Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Tatizo lako unaeleweshwa halafu unajifanya hutaki kuelewa kwani kanuni ikitenguliwa huwa kwa manufaa au maslahi ya mtu binafsi? Kwa nini unauliza maswali yenye majibu.Ilitenguliwa kwa maslahi ya nani? kama ilitenguliwa (kukiukwa) ndo bunge liendelee kuvunja kanuni hadi mwisho ilihali zimetimika wiki tatu kuzitunga hizo kanuni? Rationality ya kutungwa ni nini sasa?
Jaribu kuwa rational kidogo basi.