Hatimaye Warioba Kuwasilisha Rasimu ya Katiba Jumanne Tarehe 18 Machi 2014

Status
Not open for further replies.
Katika kanuni wamesahau kuweka hi I "Bunge likihairishwa na posho zihairishwe" hapa kidogo heshima ingekuwepo.
 
umeshaambiwa kanuni ilitenguliwa asubuhi na wakakubaliana,au unasemea kanuni ipi tena?

walikubaliana wapi kama sio unafiki wako walipoulizwa pande zote walishikilia misimamo yao sita akasema waliokubali kanuni kutenguliwa wameshinda kwa maana hyo alilazimisha zee penda sifa za kijinga sana.
 
Alivyoandika Julius Mtatiro kwenye wall yake ya fb

===>Naamini Mr Six somo limemuingia vizuri tu.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania hakuna upinzani wa kweli,wengi wao ni wanafiki,msimamo si jambo lelema,ukiamua jambo huwa hivyo bila hata kutetereka,Mungu alisema waoga hawataingia mbinguni hata kidogo.
 
Maoni mengi ya wananchi ni kuhusu ardhi, yaani wawekezaji wanapendelewa hali ya kua wananchi wanakosa ardhi-Warioba
 
Kweli mzee Warioba kiboko, pana jamaa hapa kakunwa na hotuba yake na kuamua kutununulia soda sote tuliopo, tupo sita hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…