Hatimaye yamekuwa: Nancy Sumari anaolewa na Lucas

ina mana hawa walokua hawajaoana
 
Hajatelekezwa.... point of correction dear
Katelekezwa kwenye ndoa, ndio kitu cha msingi kilicho waunganisha, haya mambo ya maslahi pesa, huyu dada hajashindwa kujihudumia.. Alimfuata Luca kwa ajili ya NDOA. hivyo katlekezwa.
 
Huyo aliyepiga magoti upande wa kushoto wa picha ni mke wa bwana machache(IPP) au macho yangu yamekuwa ya mwendokasi!!
Ndie yeye, kuna mke wa Nyalandu pia Faraja Kota hapo mwenye kijisweta ch brown picha ya chini upande wa kushoto.
 
Hii group ya waliokuwa mamiss Tanzania imemsahau miss Wema Sepetu.
 
Tupieni na picha basi tuone wengine tupo Kalenga huku hatuyajui hayo wakuu
 
Huyu Nancy nae si nilisikia ni mkoboaji maarufu fundi...anyway kanjibai labda anayaweza
 

Chezea wabongo weye....!
 
Inamaana amekosa ngozi nyeusi hadi aolewe na huyo muasia?

Weusi wengi hupenda kuzaa na rangi nyeupe
hata kama atakuwa hana kitu.
Lakini kwa black mwenzie ukawa na pesa ndo utapata unachokitaka!
Sijui ni aina gani hii ya kasumba ile kuwa mtu mweupe ni bora zaidi.
Mapenzi hayachagui.....
 
kwani alimkaza ?
Anamsuburia bado... alimuambia kuwa atakuja amuwait tu... siku wiki miezi hadi miaka ikapita Demu hakutokea... akamuimbia wimbo akimlalamikia hado Complex na viv wamekufa lakini Demu hakuenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…