Hatimaye Yanga yakabidhiwa kwa Manji aiendeshe kama club Binafsi

Shukrani nyingi zimwendee Mr...Mo.....

amewatoa usingizi vyura....

SIMBA NGUVU....MOJA
[emoji2] [emoji2]. Naamini ndani miaka 15 ijayo kama mwendo ni huu huu, kutakua na mabadiliko katika soka la nchi hii. Hawa wazee wa na makomandoo wa hizi timu kongwe ndio kikwazo cha maendeleo ya soka.
 
..orodha ya nini sasa.,stick kwenye mada!
..yani pamoja na uzee unaojinasibu nao umeshindwa kujenga hoja kuonesha hiyo TIJA uliyoitaja!...
...aisee bora ujifie tu!
.nenda mwalimu!
 

Miaka 70 ya uhai wa Yanga hayajafanyika hayo unayo sema, club imezidiwa na Mbeya City kuuza jezi
 

Uzumbukuku ni kuhofu kohoji, Lakini Kushindwa kuhoji ni uzoba uliotukuka...!!!

Na hapa sishangai, maana mtu kaorodhesha ujio wa Bushi kama Mabadiriko au Mafanikio... akkkkkkk!!!

Ni akili mgando peke yake ambazo zitashindwa kuhoji hiki kinachoitwa uwekezaji na wa huyu mtu kwenye club yetu. Yaani hizi ni akili zilizolala kama boga linalosubiri kugeuzwa upade huu ili upande huu nao upate jua....!!!

Na hili sishangai maana Iq ya Mtanzania ilishabainishwa kuwa ni mbovu sana, unahitaji uthibitisho gani kama siyo huu???

BACK TANGANYIKA
 
Unaambiwa hivi bora uwe shoga kuliko kuwe mjinga, kutokana na Ally mayai anakwambia mkutano umeanza bila kujua agenda za mkutano, manji anaingia ukumbini agenda ya kwanza ni kumiliki timu.
 
Bora hayo matimu yauzwe kabisa mrudi mkashangilie timu zenu za mikoani muwaachie wahindi timu zao
 
Aheri ya Chifu Mangungo wa Msovero maana alikuwa si msomi, hichi kinachotokea leo kizazi ni zaidi ya ile kauli ya Mwalimu anakuja mtu smart unabadilishana naye kipande cha ALMASI kwa kipande cha CHUPA!
 
Aki ya Mungu wa kimataifa mmekua ma mbumbu namna ii khaaaaaa jamani jamani
 
Sasa subiri Simba achukue ubingwa au Azam Yanga wawe wa 3 ndo Kanjibai atajua ni miaka 10 au miezi 10. Wanachama wote watahamia nyumbani kwake kutaka team yao.
Mkuu nimecheka hadi chozi!huu mpira wetu ni majanga tupu!you made my day!!!
 
Habari za hisa/kampuni zilianzishwa na akina Tarimba miaka kumi iliyopita .
Wamatopeni wamedesa bila kujua undani wenyewe. Mpeni Mo hiyo timu mje mlie vizuri baadaye. Mnadandia train kwa mbele.
Yaah enzi za george (fidel castrol )mpondela ndo yalikuwa mambo hayo lakini tulikwamishwa na kina yusuph mzimba na wenzie.
Hizi timu zingeweza kujiendesha zenyewe kwa kuwa zina fanbase kubwa sana hata kwa kuuza gazeti wanachama na mashabiki wahamasishwe kweli japo wauze nakala laki mbili Tanzania nzima kwa wiki achilia mbali watu wanunue hisa na kalipia kadi za uanachama.
Lakini ujanja ujanja tunapiga mark time miaka yote binafsi naona ikodishwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…