Hatimaye Waislam nao wamefikiwa na wasanii kwenye mahubiri

Zamani sanaa maeneo ya pwani ilikuwa kawaida kwa watu kupandisha majini na watu kuwaita masheikh kuwaombea na hata kuongea na hao majini, kipindi hicho hawa akina Mwamposa walikuwa hakuna na hata hawa masheikh walitoa msaada huu bure kabisa.
 
😁😁😁😁🀣🀣nimeona nimecheka sana mpaka nikakaa chini
 
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni

Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.

Nimemaliza

View attachment 3060268
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni

Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.

Nimemaliza

View attachment 3060268
Baada ya waislamu kuucheka,kuuponda ukristo hatimae nao wamefikiwa na wahuni

Huyu kwetu sisi wakristo ni muhuni kama wahuni wengine tu Hana tofauti na kiboko ya wachawi.

Nimemaliza

View attachment 3060268
Maskini ya mungu, na wateja wao washajua ni akina mama, mkutano wote umejaa leds
 

Hakuna jini mwema anaeshirikiana na Binaadamu kwa njia kama hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…