sectors that undertake and deliver projects to serve the public interest. They aim to leverage the strengths and expertise of both sectors to achieve mutual benefits, combining public resources and the efficiency of the private sector. These partnerships can vary, but they typically involve the financing, construction, operation, and maintenance of public infrastructure or the delivery of public services.UNACHEKESHA SANA...
Unaweza kuibayanisha/kuichambua fremukazi ya PPP kitalaam hapa ili tuoneshane njia moja kwa moja?
Kama unaweza...
ANZA!
Umenikumbusha kuhusu mradi wa mabasi yaendayo kasi hivi ule uko kwenye mfumo wa PPP maana siuelewi kabisa, kama upo kwenye mfumo huo wa PPP na ndivyo picha, (taswira), ya miradi ya PPP, inatakiwa iwe, basi naweka alama ya kuuliza ?, Kwenye maana halisi ya PPPPublic-private partnerships are arrangements between the public and private sectors that undertake and deliver projects to serve the public interest. They aim to leverage the strengths and expertise of both sectors to achieve mutual benefits, combining public resources and the efficiency of the private sector. These partnerships can vary, but they typically involve the financing, construction, operation, and maintenance of public infrastructure or the delivery of public services.
The public sector retains the responsibility for setting the policy objectives and ensuring the project's compliance with public interest considerations. The private sector partner brings its specialized skills, technological capabilities, and financial resources to design, build, and manage the project. The risks and rewards of the project are shared between the two parties, often through a long-term contractual agreement.
PPPs can be applied to various types of projects. Some examples are transportation infrastructure, utilities, social infrastructure such as schools and prisons, and information technology systems. PPP projects are contingent upon many factors that include the need for the expertise of the private sector, cost savings, potential revenue generation, and the complexity of the project.
The duration of PPP contracts can vary significantly and is contingent upon the nature of the project. Projects can be as short as two years but can span as long as several decades. The lengthy contract periods are necessary because they provide the private sector partner with the opportunity to recoup their investments and generate reasonable returns. The duration also allows the public sector to benefit from the private sector's expertise over an extended period and ensure the quality and sustainability of the infrastructure or services provided.
Public-private partnerships are arrangements between the public and private sectors that undertake and deliver projects to serve the public interest. They aim to leverage the strengths and expertise of both sectors to achieve mutual benefits, combining public resources and the efficiency of the private sector. These partnerships can vary, but they typically involve the financing, construction, operation, and maintenance of public infrastructure or the delivery of public services.
The public sector retains the responsibility for setting the policy objectives and ensuring the project's compliance with public interest considerations. The private sector partner brings its specialized skills, technological capabilities, and financial resources to design, build, and manage the project. The risks and rewards of the project are shared between the two parties, often through a long-term contractual agreement.
PPPs can be applied to various types of projects. Some examples are transportation infrastructure, utilities, social infrastructure such as schools and prisons, and information technology systems. PPP projects are contingent upon many factors that include the need for the expertise of the private sector, cost savings, potential revenue generation, and the complexity of the project.
The duration of PPP contracts can vary significantly and is contingent upon the nature of the project. Projects can be as short as two years but can span as long as several decades. The lengthy contract periods are necessary because they provide the private sector partner with the opportunity to recoup their investments and generate reasonable returns. The duration also allows the public sector to benefit from the private sector's expertise over an extended period and ensure the quality and sustainability of the infrastructure or services provided.
Hivi lengo lenu lakumpublish huyu mtu ni niniKama kuna kitu Tanzania inapashwa kukipa nguvu inayostahili basi ni hii PPP ya Kafulila.
Nchi nyingi dunia zinanufaika na PPP hasa katika kukuza Uchumi jumuishi kwa maendeleo endelevu.
View attachment 3097548
View attachment 3097549
Public-private partnerships are arrangements between the public and private sectors that undertake and deliver projects to serve the public interest. They aim to leverage the strengths and expertise of both sectors to achieve mutual benefits, combining public resources and the efficiency of the private sector. These partnerships can vary, but they typically involve the financing, construction, operation, and maintenance of public infrastructure or the delivery of public services.
