Hatimaye wachumi nguli waungana na David Kafulila

Nimeelewa sana hii
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Umewaza kama Mimi ndg yangu
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
Akili kwako naona zipo
 
Ukituliza akili vizuri na kuweka ushabiki pembeni nitaungana nawe.
Hapa ninakuona leo kwa mara ya kwanza ukiweka ushabiki wa kichama pembeni. Hilo ni jambo jema.

Sijaona popote kwenye mada hii, na hata toka kwa huyo Kafulila mwenyewe akieleza kinaga ubaga hiyo PPP ni nini hasa; lakini wachangiaji humu hawaachi kupiga makofi kwa kule kutamka tu 'PPP".
Watu wanasema huu mpango wa PPP ndio unao tumika duniani kote, lakini hata mfano mmoja tu hawatoi na kuueleza.

Hii PPP ni mpango wa hizi taasisi za Bretton wood wanao upigia upatu sana siku hizi ili utumike kwa nchi hizi maskini. Kiufupi, ni njia ya kuwaneemesha wafanya biashara wa dunia kwa mgongo wa jasho la walipa kodi wa nchi maskini.
Jiulize kwa nini lazima pawepo ushiriki wa serikali katika mpango huo, bila ya hivyo hao wawekezaji hawaitaki miradi hiyo?
Hizi PPP sasa ndiko vichaka vya rushwa na uchafu tele utahamishiwa; hasa kwa serikali dhaifu kama hii yetu hapa.

Halafu watu wanashangilia tu bila hata kujiridhisha juu ya uelewa wa mpango huo.

Hawa akina Kafulila ni vyombo/vifaa tu vinavyo tumika kulaza akili za watu; na hasa watu kama waTanzania wasiokuwa na utashi wa kuhoji lolote.
 
Tanzania inshu ya PPP bado haieleweki vizuri,

Hawa maDED wengi wanataka kufanya kila kitu ili waweze kujipatia chochote,

Ukipewa mradi mtu binafsi wao wanaamini hawawezi kupata pesa tena,

Utakuta Mkurugenzi kila kazi anataka kufanya yeye tu
PPP inasemwa ni wizi wa kimacho macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…