Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Ni wezi sio wa huni tu.Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
mbona hata akina Mwamposa janjajanja yote wanatoa huko kwa waislamBaada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
Usiongope.Matapeli hao , kataa huyo jamaa ndio alisema kupata pesa kwa majini.
Hayo atayafanya kweny maonesho kama hivyo , ila msikitini kama anatafuta balaa ajaribu kupeleka msikitini.
umeandika nini?Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
Huyu ni mkrustu tu, kwa kutumia imani ya kiislamu, kama unabisha mwambie aende mskiti wowote kama atakatwa shingo.Nimeona mtandaoni Sheikh mmoja maarufu kwa jina la Dr. Sule akiwatoa watu mapepo (majini) kwa style ya kina Mwamposa. Je! Inaruhusiwa?
Mbona nyie wavaa makobaz mnaishi kiubabe ubabe kwanini umkate mtu shingoHuyu ni mkrustu tu, kwa kutimia imani ya kiislamu, kama unabisha mwambie aende mskiti wiwote kama atakatwa shingo.