The public sector retains the responsibility for setting the policy objectives and ensuring the project's compliance with public interest considerations. The private sector partner brings its specialized skills, technological capabilities, and financial resources to design, build, and manage the project. The risks and rewards of the project are shared between the two parties, often through a long-term contractual agreement.
PPPs can be applied to various types of projects. Some examples are transportation infrastructure, utilities, social infrastructure such as schools and prisons, and information technology systems. PPP projects are contingent upon many factors that include the need for the expertise of the private sector, cost savings, potential revenue generation, and the complexity of the project.
The duration of PPP contracts can vary significantly and is contingent upon the nature of the project. Projects can be as short as two years but can span as long as several decades. The lengthy contract periods are necessary because they provide the private sector partner with the opportunity to recoup their investments and generate reasonable returns. The duration also allows the public sector to benefit from the private sector's expertise over an extended period and ensure the quality and sustainability of the infrastructure or services provided.
Mtu gani?Hivi lengo lenu lakumpublish huyu mtu ni nini
kujifunza kutokana na makosa' ama 'kuwa na uwezo wa kubaini utendaji wa ari ya chini/duni/hafifu wa 'Watendaji Wote Husika'...๐๐๐SI MWANZO MZURI
Kwanza, ni vema ungelianza kwa maneno yako mwenyewe--si lazima uwe unajua sana ya PPP kwa mfano; kwa kuwa hili linaweza kuwa shauri la kuelimishana na kujengeana uwezo wa kubayanisha mambo.
Halafu hakuna haja ya matumizi ya lugha ya Kiingereza; haya yote uliyoyaweka hapo, na mengine ambayo hujawakilisha, yanaweza kuzungumzwa kwa Kiswahili--tutumie Kiswahili... Ama tutafsiri mengine yote kutoka kwenye lugha ya Kiingereza.
Kwa Uzoefu wa Utaasisi wa PPP kwa Tanzania; mahala pazuri pa kuanzia ni vyanzo vya habari vya taasisi zenyewe za Kiserikali: >KWA MFANO UKURASA HUU WA TOVUTI<--kufanya hili ili lau kuotea fremukazi ya Utaasisi wa PPP inafananiaje...
Fremukazi maana yake ni SURA YA MUONGOZO WA KIUTENDAJI ambavyo ndiyo husadifu miundo ya kiutendaji, dhamira zake za kiutendaji, usuli wa mashauri ya 'Kuhalalisha' makusudi ya utendaji wake -- ndilo hupata uhalali na kukubalika kupitia Sera na Sheria.
Kwa hivyo fremukazi inakuwa na mashauri ya Fikra, Maono na Kujichagulia kiserikali kama chombo ya Maslahi ya Umma na Itaainisha dhamira, miongozo na taratibu ya kuliendea jambo Kimipango na Utumishi wa Umma kama chimbuko za jitihada zenyewe.
Kinabaki siku zote kuwa 'Ukurusa wa Wazi' kwenye fremukazi yeyote ni 'Uwezo wa Jamii' ama 'Vyombo/Taasisi' za Serikali katika kutekeleza malengo ya Utaasisi wa Shughuli fulani--tuseme labda Shughuli ya Kutengeneza Uwepesi wa Makusudi ya PPP... Jambo linaloamuliwa na umahiri wa utendaji wenyewe na dhamira ya kujiimarisha kitaasisi na uwezo.
Fremukazi ni mambo ya Kujichagulia, Kujipangilia na Kujenga Ushawishi kwa kitu ambacho kwenye uono na ufikirifu mifumo hutajwa kama 'Koherensia ya Utaasisi--Institutional Coherence'--hili ni kwa ajili ya Maslahi fulani ya Jamii/Taifa/Dola--kwa hivyo daima huwa kuna 'mbigiri' za upeo, uwezo, utayari wa wanajamii wenyewe na watendaji... Si kila mwanajamii ama mtendaji analingana ama kufanana na mwenzake katika kutambua na kuyabayanisha 'maslahi ya Taifa/Jamii'--hapa ndipo kuna 'donda dungu'...
