Hatimaye Wema aingilia bifu la mama yake na man fongo

Balozi alijitia aibu mwenyewe kwakuokota hovyo wanawake huko mtaani. Angalau, hili ni somo, wanaume muanze kuchagua wanawake wa kuoa, kuzaa nao, na kutoka nao huko mitaani bala hata kutumia kinga (CDs)
 
Balozi alijitia aibu mwenyewe kwakuokota hovyo wanawake huko mtaani. Angalau, hili ni somo, wanaume muanze kuchagua wanawake wa kuoa, kuzaa nao, na kutoka nao huko mitaani bala hata kutumia kinga (CDs)

Nakubaliana na Wewe 100%.
 
Uyu mama nae hajui mwanae kumnyima mtu zambi siku man fongo atakapokuja na kigodoro apo kwake na nyimbo yake hainaga ushemeji na mshenga juu ndo ataelewa watoto wa uswazi
 
Hawa wazazi wa Mastaa wetu asimilia 99% hawajielewii!!!! Bado wapo gizani hawajui Effect yao ya kupenda ugomvi kwa watoto wao!!!!

Mama wema ni mshari sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hata wema analijua kuwa mama ake ni pasua kichwa!!!

Ukiona mama mtu mzima anagombana na ManFongo ambaye ametafuta suluhuu kupitia ufamily friend na Bado mama Mtu anaendeleza Matusi basi huyo mama mmmmmmmmmhhh

Japo ni mama Ake wema ila mm nimemshusha thamani sanaaaaaaaaa.....hope wema ataendelea kumuheshimu ila mm Mtu mzima akigombana na mtoto wake hapanaa
 
Umenene vyema mkuu..nakusapot 1000000%..
Mama wema na man fongo,then bint unampgia sim soudy aseee...
Hopeless....
 
Nawewe upuuzi wako unaoandikaga humu umerithi kwa nani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wema bhana...ushatoa povu kwa genta....
2takula ooh,hainaga ushemela...
 
Ni kwamba wema tayar ameshakolea kwa man fongo kwaio anatafuta namna gani ampate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…