King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kumiliki wake wanne lazima uwe TAPELI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumiliki wake wanne lazima uwe TAPELI.
Daaah ebu pumzisheni mashekhe kwanzaKumiliki wake wanne lazima uwe TAPELI.
Naam, umeniita?
Kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Allah ampe qauli thabeet yani akiona hivi yani hii Tawfiq tunayo aliyoipigania itatowekaDJ naomba umlete The Mongolian Savage kwa nyimbo moja ya kijamaica atupe mostari
Ni haramu tu ukimla hadharani.Kwani nguruwe Haram Kwa Waislamu??🎤
Umeona upako sule anavyo utoaNaam, umeniita?
Tatizo nini?
Kumbe!😇👍Ni haramu tu ukimla hadharani.
Umeniita kijana kuna shida gani?🤔🤔🤔
Dunia inakwenda kasi sana.Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
View attachment 3060268
Mbona tayari misikitini mnao mmoja huyu hapaMatapeli hao , kataa huyo jamaa ndio alisema kupata pesa kwa majini.
Hayo atayafanya kweny maonesho kama hivyo , ila msikitini kama anatafuta balaa ajaribu kupeleka msikitini.
Kumbe ukimla mafichoni sio dhambi ,🙄🙄😎😎Ni haramu tu ukimla hadharani.
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
View attachment 3060268
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
View attachment 3060268
Maskini ya mungu, na wateja wao washajua ni akina mama, mkutano wote umejaa ledsBaada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
View attachment 3060268
Usiongope.
Dr. Sule alisema
"Sio Haramu kuwatumia majini wema waislamu katika kujiongezea kipato"
Kwani Majini wema Wana shida gani ?
Alimaanisha usitake kujiongezea kipato kwa Majini wabaya wasio Waislamu.
Kwani ndungu yako wa Kijini akikupa msaada Kuna shida gani ?
Mishkat al-Masabih 350
Ibn Mas'ud reported.
God’s messenger as saying, “Do not cleanse yourselves with excrement or bones, for that is the provision of your brethren among the jinn.”
Tirmidhi transmitted it, as also Nasa'i, but he did not mention “the provision of your brethren among the jinn.”
''''''''''''''''''
Kama mtume wako alipokea sadaka kwa waumini wake wa Kijini, we u nani ubishe.
wanawake wote wanapagawa na mapepo wamejiandaa" wamevaa skin tight"Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni
Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.
Nimemaliza
View attachment 3060268