Kiufundi, tatizo lililo kwa sasa kiutendaji ni kuathirisha 'Koherensia ya Utaasisi' kwa mambo mengi yanachukuliwa/kufanyika kwa ajili ya maendeleo ya jamii--uchanganuzi wa wakati mmoja wa sera mbalimbali ama sheria huwa na azma ya kulizingatia hili...
Hili lina namna yake 'kushughulika nalo' na daima huwa ni 'mchakato endelevu'... Ugumu ama wepesi wa machakato wenyewe unategemea 'uzito' wa wanajamii wenyewe na watendaji katika 'kujifunza kutokana na makosa' ama 'kuwa na uwezo wa kubaini utendaji wa ari ya chini/duni/hafifu wa 'Watendaji Wote Husika'...
Duuuh nchi ngumu sana hii aiseeNI KWELI; NA MCHANGO UNAANGAZIA UKWELI WA MAMBO
Baraka Sana kwa Kazi yako!
Ndiyo, hayo unayoyataja yanafahamika na kiuono na ufikirifu mifumo kama 'Mazingira'--mazingira ya mtendaji ama na chombo; daima kuna (1) mazingira ya ndani ya (2) mazingira ya nje; mtu makini daima anatakiwa awe na jitihada ya macho ya kuyaona ya ndani na ya nje kwa ufasaha na upeo wa kumaizi anawajibika vipi kuilinda shughuli yake na kuihakikisha usalama wake wa kiuhai/pumzi...
Wanajamii wasipo jifahamu kuwa wawo ni 'rasilimali' katika mchakato wowote, mchakato wowote wa maendeleo ya kijamii na taifa, daima hawa wanageuka kuwa 'zigo la lawama'...
View attachment 3098224
Kutoka kwenye maarifa rahisi ya menejimenti; liko hitaji la kuwaleta wanajamii katika elimu na ujuzi wa uono na ufikirifu mifumo:
View attachment 3098223
Hmmm
Nitarudi...SI MWANZO MZURI
Kwanza, ni vema ungelianza kwa maneno yako mwenyewe--si lazima uwe unajua sana ya PPP kwa mfano; kwa kuwa hili linaweza kuwa shauri la kuelimishana na kujengeana uwezo wa kubayanisha mambo.
Halafu hakuna haja ya matumizi ya lugha ya Kiingereza; haya yote uliyoyaweka hapo, na mengine ambayo hujawakilisha, yanaweza kuzungumzwa kwa Kiswahili--tutumie Kiswahili... Ama tutafsiri mengine yote kutoka kwenye lugha ya Kiingereza.
Kwa Uzoefu wa Utaasisi wa PPP kwa Tanzania; mahala pazuri pa kuanzia ni vyanzo vya habari vya taasisi zenyewe za Kiserikali: >KWA MFANO UKURASA HUU WA TOVUTI<--kufanya hili ili lau kuotea fremukazi ya Utaasisi wa PPP inafananiaje...
Fremukazi maana yake ni SURA YA MUONGOZO WA KIUTENDAJI ambavyo ndiyo husadifu miundo ya kiutendaji, dhamira zake za kiutendaji, usuli wa mashauri ya 'Kuhalalisha' makusudi ya utendaji wake -- ndilo hupata uhalali na kukubalika kupitia Sera na Sheria.
Kwa hivyo fremukazi inakuwa na mashauri ya Fikra, Maono na Kujichagulia kiserikali kama chombo ya Maslahi ya Umma na Itaainisha dhamira, miongozo na taratibu ya kuliendea jambo Kimipango na Utumishi wa Umma kama chimbuko za jitihada zenyewe.
