Hatimaye Waislam nao wamefikiwa na wasanii kwenye mahubiri

Hatimaye Waislam nao wamefikiwa na wasanii kwenye mahubiri

Zamani sanaa maeneo ya pwani ilikuwa kawaida kwa watu kupandisha majini na watu kuwaita masheikh kuwaombea na hata kuongea na hao majini, kipindi hicho hawa akina Mwamposa walikuwa hakuna na hata hawa masheikh walitoa msaada huu bure kabisa.
 
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni

Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.

Nimemaliza

View attachment 3060268
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni

Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.

Nimemaliza

View attachment 3060268
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni

Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.

Nimemaliza

View attachment 3060268
Maskini ya mungu, na wateja wao washajua ni akina mama, mkutano wote umejaa leds
 
Usiongope.
Dr. Sule alisema
"Sio Haramu kuwatumia majini wema waislamu katika kujiongezea kipato"

Kwani Majini wema Wana shida gani ?
Alimaanisha usitake kujiongezea kipato kwa Majini wabaya wasio Waislamu.

Kwani ndungu yako wa Kijini akikupa msaada Kuna shida gani ?

Mishkat al-Masabih 350
Ibn Mas'ud reported.
God’s messenger as saying, “Do not cleanse yourselves with excrement or bones, for that is the provision of your brethren among the jinn.”
Tirmidhi transmitted it, as also Nasa'i, but he did not mention “the provision of your brethren among the jinn.”
''''''''''''''''''
Kama mtume wako alipokea sadaka kwa waumini wake wa Kijini, we u nani ubishe.

Hakuna jini mwema anaeshirikiana na Binaadamu kwa njia kama hizo.
 
Back
Top Bottom