Hatimaye yamekuwa: Nancy Sumari anaolewa na Lucas

Kwani ile iliompeleka Zanzibar imeisha
 
Huyu c alikuwa na mchumba anasoma mzumbe kipindi flani, kama sijakosea
Mwaka gani hiyo? Wako kwene mahusiano muda mreeeefu utafikiri walishaoana kumbe uchumba sugu
 
Nlihisi tu apple kama hili litachukuliwa na manjiism type... sio jitu kma Lizaboni...
Dem kama (Alteza misifa) ndio atawavaa kina mingozi yetu hii ya nyama ya ta...o
 
Tunawatakia ndoa njema....hope they are not doing it for fashion. Maana ndoa za fashion zimezidi Bongo siku hizi
 
Hivi bifu la miss world na dada yake halikusababishwa na miss world afrika kumpora huyu bwana?????
 
Mhindi? Mh! Walikutana wapi na ubaguzi wa wahindi
Ubaguzi kwetu tukitaka kuwaoa wao, ila wao kuwakandamiza wetu mbon eazy tu sisters wenyewe wanapenda... Lakin siku hizi afadhali na sisi tunawakandamiza kidogo, ukiwa na kijistatus fulan unakandamiza, wenye mihela wanaoa kabsa.. Siku hizi hakuna ubaguzi wa rangi, wanatubagua kwa pochi
Lucas Mb Dogy Katoswa bado? au bado anamsubiria?

 
MASTER J NA SHAA uchumba miaka 10 afu me ni baba wa wtoto 3!!shaa bado kidori tetetetehhhh!!!
 

Bridal Shower


Aiseeeh si shabiki sana wa mambo ya celebrities ila kuna kitu nimeona kwenye hizi picha...........

Bridal Shower participants wamechaguana woote wazuri aka wana mvuto

Wote vi modo.....

Wote wanasura na shape kama za kinyarwanda...........

Kuvaa mavazi meupe kumewafanya wang'are na kuonekana wasafi a smart zaidi.....

Walivyovaa sunglasses imewafanya waonekane wako vizurii..............

Wanaonekana ni wake au wapenzi wa watu weny pesaa......

Kwa wenye wallet zao changamkieni totoz hao kila mtu ajuvutie wake........

Hongera zake Nancy........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…