Kinabaki siku zote kuwa 'Ukurusa wa Wazi' kwenye fremukazi yeyote ni 'Uwezo wa Jamii' ama 'Vyombo/Taasisi' za Serikali katika kutekeleza malengo ya Utaasisi wa Shughuli fulani--tuseme labda Shughuli ya Kutengeneza Uwepesi wa Makusudi ya PPP... Jambo linaloamuliwa na umahiri wa utendaji wenyewe na dhamira ya kujiimarisha kitaasisi na uwezo.
Fremukazi ni mambo ya Kujichagulia, Kujipangilia na Kujenga Ushawishi kwa kitu ambacho kwenye uono na ufikirifu mifumo hutajwa kama 'Koherensia ya Utaasisi--Institutional Coherence'--hili ni kwa ajili ya Maslahi fulani ya Jamii/Taifa/Dola--kwa hivyo daima huwa kuna 'mbigiri' za upeo, uwezo, utayari wa wanajamii wenyewe na watendaji... Si kila mwanajamii ama mtendaji analingana ama kufanana na mwenzake katika kutambua na kuyabayanisha 'maslahi ya Taifa/Jamii'--hapa ndipo kuna 'donda dungu'...
Kiufundi, tatizo lililo kwa sasa kiutendaji ni kuathirisha 'Koherensia ya Utaasisi' kwa mambo mengi yanachukuliwa/kufanyika kwa ajili ya maendeleo ya jamii--uchanganuzi wa wakati mmoja wa sera mbalimbali ama sheria huwa na azma ya kulizingatia hili...
Hili lina namna yake 'kushughulika nalo' na daima huwa ni 'mchakato endelevu'... Ugumu ama wepesi wa machakato wenyewe unategemea 'uzito' wa wanajamii wenyewe na watendaji katika 'kujifunza kutokana na makosa' ama 'kuwa na uwezo wa kubaini utendaji wa ari ya chini/duni/hafifu wa 'Watendaji Wote Husika'...
Hii inahusikaje hapa?NI KWELI; NA MCHANGO UNAANGAZIA UKWELI WA MAMBO
Baraka Sana kwa Kazi yako!
Ndiyo, hayo unayoyataja yanafahamika na kiuono na ufikirifu mifumo kama 'Mazingira'--mazingira ya mtendaji ama na chombo; daima kuna (1) mazingira ya ndani ya (2) mazingira ya nje; mtu makini daima anatakiwa awe na jitihada ya macho ya kuyaona ya ndani na ya nje kwa ufasaha na upeo wa kumaizi anawajibika vipi kuilinda shughuli yake na kuihakikisha usalama wake wa kiuhai/pumzi...
Wanajamii wasipo jifahamu kuwa wawo ni 'rasilimali' katika mchakato wowote, mchakato wowote wa maendeleo ya kijamii na taifa, daima hawa wanageuka kuwa 'zigo la lawama'...
View attachment 3098224
Kutoka kwenye maarifa rahisi ya menejimenti; liko hitaji la kuwaleta wanajamii katika elimu na ujuzi wa uono na ufikirifu mifumo:
View attachment 3098223
Hmmm
Kuna hekima kubwa sana hapaSI MWANZO MZURI
Kwanza, ni vema ungelianza kwa maneno yako mwenyewe--si lazima uwe unajua sana ya PPP kwa mfano; kwa kuwa hili linaweza kuwa shauri la kuelimishana na kujengeana uwezo wa kubayanisha mambo.
Halafu hakuna haja ya matumizi ya lugha ya Kiingereza; haya yote uliyoyaweka hapo, na mengine ambayo hujawakilisha, yanaweza kuzungumzwa kwa Kiswahili--tutumie Kiswahili... Ama tutafsiri mengine yote kutoka kwenye lugha ya Kiingereza.
Kwa Uzoefu wa Utaasisi wa PPP kwa Tanzania; mahala pazuri pa kuanzia ni vyanzo vya habari vya taasisi zenyewe za Kiserikali: >KWA MFANO UKURASA HUU WA TOVUTI<--kufanya hili ili lau kuotea fremukazi ya Utaasisi wa PPP inafananiaje...
Fremukazi maana yake ni SURA YA MUONGOZO WA KIUTENDAJI ambavyo ndiyo husadifu miundo ya kiutendaji, dhamira zake za kiutendaji, usuli wa mashauri ya 'Kuhalalisha' makusudi ya utendaji wake -- ndilo hupata uhalali na kukubalika kupitia Sera na Sheria.
Kwa hivyo fremukazi inakuwa na mashauri ya Fikra, Maono na Kujichagulia kiserikali kama chombo ya Maslahi ya Umma na Itaainisha dhamira, miongozo na taratibu ya kuliendea jambo Kimipango na Utumishi wa Umma kama chimbuko za jitihada zenyewe.
Kinabaki siku zote kuwa 'Ukurusa wa Wazi' kwenye fremukazi yeyote ni 'Uwezo wa Jamii' ama 'Vyombo/Taasisi' za Serikali katika kutekeleza malengo ya Utaasisi wa Shughuli fulani--tuseme labda Shughuli ya Kutengeneza Uwepesi wa Makusudi ya PPP... Jambo linaloamuliwa na umahiri wa utendaji wenyewe na dhamira ya kujiimarisha kitaasisi na uwezo.
Fremukazi ni mambo ya Kujichagulia, Kujipangilia na Kujenga Ushawishi kwa kitu ambacho kwenye uono na ufikirifu mifumo hutajwa kama 'Koherensia ya Utaasisi--Institutional Coherence'--hili ni kwa ajili ya Maslahi fulani ya Jamii/Taifa/Dola--kwa hivyo daima huwa kuna 'mbigiri' za upeo, uwezo, utayari wa wanajamii wenyewe na watendaji... Si kila mwanajamii ama mtendaji analingana ama kufanana na mwenzake katika kutambua na kuyabayanisha 'maslahi ya Taifa/Jamii'--hapa ndipo kuna 'donda dungu'...
Kiufundi, tatizo lililo kwa sasa kiutendaji ni kuathirisha 'Koherensia ya Utaasisi' kwa mambo mengi yanachukuliwa/kufanyika kwa ajili ya maendeleo ya jamii--uchanganuzi wa wakati mmoja wa sera mbalimbali ama sheria huwa na azma ya kulizingatia hili...
Hili lina namna yake 'kushughulika nalo' na daima huwa ni 'mchakato endelevu'... Ugumu ama wepesi wa machakato wenyewe unategemea 'uzito' wa wanajamii wenyewe na watendaji katika 'kujifunza kutokana na makosa' ama 'kuwa na uwezo wa kubaini utendaji wa ari ya chini/duni/hafifu wa 'Watendaji Wote Husika'...
PPP ni muhimu sana kama kweli tumeamua kujenga Uchumi shirikishi bila kutumia pesa ya kodiKama kuna kitu Tanzania inapashwa kukipa nguvu inayostahili basi ni hii PPP ya Kafulila.
Nchi nyingi dunia zinanufaika na PPP hasa katika kukuza Uchumi jumuishi kwa maendeleo endelevu.
View attachment 3097548
View attachment 3097549
Hao wachumia nguli wameonesha wapi unguli wao? Ni wapuuzi fulani tu wenye. Vikaratasi vinavyoonesha wamehudhuria shuleni. Wachumia tumbo tu.
Fremu kazi ndio Nini?UNACHEKESHA SANA...
Unaweza kuibayanisha/kuichambua fremukazi ya PPP kitalaam hapa ili tuoneshane njia moja kwa moja?
Kama unaweza...
ANZA!
๐๐๐Nimecheka kwa sauti aiseeWatu mliofeli shule kwa kukosa akili huwa mnahasira sana na wasomi.